Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kushushwa sawa...muda rafiki mzuriHii ni nchi huru.kila mtu yuko huru kutoa maoni yake ilimradi asipitilize akavunja sheria.kaka sioni ni wapi diamond alipokosea.Dhahiri unaonekana uko na chuki.kumbuka diamond ni wa kimataifa clouds hawawez kumshusha tena.hategemei media so endelea kupayuka upupu wako ukimaliza kaangalie you tube views wangapi na wasafi.com kapiga mtonyo kiasi gani.Acha chuki bro
Kujitekenya uku....mim nikazani viroba havipatkani kumbe bado vipoile nyimbo imebuma tayari alaf tatzo.mondi kaishia form two hata living sertificate hana bora mm nna D5 ndy maana anamtetea mburura mwenzie.kwanz mondi wa mwaka jana syo huyu soon ata kwambia npo buzy na biashara kumbe game ngumu
Waje tuNgoja wenye team zao waje,,[emoji16][emoji16]
mawazo yako yalipo ishia nyie ndy mafala hamjui na hamjui kma.hamjuiLiving sertificate=Leaving certificate
Si mbaya bora kuishia la saba,form two ila maendeleo makubwa anayo. Wewe wa dv 5 maendeleo uliyonayo ni kumiliki smartphone tu,kula,kushit,kulala kwa wazazi,shemeji,ndugu,jamaa na marafiki
mawazo yako yalipo ishia nyie ndy mafala hamjui na hamjui kma.hamjui
nadhani alipofika anauwezo hata wa kuwekeza kwenye biashara sawia na hao mawingu...Diamond aliposahv wakumshusha ni MUNGU tu hawawengine hamna mbna eatv earadio hawapigi na akawambia mnajipotezea mda Diamond sio mziki tena ni jina ndo linauza kwahyo tulia muvi liendelee
Nanusa harufu ya ile kitu JK Nyerere alipata sema "chuki dhidi ya.......uislam"Hii ni nchi huru.kila mtu yuko huru kutoa maoni yake ilimradi asipitilize akavunja sheria.kaka sioni ni wapi diamond alipokosea.Dhahiri unaonekana uko na chuki.kumbuka diamond ni wa kimataifa clouds hawawez kumshusha tena.hategemei media so endelea kupayuka upupu wako ukimaliza kaangalie you tube views wangapi na wasafi.com kapiga mtonyo kiasi gani.Acha chuki bro
hamna mi ntakuja bhana, uta enjoy nakwambiaPm ubishi hapanogi huku ndio uwanja mwenyewe
Hebu weka huo wimbo maana cjausikia kabla sijakoment chochoteHuyu kijana ni mnafiki sana. Anadhani watanzania ni wapuuzi sana. Haiwezekani MTU ambaye anaikanyaga demokrasia na kuvamia vituo vya Habari yeye anatunga nyimbo ya kumpromote na kumfagilia kana kwamba nyie ambao mmebeba hadi kufikia hapo anawaona wapuuzi na kiwadharau sana. Juzi mmemsimamisha Alex lwambano kwa kurusha habari za bashite: Leo mkimpromote huyu mnafiki tutawashangaa sana.
Kijana amevuka mstari na lazima ahadhibiwe ipasavyo...Leo anatukana wananchi eti tumekaa hatufanyi kazi tunajadili vyeti...mpuuzi huyu, hajui kuwa mkuu wa Nchi kafukuza wangapi kwa kashfa za vyeti.
Clouds nyie ndo mmemweka hapo. Hakuna kumpa airtime tena. Wapo wasanii wengi Tanzania. Wakina Ben pol, jux, vmoney wasanii wazuri sana km mkiamua kuwekeza kwao.
Dogo mmefanya kawa Mkubwa Leo anawaona nyie wapuuzi. Si anamitandao ya kijamii. Sawa hamna kumpigia tuone fala huyu.tulikusapoti diamond but nadhani una matatizo ya akili..lazima ulipe upuuzi wako.
Umetumika sasa utakula jeuri yako. Bashite hana maisha marefu ya kuwa Mkuu Dar. Utakula jeuri yako pimbi wewe.
Dogo mshamba sana wewe. Badala ya kufanya mziki unaleta upuuzi wa kikolomije. Unajiona pimbi wewe.
Na efm huyu kijana hawafai kabsa.
clouds wanapiga sana huu wimbo wa mondHuyu kijana ni mnafiki sana. Anadhani watanzania ni wapuuzi sana. Haiwezekani MTU ambaye anaikanyaga demokrasia na kuvamia vituo vya Habari yeye anatunga nyimbo ya kumpromote na kumfagilia kana kwamba nyie ambao mmebeba hadi kufikia hapo anawaona wapuuzi na kiwadharau sana. Juzi mmemsimamisha Alex lwambano kwa kurusha habari za bashite: Leo mkimpromote huyu mnafiki tutawashangaa sana.
Kijana amevuka mstari na lazima ahadhibiwe ipasavyo...Leo anatukana wananchi eti tumekaa hatufanyi kazi tunajadili vyeti...mpuuzi huyu, hajui kuwa mkuu wa Nchi kafukuza wangapi kwa kashfa za vyeti.
Clouds nyie ndo mmemweka hapo. Hakuna kumpa airtime tena. Wapo wasanii wengi Tanzania. Wakina Ben pol, jux, vmoney wasanii wazuri sana km mkiamua kuwekeza kwao.
Dogo mmefanya kawa Mkubwa Leo anawaona nyie wapuuzi. Si anamitandao ya kijamii. Sawa hamna kumpigia tuone fala huyu.tulikusapoti diamond but nadhani una matatizo ya akili..lazima ulipe upuuzi wako.
Umetumika sasa utakula jeuri yako. Bashite hana maisha marefu ya kuwa Mkuu Dar. Utakula jeuri yako pimbi wewe.
Dogo mshamba sana wewe. Badala ya kufanya mziki unaleta upuuzi wa kikolomije. Unajiona pimbi wewe.
Na efm huyu kijana hawafai kabsa.
Tehe tehe tehe mambo mengi unajisahau upo wapi[emoji3][emoji3][emoji3] nimezoea kuchambana insta. Mazoea bana
Tehe tehe tehe mambo mengi unajisahau upo wapi
Dogo.kajiunga timu ya majambazi
Demokrasia ni nini kama wewe hapo unashauri udikteta. Watu wengine bana akili zenu sijui huwa mnamuazima nani. Kisa dai hayupo upande wenu kelele mtindo mmoja. Akija upande wenu mnamsafisha na vyeo mnampachika acheni hizo.
Team dai sio wanafiki kama wewe. Eti mlimsapoti pheeeewwwwiiii jitoe tuone kama atashuka kwa kijithread chako hichi
Mbona nape hamkusema ni maoni yake kuunda tume kufuatilia uvamizi wa clouds .. Mkamtumbua shenzi kabisa masikini Mkubwa mla vumbi wewe