Ushauri kwa Clouds Media Group kuhusu Diamond

Ushauri kwa Clouds Media Group kuhusu Diamond

Japo sikubariani na upande ambao Diamond kasimamia....
Ila kwa level alofikia Diamond hakuna Media Bongo inayoweza kumshusha!
Tema mate chini mkuu hivi unamkumbuka Mr.Nice?
 
Huyu kijana ni mnafiki sana. Anadhani watanzania ni wapuuzi sana. Haiwezekani MTU ambaye anaikanyaga demokrasia na kuvamia vituo vya Habari yeye anatunga nyimbo ya kumpromote na kumfagilia kana kwamba nyie ambao mmebeba hadi kufikia hapo anawaona wapuuzi na kiwadharau sana. Juzi mmemsimamisha Alex lwambano kwa kurusha habari za bashite: Leo mkimpromote huyu mnafiki tutawashangaa sana.

Kijana amevuka mstari na lazima ahadhibiwe ipasavyo...Leo anatukana wananchi eti tumekaa hatufanyi kazi tunajadili vyeti...mpuuzi huyu, hajui kuwa mkuu wa Nchi kafukuza wangapi kwa kashfa za vyeti.

Clouds nyie ndo mmemweka hapo. Hakuna kumpa airtime tena. Wapo wasanii wengi Tanzania. Wakina Ben pol, jux, vmoney wasanii wazuri sana km mkiamua kuwekeza kwao.


Dogo mmefanya kawa Mkubwa Leo anawaona nyie wapuuzi. Si anamitandao ya kijamii. Sawa hamna kumpigia tuone fala huyu.tulikusapoti diamond but nadhani una matatizo ya akili..lazima ulipe upuuzi wako.

Umetumika sasa utakula jeuri yako. Bashite hana maisha marefu ya kuwa Mkuu Dar. Utakula jeuri yako pimbi wewe.
Dogo mshamba sana wewe. Badala ya kufanya mziki unaleta upuuzi wa kikolomije. Unajiona pimbi wewe.

Na efm huyu kijana hawafai kabsa.
Acha ujinga wewe zezeta la ufipa
 
Demokrasia ni nini kama wewe hapo unashauri udikteta. Watu wengine bana akili zenu sijui huwa mnamuazima nani. Kisa dai hayupo upande wenu kelele mtindo mmoja. Akija upande wenu mnamsafisha na vyeo mnampachika acheni hizo.

Team dai sio wanafiki kama wewe. Eti mlimsapoti pheeeewwwwiiii jitoe tuone kama atashuka kwa kijithread chako hichi
ile nyimbo imebuma tayari alaf tatzo.mondi kaishia form two hata living sertificate hana bora mm nna D5 ndy maana anamtetea mburura mwenzie.kwanz mondi wa mwaka jana syo huyu soon ata kwambia npo buzy na biashara kumbe game ngumu
 
Vyombo vya habari vinaweza kukupaisha na kukushusha ukapotea
True.Hakuna kitu chenye nguvu kama media.Mleta uzi amemshambulia Diamond lakini hata wimbo wa Ney wa mitego(WAPO) nao una back up ya watu fulani ambao walimshawishi autunge.Ndiyo maana ningekuwa na uwezo ningepiga marufuku wasanii wote kutunga sanaa zenye chembe za Siasa.Kwa sasa wanasiasa wameamua kuwatumia wasanii kufikisha ujumbe.Kinachofanya serikali kuzuia dini kujiingiza kwenye siasa ndicho hicho kitumike kuwazuia wasanii.(Sababu wengi tunaifahamu)
 
Labda tu nikwambie we ulieandika upuuzi huu sahau kihusu hilo, kwanza kwenye nyimbo hajapromote mtu,ameongelea hali halisi iliopo,kwa ss kiufupi diamond kishushwa na vyombo ushuzi sahau,diamond na ruge,kusaga,majay ni bampa to bampa kwahyo sahau
 
Diamond aliposahv wakumshusha ni MUNGU tu hawawengine hamna mbna eatv earadio hawapigi na akawambia mnajipotezea mda Diamond sio mziki tena ni jina ndo linauza kwahyo tulia muvi liendelee
Kijana naona haijui vizuri Clouds awaulize hawa hapa

Rama dee

Mapacha

Sugu(na Antivirus yake)

Ruby

Ibra

Fid Q

MwanaFA

Lady jaydee

N.k
 
Huyu kijana anadharau sana. Kumsapoti ndiyo kuna mfanya ajione Mkubwa kuliko wananchi...clouds FM msituangushe
Hii ni nchi huru.kila mtu yuko huru kutoa maoni yake ilimradi asipitilize akavunja sheria.kaka sioni ni wapi diamond alipokosea.Dhahiri unaonekana uko na chuki.kumbuka diamond ni wa kimataifa clouds hawawez kumshusha tena.hategemei media so endelea kupayuka upupu wako ukimaliza kaangalie you tube views wangapi na wasafi.com kapiga mtonyo kiasi gani.Acha chuki bro
 
Living sertificate=Leaving certificate

Si mbaya bora kuishia la saba,form two ila maendeleo makubwa anayo. Wewe wa dv 5 maendeleo uliyonayo ni kumiliki smartphone tu,kula,kushit,kulala kwa wazazi,shemeji,ndugu,jamaa na marafiki
ile nyimbo imebuma tayari alaf tatzo.mondi kaishia form two hata living sertificate hana bora mm nna D5 ndy maana anamtetea mburura mwenzie.kwanz mondi wa mwaka jana syo huyu soon ata kwambia npo buzy na biashara kumbe game ngumu
 
Back
Top Bottom