Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!



Wanabodi,

Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, kitendo cha rais Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa ni kinyume cha katiba!, rais Magufuli hana mamlaka ya kuzuia jambo lolote ambalo katiba imeruhusu, hivyo zuio la rais Magufuli kwa mikutano ya kisiasa, japo ni zuio batilii, lakini kwa vile Magufuli ndio Mkuu wa nchi, kila atakalosema, litatekelezwa tuu hata kama ni kinyume cha Katiba, mpaka pale vyombo vyenye uwezo wa kumdhibiti rais, vitakapo mdhibiti. Vyombo hivyo ni Bunge na Mahakama!. Hivyo alichokifanya rais Magufuli is nothing else Zaidi ya udikiteta at the highest nature na highest stages!. Dawa pekee ya kuzuia udikiteta huu sio maandamano, bali ni kutumia legal redress kwa Chadema kufungua shauri Mahakama Kuu, kuomba rasmi tafsiri ya kisheria ya katazo la rais kwa kutumia kitu kinachoitwa prerogative orders kinachoombwa kupitia Judicial Review.
Hizi Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3.

  • certiorari, an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
  • mandamus, an order issued by a higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
  • prohibition, directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
  • habeas corpus, demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
  • quo warranto, requiring a person to show by what authority they exercise a power.
  • procedendo, to send a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment.
Hivyo nawashauri kwa dhati kabisa Chadema, udikiteta haupingwi kwa maandamano, kama Chadema mnajipenda, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, na badala yake undeni jopo la wanasheria nguli, mfungue shauri mahakamani, badala ya kuwasumbua wanachama na wafuasi wenu kuandamana for nothing, kwa sababu kwenye udikiteta, kutumia maandamano kupingwa kuvunjwa kwa katiba, ni nothing!, mtaachieve nothing, na sana sana mtaishia kuumizwa na kuwaumiza wanachama, wapenzi na wafuasi wenu kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia kuwa ana hulka ya udikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.

Misingi ya Katiba na The Rule of Law
Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya katiba na sheria, (the rule of law) ambapo nchi inapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa matamko ya viongozi yanayokwenda kinyume cha katiba!. Tangu rais Magufuli ameingia madarakani, ameisha onyesha kwa kauli na matendo kuwa kwake Katiba sio kitu!, it is nothing!, dawa ya mtu wa aina hii ni kuitumia katiba kumuwajibisha kwa kumfikisha mahakamani, akumbushwe kuwa nchi haindeshwi kwa matakwa binafsi ya mtu, bali inaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni kama zilivyoainishwa kwenye katiba. Rais Magufuli atakumbushwa kuwa, kwa vile aliapishwa kuifuata, kuilinda na kuitekeleza katiba ya JMT, then ni lazima akiheshimu kiapo chake, kinyume cha hapo ni udikiteta tuu huu!.

The Doctrine of Separation of Powers With Check and Balance.
Nchi yetu ina mihmili mikuu mitatu, Serikali, (the executive), Bunge (The Legislature) na Mahakama (The Judiciary). Mihimili hii yote mitatu, ina nguvu za mamlaka sawa zinazojitegemea, bila kuingiliana, (powers), lakini nguvu hizo zinatenganishwa ili nguvu ya mamlaka moja isiingilie nguvu ya mamlaka nyingine, (separation of powers), huku kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mlinzi wa mhimili mwingine usivuke mipaka ya nguvu na mamlaka yake, kwa kufanya checks and balance, yaani ku act as a watchdog wa muhimili mingine.

Serikali yenye Nguvu, Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo!.
Mihimili hii, inaongozwa na viongozi ambao wana mamlaka kuu kuhusu mihimili yao. President ndio mkuu wa The Executive, Spika ndio mkuu wa The Legistlature, na Jaji Mkuu, ndie mkuu wa The Judiciary, lakini pamoja na nia njema kuwa mihimili yote ina mamlaka na hakuna mhimili wowote unaopaswa kujiinua juu Zaidi na kuwa na mamlaka kuu kuliko mhimili mwingine in theory, lakini kiukweli in practical, mhimili wa The Executive ndio mhimili mkuu unaomiliki vyombo vya dola na kuitawala mihimili mingine yote!, hivyo mkuu wa The Executive, yaani rais, ndio kila kitu!, akisema!, amesema!. Rais anaingilia Bunge, Bunge lipo na linaingiliwa huku linatazama tuu na linanyamaza, hili ni Bunge gani kama sio Bunge Butu?!, rais anaingilia mhimili wa Mahakama, Mahakama ipo na ina meno, lakini haiwezi kung'ata, hii ni Mahakama gani kama sio Mahakama Kibogoyo?, ila yote ni tisa kumi ni sisi wananchi, ndio wenye katiba, ndio tuliomuajiri rais Magufuli awe rais wetu kwa kura zetu, hivyo sisi ndio mabosi wake!. Serikali ipo kwa ajili yetu, Bunge lipo kwa ajili yetu, na mahakama ipo kwa ajili yetu, ila nasi kwa sababu hatujui wajibu wetu, nasi tupo tuu tumenyamaza tunaangalia!.

