Ushauri kwa CHADEMA anzisheni Trust Fund

Ushauri kwa CHADEMA anzisheni Trust Fund

We unaambiwa hawa watu wakiona hata unakula kuku wanasema unakula Rushwa, hiyo Bilioni watapata wapi?

Sio Rahisi kufanya biashara na ku ji asscoiate na watu wa namna hii mzee ...

Watakuvuruga na simshauri mfanyabiashara yeyote ajiunge na michango kwa hawa watu.... Utapakwa matope mpaka uhame nchi...

Issue za michango ndio kitu wanaweza, .. waoombeee mpaka waelewe siasa ni pesa itakuwa baadae sana...

Hiyo groupe of jobless lawyers hapo ni suala la muda kila mmoja ataanza kutafuta maslah yake drama za ubunge 2025 zikishindikana.
Team Mbowe haya mambo hayawahusu. Muda wenu ulishakwisha mbona bado mnayufata fata?
 
We unaambiwa hawa watu wakiona hata unakula kuku wanasema unakula Rushwa, hiyo Bilioni watapata wapi?

Sio Rahisi kufanya biashara na ku ji asscoiate na watu wa namna hii mzee ...

Watakuvuruga na simshauri mfanyabiashara yeyote ajiunge na michango kwa hawa watu.... Utapakwa matope mpaka uhame nchi...

Issue za michango ndio kitu wanaweza, .. waoombeee mpaka waelewe siasa ni pesa itakuwa baadae sana...

Hiyo groupe of jobless lawyers hapo ni suala la muda kila mmoja ataanza kutafuta maslah yake drama za ubunge 2025 zikishindikana.
Muooongooo
 
Ukitaka vichekesho kama hivi, fuatilia mada za mtoa mada.

Bilioni 10 sio kama mdomo, kila mtu anayo

Diaspora wenyewe wanatuma zaidi ya $1B kwa mwaka.

Hiyo ni sawa na $4M
 
University ya Warwick acceptance rate yake hata kilaza wa St John anasoma..
Wewe si uende sasa kwani umekatazwa, watu wamefaulu mpaka akasoma kwa scholarship utajilinganisha na wewe. No wonder kesi zetu zote huko International arbitrations tumeangukia pua!!
Law chamber unashindwa kununua gari unaitisha mchango nchi nzima...? embu nipishe bwana
Kumbe hujui siasa ni kutafuta public appeal na sympathy votes!! Unadhani Trump kuchangisha fedha za kampeni alikua hana? Its branding kuwa ni "mwenzao" na huna "hela za kifisadi"!! Otherwise mjengo wake umeuona ule? sidhani unaweza kujenga wewe.
 
Wewe si uende sasa kwani umekatazwa, watu wamefaulu mpaka akasoma kwa scholarship utajilinganisha na wewe. No wonder kesi zetu zote huko International arbitrations tumeangukia pua!!

Kumbe hujui siasa ni kutafuta public appeal na sympathy votes!! Unadhani Trump kuchangisha fedha za kampeni alikua hana? Its branding kuwa ni "mwenzao" na huna "hela za kifisadi"!! Otherwise mjengo wake umeuona ule? sidhani unaweza kujenga wewe.
Wewe hunijui bhana...

Ule ni mjengošŸ˜‚

Embu usijichoshe hapa mkuu
 
Back
Top Bottom