Ushauri kwa Clouds Media Group kuhusu Diamond

Naona kuna wapumbavu mnachukulia poa kitendo cha radio kuvamiwa c cha kawaida wala c cha kukichekea
sasa huyu mond vyombo vya habar kw umoja wao vinaweza kumsusa kwa kumuunganisha na bashite
waende uhuru fm na tbc

.....chonde chonde hakuna aliyeanzisha vita na vyombo vya habar akashinda
 
Wapi domo kaanzisha vita na vyombo vya habari
 
miaka hii miwili nimeshuhudia watu wakichafuliwa na kusafishwa ndani ya siku mbili. watu wanabadilisha pande kwa speed ya rocket na sasa watu kuramba matapishi yao.wenyewe imekuwa jambo la kawaida sana!
raia leo wako na mange
wako na clouds
wako na gwajima
wako na na nape
wako na masha
wako na ben na roma
ni kweli yanatokea?
 
ila kwa kweli Diamond hata mimi nime muona ni kubwa jinga
na nyimbo zake nimezifungia sisikilizi wiki hii yote
Uswahili unamsumbua. Pia ameshindwa kuficha kitalaamu upande anao usimamia.

Pamoja na kuwa msanii wa kimataifa bado hajajua kucheza na mind za wana nzengo, kawaida msanii kwenye inshu yenye tension kama hii anatakiwa kusimama upande wa wanainchi na sio serikali.

Na kama ukiona wanachosimamia wanainchi ni upuuzi basi usijionyeshe ukae kando tu kuliko kujionyesha wazi wazi uko pande wa serikali.

Eti anawaambia watu wafanye kazi, hivi watu wangekuwa hawafanyi kazi ni nani angekuwa anaingia kwenye show zake na kufanya awe hapo alipo!? Almasi kafanya ufalaa sana.
 
Tehe tehe tehe!Diamond anauza kazi zake siku hizi kupitia mtandao.Yaani ni kama mashine ya pesa.ikifika jioni anasoma meter zimeingia ngapi.Hayo mambo ya kutegemea Clouds na redio nyingine wamebaki nayo jina Kiba
Na pia kama watu hawafanyi kazi hizo hela wanazotumia mashabiki wa muziki kununua kazi zake mitandaoni zinatoka wapi!?
 
upo sahihi
 
Basi huyu Nasibu ni wa kumdharau kumbe nae kamaliza la saba..Nilisikia kwamba Kiengereza cha kuombea maji kafundishwa na Wema Sepetu
Haujakatazwa kumdharau pamoja na la saba na Kiingereza chake cha kuombea maji.

Mwisho wa siku unakuta huyo Nassib anavyoishi vizuri kwenye maisha yake haufikii hata robo.
 
upo sahihi
Ni kosa kubwa sana Ku side na serikali dhidi ya raia.

Raia ndio wanaokufanya uwe msanii hao serikali watakutafuta ukiwa na popularity na popularity yako ikishuka tu hawana muda na wewe tena. Watu wakuitengeneza popularity ni raia kwa hiyo basi wakikususa tu umejifia.

Akina Jay z utawaona sana wakati wa kampeni lakini huwezi kuwaona wakiunga mkono kitendo chochote kinachofanywa na serikali alafu kinalalamikiwa na raia.
 
Almasi hajui tu, tena anashindwa kujua Serikali haina rafiki wa kudumu, leo ana ona wanafanyiwa wengine kesho yata mkuta
tena kwa serikali kama hii isiyo jielewa ata juta.
na hakuna atakaye mwonea huruma
 
Dah... Nchi inazidi kugawanyika tu... Kuna wana ulinzi na usalama.... wanasiasa... wananchi... na wauza ngada [emoji13] [emoji13]
 
Watu wanachanganya kati ya maoni binafsi na wimbo wa msanii anaotaka usikilizwe na raia wote . Sasa kama anaweka maoni binafsi kwenye biashara inayotaka raia wote wanunue akumbuke kununua wimbo huo kibinafsi pia wimbo ule ni wa ovyo kabisa kwenye mashairi haufai kusikilizwa na watu wote labda kina bashite wanaomuunga mkono.
 
Almasi hajui tu, tena anashindwa kukua Serikali haina rafiki wa kudumu, leo ana ona wanafanyiwa wengine kesho yata mkuta
tena kwa serikali kama hii isiyo jielewa ata juta.
na hakuna atakaye mwonea huruma

Tatizo ni uswahili wa tandale bado hujamtoka, yeye anaamini hapo alipofika hana sababu ya kuwa na hofu juu ya mashabiki kwani chochote atakachofanya hata kama kitawakwaza wengi hakina athari zozote kwake.

Ngoja yamkute na yeye ndio ataona umuhimu wa kati ya kujipendekeza sana serikalini na kuwa karibu na raia wa kawaida ambao ndio wengi.

Nimeona post yake aliyoiandika kuhusu sheta, aisee yaani nimeshindwa hata kuamini huyu ni msanii mkubwa Tanzania.
 
Haupo sahihi kabisa..yeye ndio hanifikii mimi..tena kwa mambo mengi sana
 
Hakuna media iliomfanya mond kuwa mkubwa....Mondo kajifanya mkubwa mwenyewe kwa juhudi na maarifa yake kwenye kazi zake...afu dua la kuku halmpati mwewe kenge wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…