Rais Magufuli na Uvunjaji wa Katiba.
Tuambiane ukweli, tangu rais Magufuli ameingia madarakani, sio mara moja au mbili amekuwa akitoa kauli tata, zinazokwenda kinyume cha katiba, na kinyume cha kanuni ya the separation of powers kwa kuiamumuru mihimili ya Bunge na Mahakama kufanya hiki au kile, wakati mihimili hiyo ilipaswa kuingilia kati kwa kuicheck serikali kwa kumcheck mkuu wa the executive, lakini vyombo hivyo vimekaa kimya hivyo kumfanya rais ajisikie kuwa he is eveything, the big boss and he is always right! kwa kanuni ya "the boss is always right!". Njia pekee kuzuia uvunjwaji huu wa katiba ni kupitia mahakama.

Udikiteta wa Magufuli.
Hoja kama Magufuli ni dikiteta au la, haina mjadala, Magufuli ni dikiteta wa ukweli ambaye hana mswalie Mtume, na alipoingia tuu madarakani, alianza kuonyesha udikiteta wake right away kwa kuliingilia bunge na mahakama kuziweka chini ya amri zake!. Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo wabunge na watumishi wa bunge, wakiwemo majaji na watumishi wa mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kibali cha kutimiza wajibu wao!, huu sui tuu ni udikiteta, pia ni udhalilishaji wa bunge na mahakama!.

Baada ya katazo lile, checks and balance zingepaswa kuanzia hapo kwa Jaji Mkuu kumweleza rais huko ni kuingilia uhuru wa mahakama (the independence of the judiciary) hivyo muhimili wa mahakama haukupaswa kujisubmit chini ya the executive, bali mamlaka hayo ya kuzuia safari za nje, Spika alipaswa kuwa nayo kudhibiti safari za mhimili wa bunge, na Jaji Mkuu alipaswa kuwana nayo kudhibiti safari za mhimili wa mahakama, lakini mihimili hii ilikaa kimya kwa kujisubmit chini ya the executive, hivyo kumfanya rais kuwa ndio kila kitu!.

Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!, na badala yake waitumie mahakama kutoa tafsiri ya katazo la rais na sio kushindana nae au kutaka kupimana naye kwa kutunishiana msuli!.

Hili la udikiteta wa rais Magufuli, tumeisha lizungumza sana humu
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...

Dawa ya Udikiteta
Dawa pekee dhidi ya Udikiteta ni kupitia a legal redress kwa kufungua shauri mahakama kuu itoe tafsiri rasmi ya kisheria kama rais anavunja katiba au laa, kama amevunja katiba, then mahakama kuu kupitia prerogative orders, inamuamuru rais kwa kumlazimisha lazima afuate katiba, hivyo analazimishwa kufuta tamko lake, apende asipende, atake asitake, katiba ndio iko juu ya kila kitu, hata rais wa JMT, yuko chini ya katiba!.

Kama Chadema wanavyojinasibu wana wanasheria manguli, huo unguli wao kwenye sheria ni unguli wa kwenye nini kama serious issues kama hizi za kukiukwa kwa katiba, wanazipinga kwa maandamano na mikutano?!. Sio kila kitu kinapingwa kwa maandamano, na mikutano ya hadhara. Kuna wakati CHADEMA mnahamasisha maandamano ya kijingajinga. Sometimes Chadema wawe wanachukua ushauri kwa wenye busara wao kabla hawajafanya maandamano. Sikumbuki ni lini Moshi wamewahi kuandamana. Hii maana yake Ndesamburo ni miongoni mwa wenye busara wachache ndani ya Chadema. Sikumbuki kuwahi kumuona Ndesamburo, Prof. Beregu, Prof. Safari na Mzee Victor Kimesera wakishiriki maandamano yeyote zaidi ya yale ya Arusha. Hivyo sio kila kitu ni maandamano tuu!.

Uzuri wa Magufuli
Ila kitu kimoja kuzuri kuhusu udikiteta wa rais wetu, ni Rais Magufuli, japo ni dikiteta kweli na amevunja katiba kuzuia mikutano ya hadhara, yeye sio mwanasheria, hivyo baada ya kuchaguliwa rais, anajua yeye ndio kila kitu!, wala hajui kuwa mamlaka yake yana mipaka, hajui kuna vitu anaweza kufanya na kuna vitu hawezi, yeye anajua maadam ameshinda urais, na yeye ndio rais, hivyo anajiamini kyeye ndio kila kitu na anaweza kufanya chochote!, hivyo amefanya hayo ya nia njema, na dhamira safi hivyo ni dikiteta mzalendo!, mwenye uchungu na umasikini wa nchi hii, mwenye nia njema ya kusafisha uozo wote wa uzembe, rushwa na ufisadi, na kulikomboa taifa letu toka kwenye lindi la umasikini uliotopea na kuwa nchi ya maziwa na asali kupitia uchumi wa gesi na viwanda.

Mungu mbariki Magufuli!.

Mungu ibariki Tanzania.

Wasalaam.

Paskali
Rejea za shauri za bure
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...
Ushauri wa Bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ...
Ushauri wa Bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ...
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep ...
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Magufuli, Futilia Mbali Utawala wa Sheria ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Usikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.
Ushauri wa Bure kwa Dr. Shein: Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ...
Ushauri wa Bure kwa Magufuli, DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...

Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
 


Wanabodi,

Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, kitendo cha rais Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa ni kinyume cha katiba!, rais Magufuli hana mamlaka ya kuzuia jambo lolote ambalo katiba imeruhusu, hivyo zuio la rais Magufuli kwa mikutano ya kisiasa, japo ni zuio batilii, lakini kwa vile Magufuli ndio Mkuu wa nchi, kila atakalosema, litatekelezwa tuu hata kama ni kinyume cha Katiba, mpaka pale vyombo vyenye uwezo wa kumdhibiti rais, vitakapo mdhibiti. Vyombo hivyo ni Bunge na Mahakama!. Hivyo alichokifanya rais Magufuli is nothing else Zaidi ya udikiteta at the highest nature na highest stages!. Dawa pekee ya kuzuia udikiteta huu sio maandamano, bali ni kutumia legal redress kwa Chadema kufungua shauri Mahakama Kuu, kuomba rasmi tafsiri ya kisheria ya katazo la rais kwa kutumia kitu kinachoitwa prerogative orders kinachoombwa kupitia Judicial Review.
Hizi Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3.

  • certiorari, an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
  • mandamus, an order issued by a higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
  • prohibition, directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
  • habeas corpus, demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
  • quo warranto, requiring a person to show by what authority they exercise a power.
  • procedendo, to send a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment.
Hivyo nawashauri kwa dhati kabisa Chadema, udikiteta haupingwi kwa maandamano, kama Chadema mnajipenda, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, na badala yake undeni jopo la wanasheria nguli, mfungue shauri mahakamani, badala ya kuwasumbua wanachama na wafuasi wenu kuandamana for nothing, kwa sababu kwenye udikiteta, kutumia maandamano kupingwa kuvunjwa kwa katiba, ni nothing!, mtaachieve nothing, na sana sana mtaishia kuumizwa na kuwaumiza wanachama, wapenzi na wafuasi wenu kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia kuwa ana hulka ya udikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.

Misingi ya Katiba na The Rule of Law
Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya katiba na sheria, (the rule of law) ambapo nchi inapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa matamko ya viongozi yanayokwenda kinyume cha katiba!. Tangu rais Magufuli ameingia madarakani, ameisha onyesha kwa kauli na matendo kuwa kwake Katiba sio kitu!, it is nothing!, dawa ya mtu wa aina hii ni kuitumia katiba kumuwajibisha kwa kumfikisha mahakamani, akumbushwe kuwa nchi haindeshwi kwa matakwa binafsi ya mtu, bali inaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni kama zilivyoainishwa kwenye katiba. Rais Magufuli atakumbushwa kuwa, kwa vile aliapishwa kuifuata, kuilinda na kuitekeleza katiba ya JMT, then ni lazima akiheshimu kiapo chake, kinyume cha hapo ni udikiteta tuu huu!.

The Doctrine of Separation of Powers With Check and Balance.
Nchi yetu ina mihmili mikuu mitatu, Serikali, (the executive), Bunge (The Legislature) na Mahakama (The Judiciary). Mihimili hii yote mitatu, ina nguvu za mamlaka sawa zinazojitegemea, bila kuingiliana, (powers), lakini nguvu hizo zinatenganishwa ili nguvu ya mamlaka moja isiingilie nguvu ya mamlaka nyingine, (separation of powers), huku kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mlinzi wa mhimili mwingine usivuke mipaka ya nguvu na mamlaka yake, kwa kufanya checks and balance, yaani ku act as a watchdog wa muhimili mingine.

Serikali yenye Nguvu, Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo!.
Mihimili hii, inaongozwa na viongozi ambao wana mamlaka kuu kuhusu mihimili yao. President ndio mkuu wa The Executive, Spika ndio mkuu wa The Legistlature, na Jaji Mkuu, ndie mkuu wa The Judiciary, lakini pamoja na nia njema kuwa mihimili yote ina mamlaka na hakuna mhimili wowote unaopaswa kujiinua juu Zaidi na kuwa na mamlaka kuu kuliko mhimili mwingine in theory, lakini kiukweli in practical, mhimili wa The Executive ndio mhimili mkuu unaomiliki vyombo vya dola na kuitawala mihimili mingine yote!, hivyo mkuu wa The Executive, yaani rais, ndio kila kitu!, akisema!, amesema!. Rais anaingilia Bunge, Bunge lipo na linaingiliwa huku linatazama tuu na linanyamaza, hili ni Bunge gani kama sio Bunge Butu?!, rais anaingilia mhimili wa Mahakama, Mahakama ipo na ina meno, lakini haiwezi kung'ata, hii ni Mahakama gani kama sio Mahakama Kibogoyo?, ila yote ni tisa kumi ni sisi wananchi, ndio wenye katiba, ndio tuliomuajiri rais Magufuli awe rais wetu kwa kura zetu, hivyo sisi ndio mabosi wake!. Serikali ipo kwa ajili yetu, Bunge lipo kwa ajili yetu, na mahakama ipo kwa ajili yetu, ila nasi kwa sababu hatujui wajibu wetu, nasi tupo tuu tumenyamaza tunaangalia!.

Rais Magufuli na Uvunjaji wa Katiba.
Tuambiane ukweli, tangu rais Magufuli ameingia madarakani, sio mara moja au mbili amekuwa akitoa kauli tata, zinazokwenda kinyume cha katiba, na kinyume cha kanuni ya the separation of powers kwa kuiamumuru mihimili ya Bunge na Mahakama kufanya hiki au kile, wakati mihimili hiyo ilipaswa kuingilia kati kwa kuicheck serikali kwa kumcheck mkuu wa the executive, lakini vyombo hivyo vimekaa kimya hivyo kumfanya rais ajisikie kuwa he is eveything, the big boss and he is always right! kwa kanuni ya "the boss is always right!". Njia pekee kuzuia uvunjwaji huu wa katiba ni kupitia mahakama.

Udikiteta wa Magufuli.
Hoja kama Magufuli ni dikiteta au la, haina mjadala, Magufuli ni dikiteta wa ukweli ambaye hana mswalie Mtume, na alipoingia tuu madarakani, alianza kuonyesha udikiteta wake right away kwa kuliingilia bunge na mahakama kuziweka chini ya amri zake!. Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo wabunge na watumishi wa bunge, wakiwemo majaji na watumishi wa mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kibali cha kutimiza wajibu wao!, huu sui tuu ni udikiteta, pia ni udhalilishaji wa bunge na mahakama!.

Baada ya katazo lile, checks and balance zingepaswa kuanzia hapo kwa Jaji Mkuu kumweleza rais huko ni kuingilia uhuru wa mahakama (the independence of the judiciary) hivyo muhimili wa mahakama haukupaswa kujisubmit chini ya the executive, bali mamlaka hayo ya kuzuia safari za nje, Spika alipaswa kuwa nayo kudhibiti safari za mhimili wa bunge, na Jaji Mkuu alipaswa kuwana nayo kudhibiti safari za mhimili wa mahakama, lakini mihimili hii ilikaa kimya kwa kujisubmit chini ya the executive, hivyo kumfanya rais kuwa ndio kila kitu!.

Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!, na badala yake waitumie mahakama kutoa tafsiri ya katazo la rais na sio kushindana nae au kutaka kupimana naye kwa kutunishiana msuli!.

Hili la udikiteta wa rais Magufuli, tumeisha lizungumza sana humu
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...

Dawa ya Udikiteta
Dawa pekee dhidi ya Udikiteta ni kupitia a legal redress kwa kufungua shauri mahakama kuu itoe tafsiri rasmi ya kisheria kama rais anavunja katiba au laa, kama amevunja katiba, then mahakama kuu kupitia prerogative orders, inamuamuru rais kwa kumlazimisha lazima afuate katiba, hivyo analazimishwa kufuta tamko lake, apende asipende, atake asitake, katiba ndio iko juu ya kila kitu, hata rais wa JMT, yuko chini ya katiba!.

Kama Chadema wanavyojinasibu wana wanasheria manguli, huo unguli wao kwenye sheria ni unguli wa kwenye nini kama serious issues kama hizi za kukiukwa kwa katiba, wanazipinga kwa maandamano na mikutano?!. Sio kila kitu kinapingwa kwa maandamano, na mikutano ya hadhara. Kuna wakati CHADEMA mnahamasisha maandamano ya kijingajinga. Sometimes Chadema wawe wanachukua ushauri kwa wenye busara wao kabla hawajafanya maandamano. Sikumbuki ni lini Moshi wamewahi kuandamana. Hii maana yake Ndesamburo ni miongoni mwa wenye busara wachache ndani ya Chadema. Sikumbuki kuwahi kumuona Ndesamburo, Prof. Beregu, Prof. Safari na Mzee Victor Kimesera wakishiriki maandamano yeyote zaidi ya yale ya Arusha. Hivyo sio kila kitu ni maandamano tuu!.

Uzuri wa Magufuli
Ila kitu kimoja kuzuri kuhusu udikiteta wa rais wetu, ni Rais Magufuli, japo ni dikiteta kweli na amevunja katiba kuzuia mikutano ya hadhara, yeye sio mwanasheria, hivyo baada ya kuchaguliwa rais, anajua yeye ndio kila kitu!, wala hajui kuwa mamlaka yake yana mipaka, hajui kuna vitu anaweza kufanya na kuna vitu hawezi, yeye anajua maadam ameshinda urais, na yeye ndio rais, hivyo anajiamini kyeye ndio kila kitu na anaweza kufanya chochote!, hivyo amefanya hayo ya nia njema, na dhamira safi hivyo ni dikiteta mzalendo!, mwenye uchungu na umasikini wa nchi hii, mwenye nia njema ya kusafisha uozo wote wa uzembe, rushwa na ufisadi, na kulikomboa taifa letu toka kwenye lindi la umasikini uliotopea na kuwa nchi ya maziwa na asali kupitia uchumi wa gesi na viwanda.

Mungu mbariki Magufuli!.

Mungu ibariki Tanzania.

Wasalaam.

Paskali
Rejea za shauri za bure
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...
Ushauri wa Bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ...
Ushauri wa Bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ...
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep ...
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Magufuli, Futilia Mbali Utawala wa Sheria ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Usikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.
Ushauri wa Bure kwa Dr. Shein: Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ...
Ushauri wa Bure kwa Magufuli, DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...

Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
 


Wanabodi,

Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, kitendo cha rais Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa ni kinyume cha katiba!, rais Magufuli hana mamlaka ya kuzuia jambo lolote ambalo katiba imeruhusu, hivyo zuio la rais Magufuli kwa mikutano ya kisiasa, japo ni zuio batilii, lakini kwa vile Magufuli ndio Mkuu wa nchi, kila atakalosema, litatekelezwa tuu hata kama ni kinyume cha Katiba, mpaka pale vyombo vyenye uwezo wa kumdhibiti rais, vitakapo mdhibiti. Vyombo hivyo ni Bunge na Mahakama!. Hivyo alichokifanya rais Magufuli is nothing else Zaidi ya udikiteta at the highest nature na highest stages!. Dawa pekee ya kuzuia udikiteta huu sio maandamano, bali ni kutumia legal redress kwa Chadema kufungua shauri Mahakama Kuu, kuomba rasmi tafsiri ya kisheria ya katazo la rais kwa kutumia kitu kinachoitwa prerogative orders kinachoombwa kupitia Judicial Review.
Hizi Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3.

  • certiorari, an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
  • mandamus, an order issued by a higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
  • prohibition, directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
  • habeas corpus, demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
  • quo warranto, requiring a person to show by what authority they exercise a power.
  • procedendo, to send a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment.
Hivyo nawashauri kwa dhati kabisa Chadema, udikiteta haupingwi kwa maandamano, kama Chadema mnajipenda, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, na badala yake undeni jopo la wanasheria nguli, mfungue shauri mahakamani, badala ya kuwasumbua wanachama na wafuasi wenu kuandamana for nothing, kwa sababu kwenye udikiteta, kutumia maandamano kupingwa kuvunjwa kwa katiba, ni nothing!, mtaachieve nothing, na sana sana mtaishia kuumizwa na kuwaumiza wanachama, wapenzi na wafuasi wenu kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia kuwa ana hulka ya udikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.

Misingi ya Katiba na The Rule of Law
Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya katiba na sheria, (the rule of law) ambapo nchi inapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa matamko ya viongozi yanayokwenda kinyume cha katiba!. Tangu rais Magufuli ameingia madarakani, ameisha onyesha kwa kauli na matendo kuwa kwake Katiba sio kitu!, it is nothing!, dawa ya mtu wa aina hii ni kuitumia katiba kumuwajibisha kwa kumfikisha mahakamani, akumbushwe kuwa nchi haindeshwi kwa matakwa binafsi ya mtu, bali inaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni kama zilivyoainishwa kwenye katiba. Rais Magufuli atakumbushwa kuwa, kwa vile aliapishwa kuifuata, kuilinda na kuitekeleza katiba ya JMT, then ni lazima akiheshimu kiapo chake, kinyume cha hapo ni udikiteta tuu huu!.

The Doctrine of Separation of Powers With Check and Balance.
Nchi yetu ina mihmili mikuu mitatu, Serikali, (the executive), Bunge (The Legislature) na Mahakama (The Judiciary). Mihimili hii yote mitatu, ina nguvu za mamlaka sawa zinazojitegemea, bila kuingiliana, (powers), lakini nguvu hizo zinatenganishwa ili nguvu ya mamlaka moja isiingilie nguvu ya mamlaka nyingine, (separation of powers), huku kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mlinzi wa mhimili mwingine usivuke mipaka ya nguvu na mamlaka yake, kwa kufanya checks and balance, yaani ku act as a watchdog wa muhimili mingine.

Serikali yenye Nguvu, Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo!.
Mihimili hii, inaongozwa na viongozi ambao wana mamlaka kuu kuhusu mihimili yao. President ndio mkuu wa The Executive, Spika ndio mkuu wa The Legistlature, na Jaji Mkuu, ndie mkuu wa The Judiciary, lakini pamoja na nia njema kuwa mihimili yote ina mamlaka na hakuna mhimili wowote unaopaswa kujiinua juu Zaidi na kuwa na mamlaka kuu kuliko mhimili mwingine in theory, lakini kiukweli in practical, mhimili wa The Executive ndio mhimili mkuu unaomiliki vyombo vya dola na kuitawala mihimili mingine yote!, hivyo mkuu wa The Executive, yaani rais, ndio kila kitu!, akisema!, amesema!. Rais anaingilia Bunge, Bunge lipo na linaingiliwa huku linatazama tuu na linanyamaza, hili ni Bunge gani kama sio Bunge Butu?!, rais anaingilia mhimili wa Mahakama, Mahakama ipo na ina meno, lakini haiwezi kung'ata, hii ni Mahakama gani kama sio Mahakama Kibogoyo?, ila yote ni tisa kumi ni sisi wananchi, ndio wenye katiba, ndio tuliomuajiri rais Magufuli awe rais wetu kwa kura zetu, hivyo sisi ndio mabosi wake!. Serikali ipo kwa ajili yetu, Bunge lipo kwa ajili yetu, na mahakama ipo kwa ajili yetu, ila nasi kwa sababu hatujui wajibu wetu, nasi tupo tuu tumenyamaza tunaangalia!.

Rais Magufuli na Uvunjaji wa Katiba.
Tuambiane ukweli, tangu rais Magufuli ameingia madarakani, sio mara moja au mbili amekuwa akitoa kauli tata, zinazokwenda kinyume cha katiba, na kinyume cha kanuni ya the separation of powers kwa kuiamumuru mihimili ya Bunge na Mahakama kufanya hiki au kile, wakati mihimili hiyo ilipaswa kuingilia kati kwa kuicheck serikali kwa kumcheck mkuu wa the executive, lakini vyombo hivyo vimekaa kimya hivyo kumfanya rais ajisikie kuwa he is eveything, the big boss and he is always right! kwa kanuni ya "the boss is always right!". Njia pekee kuzuia uvunjwaji huu wa katiba ni kupitia mahakama.

Udikiteta wa Magufuli.
Hoja kama Magufuli ni dikiteta au la, haina mjadala, Magufuli ni dikiteta wa ukweli ambaye hana mswalie Mtume, na alipoingia tuu madarakani, alianza kuonyesha udikiteta wake right away kwa kuliingilia bunge na mahakama kuziweka chini ya amri zake!. Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo wabunge na watumishi wa bunge, wakiwemo majaji na watumishi wa mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kibali cha kutimiza wajibu wao!, huu sui tuu ni udikiteta, pia ni udhalilishaji wa bunge na mahakama!.

Baada ya katazo lile, checks and balance zingepaswa kuanzia hapo kwa Jaji Mkuu kumweleza rais huko ni kuingilia uhuru wa mahakama (the independence of the judiciary) hivyo muhimili wa mahakama haukupaswa kujisubmit chini ya the executive, bali mamlaka hayo ya kuzuia safari za nje, Spika alipaswa kuwa nayo kudhibiti safari za mhimili wa bunge, na Jaji Mkuu alipaswa kuwana nayo kudhibiti safari za mhimili wa mahakama, lakini mihimili hii ilikaa kimya kwa kujisubmit chini ya the executive, hivyo kumfanya rais kuwa ndio kila kitu!.

Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!, na badala yake waitumie mahakama kutoa tafsiri ya katazo la rais na sio kushindana nae au kutaka kupimana naye kwa kutunishiana msuli!.

Hili la udikiteta wa rais Magufuli, tumeisha lizungumza sana humu
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...

Dawa ya Udikiteta
Dawa pekee dhidi ya Udikiteta ni kupitia a legal redress kwa kufungua shauri mahakama kuu itoe tafsiri rasmi ya kisheria kama rais anavunja katiba au laa, kama amevunja katiba, then mahakama kuu kupitia prerogative orders, inamuamuru rais kwa kumlazimisha lazima afuate katiba, hivyo analazimishwa kufuta tamko lake, apende asipende, atake asitake, katiba ndio iko juu ya kila kitu, hata rais wa JMT, yuko chini ya katiba!.

Kama Chadema wanavyojinasibu wana wanasheria manguli, huo unguli wao kwenye sheria ni unguli wa kwenye nini kama serious issues kama hizi za kukiukwa kwa katiba, wanazipinga kwa maandamano na mikutano?!. Sio kila kitu kinapingwa kwa maandamano, na mikutano ya hadhara. Kuna wakati CHADEMA mnahamasisha maandamano ya kijingajinga. Sometimes Chadema wawe wanachukua ushauri kwa wenye busara wao kabla hawajafanya maandamano. Sikumbuki ni lini Moshi wamewahi kuandamana. Hii maana yake Ndesamburo ni miongoni mwa wenye busara wachache ndani ya Chadema. Sikumbuki kuwahi kumuona Ndesamburo, Prof. Beregu, Prof. Safari na Mzee Victor Kimesera wakishiriki maandamano yeyote zaidi ya yale ya Arusha. Hivyo sio kila kitu ni maandamano tuu!.

Uzuri wa Magufuli
Ila kitu kimoja kuzuri kuhusu udikiteta wa rais wetu, ni Rais Magufuli, japo ni dikiteta kweli na amevunja katiba kuzuia mikutano ya hadhara, yeye sio mwanasheria, hivyo baada ya kuchaguliwa rais, anajua yeye ndio kila kitu!, wala hajui kuwa mamlaka yake yana mipaka, hajui kuna vitu anaweza kufanya na kuna vitu hawezi, yeye anajua maadam ameshinda urais, na yeye ndio rais, hivyo anajiamini kyeye ndio kila kitu na anaweza kufanya chochote!, hivyo amefanya hayo ya nia njema, na dhamira safi hivyo ni dikiteta mzalendo!, mwenye uchungu na umasikini wa nchi hii, mwenye nia njema ya kusafisha uozo wote wa uzembe, rushwa na ufisadi, na kulikomboa taifa letu toka kwenye lindi la umasikini uliotopea na kuwa nchi ya maziwa na asali kupitia uchumi wa gesi na viwanda.

Mungu mbariki Magufuli!.

Mungu ibariki Tanzania.

Wasalaam.

Paskali
Rejea za shauri za bure
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...
Ushauri wa Bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ...
Ushauri wa Bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ...
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep ...
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Magufuli, Futilia Mbali Utawala wa Sheria ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Usikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.
Ushauri wa Bure kwa Dr. Shein: Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ...
Ushauri wa Bure kwa Magufuli, DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...

Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
 
Sijatisha mtu, huu ndio ukweli wenyewe.
P
Acha kila mmoja ajichagulie njia yake, wewe jisemee kama wewe na wengine pia watajisemea wao kama wao,
Usijivike haki za wengine bila wao kukupa ruhusa,
Moyo wa mtu ni kichaka hakuna anayejua mwingine anawaza nini ,tusubiri tuone nini kitatokea
 
Acha kila mmoja ajichagulie njia yake, wewe jisemee kama wewe na wengine pia watajisemea wao kama wao,
Usijivike haki za wengine bila wao kukupa ruhusa,
Moyo wa mtu ni kichaka hakuna anayejua mwingine anawaza nini ,tusubiri tuone nini kitatokea
Binadamu tumetofautiana uwezo na uwezo wa uelewa, kuna watu wanamacho lakini hawaoni, na wana masikio lakini hawasikii, sasa wewe ukiwa ni miongoni mwa wenye macho, na ukaona kuna kundi kubwa la kipofu anawaongoza watu kuvuka barabara, na wao pia wamefunga macho, lakini wewe unawaona kabisa, anakowapeleka siko kwa sababu mbele kuna shimo, jee utawaacha tuu wakatumbukie kwenye shimo?. No mtu anayejali, akiona kuna hatari yoyote, inayomnyemelea mtu yoyote, atamsaidia kumuepushia na hiyo hatari.

Hivyo ninachofanya hapa ni kuwaamsha wana Chadema wasiojitambua, wasikubali kuswagwa kama mbuzi au kuwa kama nyumbu, kwa kuongozwa na vipofu kuishia kuwadumbukiza kwenye shimo kwa kuwagutusha tuu kuwa kiongozi wao wanaemtegemea ni kipofu hawezi kuwavusha, ili wale wenye macho, wafungue macho, walione hilo shimo, wasimame wasitumbukie shimoni!.

Udikiteta wowote wa the head of state ni something very serious, haupingwi kwa mandamano na mikutano ya hadhara.
P
 
Du!, leo limeshuka karipio kali kupiga marufuku maandamano, bado kuna mtu kweli ataandamana?.
 
Hongera kwa uchambuzi wako Ndugu Pascal Mayala. Nadhani watu wengi hawaelewi maana au dhana ya "Separation Of Powers" Swala la Rais kuagiza watu wasisafiri nje haliusiani na mwingiliano wa kiutendaji katika mihimili hii mitatu. Rais ndiye Mkuu wa Ajira katika Utumishi wa Umma. Japo yeye mwenyewe anawateuwa baadhi ya watu lakini kwa sheria zilizopo hawezi watoa kama atavyotaka hapana. Ila atabaki kuwa Mkuu wa Utumishi wa Umma. Iwapo anaona kuna jambo haliendi vizuri kwa mamlaka aliyo nayo anahaki ya kulinda maslahi ya nchi. Uwezi mlinganisha Jaji, Spika na Rais.

Rais ni Nembo ya Taifa, Nembo ya Dora na Nembo ya nchi. Ndo maana hata mapokezi ya Rais wa Taifa uwa ni tofauti na Jaji na Spika. Hivyo amri ya Rais ilikuwa ni halali kwani hakuingilia maamuzi au utendaji wa kimahakama, alichozuia ni utumiaji ovyo wa fedha ya serikali ambayo bajeti ikipangwa Mahakama haiitwi Bungeni kuwasilisha bajeti yake binafsi, pia kwa Bunge. Hizi zote uwasilishwa na Mawaziri husika katika wizara hizo. Leo hii kukitokea ubadhirifu katika Mahakama au Bunge mara nyingi anaeangaliwa ni mkuu wa nchi. Tazama Mahakama imekuwainaongoza kwa Rushwa siku zote inalaumiwa serikali kushindwa kudhibiti mianya ya rushwa si Jaji mkuu, kwasababu Serikali ndiyo iliyo na vyombo vya kuchunguza na kuzuia Rushwa wala si Bunge. Hivyo Rais yupo sawa kuzuia safari isipokuwa kwa kibari.

Swala la kuzuia mikutano ya siasa, nadhani mikutano haijazuiwa ila kinachotakiwa ni kufuata taratibu, hivi leo tukisema kwakuwa katiba inaruhusu watu kufanya mikutano ya kisiasa kusiwe na utaratibu sidhani kama kutakuwa na kuelewana. Kila mtu atafanya atakalo. Katiba inatoa huo uhuru lakini Pascal weye ni mwanasheria, kumbuka mbali yakuwa na sheria mama, lazima utunge kanuni au muongozo wa namna ya kutekeleza sheria mama. Katiba imeainishwa kwa kuwepo sheria mbalimbali katika kuweka utaratibu na kukidhi malengo ya sheria. Kwa watu wanao taka kuandamana. Katiba inaruhusu maandamano. Lakini kunataratibu na sheria zinazoelezea utaratibu wa maandamano uweje! Lazima kutolewe taarifa ya maandamano husika. polisi au vyombo vya ulinzi vinamamlaka ya kuangalia je jambo linalotakiwa kufanywa ni lakuvunja amani au siyo. Hapo inaweza zuia au ruhusu. Mafano maandamano ya tarehe 26/04/2018 nia ni kumpinga Rais na kutaka kumuondoa madarakani ipo wazi kwa mhamasishaji wa maandamano hayo anavyo dai. Pascal nambie Katiba ya nchi inaruhusu kumtoa Rais madarakani kwa utaratibu wa maandamano? Nadhani katiba imeeleza wazi namna ya kutokuwa na imani na Rais hatimaye kumuondoa. Afrika ya Kusini walitumia utaratibu kwa Mujibu wa katiba kumuondoa Rais wao. Lakini tunatofautiana pia kimuundo namna ya kumpata Rais.

Hivyo kinachotaka kufanyika ni uhaini na ni kinyume cha Katiba na Watu wakiandamana kwa kigezo hicho wao ndo wanavunja katiba ya nchi na ni vema hatua kali zichukuliwe dhidi yao. Nampongeza Rais kutamka wazi, na kuwaonya kwani watanzania tunafikiri kwa kuwa katiba inaruhusu maandamano basi unaweza amka nyumbani kwako ukaandamana bila sababu maalumu. Kuwe na sababu ya msingi isiyotaka vunja amani ya nchi. Vyombo vya Ulinzi na usalama vimeapa kulinda amani ya nchi. Hivyo ni wito wangu kwa wananchi kutulia na kuheshimu katiba. Watu mnadai Magufuri anaingilia Bunge hivi lini na ushahidi upo wapi Rais Magufuri kaingilia Bunge je kuna jambo au muswada wakati wa mjadala Rais aliingilia na kuweka mchango wake? Bado tukumbuke Miswada inapojadiliwa Bungeni wa mwisho kuipitisha ili iwe sheria ni Rais na wala si Spika wala wabunge. Hivyo Rais anamamlaka zaidi ya tudhaniavyo. Watanzania kuna watu wachache wanao taka kupotosha na kuharibu taswira ya Rais na nchi yetu kwa maslahi yao. Hivi kipi kibaya Rais kafanya, kusema watu walipe kodi? nchi gani wananchi wake hawalipi kodi? Kupinga Rushwa? Kuongeza utendaji na uwajibikaji wa serikali? Ebu watanzania tutulie tufanye kazi hata Marekani na nchi za Ulaya zilipata maendeleo wakati huo Demokrasia zao hazikuwa kama hivi leo. Marekani wanawake wameruhusiwa kupiga kula miaka ya sitini. Maamuzi mengi Ulaya yaliendeshwa kwa nguvu za viongozi wa wakati huo ndiyo maana nchi ziliendelea. Hii demokrasia ya Tanzania ni watu kutaka kupiga dili wameshindwa sasa wanaghadhabu na Rais. Poleni! Mhe Rais fanya kazi tuko nawe. Wabane na hujavunja katiba, watu wliingia katika siasa kwa maslahi binafsi sasa wanaonja joto ya jiwe. Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais Magufuri na mwezeshe kutuvusha salama. Amen.
 
"Hakuna dhambi mbaya kama uoga" Godbless Lema

Acha tuandamane tutapambana barabarani na polisi.

Makamanda tujiandae kuingia barabarani nawaomba Mbowe na Lowassa pamoja na Sumaye tuwe pamoja kwenye maandamano.
Mkuu mliandamana kwani? Mimi nilikuwa maporini sijui nini kiliendelea.
 
Yap! Wapo wengi watakaoandamana. Hasa wale wanaokandamizwa. Of course wewe najua upokazini . Believe me kuna watu ambao wako tayari kwa any consquences
Hakuna mtu ndani ya ardhi ya Tanzania wa kuandamana hiyo siku.

Mengine ni stori tu na kujifurahisha huku muanzilishi akijiongezea followers kwenye social media ajiongezee kipato.

Every social event is a lucrative business opportunity.
 
Ushauri mwingine huu kwa Chadema, ilikuwa waanze mikutano bila vibali Corona ikaokoa jahazi
CHADEMA, badilikeni. Fuateni sheria na utaratibu katika kufanya mambo yenu na kusaka haki zenu. Hakuna haja ya kila uchao kuingia kwenye mivutano na Serikali na vyombo vyake. Hata nia yenu ya kutaka Tume Huru ya Uchaguzi itafanikiwa mkifuata sheria na taratibu na mtaungwa mkono vya kutosha.
Mkuu Wakili Msomi, Petro Mselewa, Naunga mkono hoja, ushauri huu ni mzuri sana kwa Chadema kufuata sheria bila shuruti.
Chadema kama mna masikio, sikieni.

P
 
Ushauri mwingine huu kwa Chadema, ilikuwa waanze mikutano bila vibali Corona ikaokoa jahazi
Mkuu Wakili Msomi, Petro Mselewa, Naunga mkono hoja, ushauri huu ni mzuri sana kwa Chadema kufuata sheria bila shuruti.
Chadema kama mna masikio, sikieni.

P
Mkuu Pascal Mayalla: Naomba uirejeshe kile kipindi chako cha KITI MOTO japo humu JF. Nilikipenda sana kile kipindi. Samahani Waheshimiwa kwa kuwatoa nje ya mstari. Haya ni yangu na P.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom