Ndoto za abuniasiHahaha huu mchezo mchafu [HASHTAG]#watuwatatuwanampelekadiamondshimoni[/HASHTAG] picha linaanza kama ivyo....
Tunataka haki itendekeKuna kipindi Clouds ilikuwa ikinyambwa vibaya hapa Jf na wananzengo kuhusu wasanii wa kitanzania na muziki kwa ujumla. Leo Clouds imekuwa HERO inatakiwa imshughulikie Diamond
Watanzania itatuchukua muda mrefu sana mpaka kujua tunataka nini
Huyu kijana anadharau sana. Kumsapoti ndiyo kuna mfanya ajione Mkubwa kuliko wananchi...clouds FM msituangushe
Ndoto za abuniasi
Fanya kweli dua linaweza likapokelewa
Huna akili labda linaweza kuwa neno zuri kwako bwege wewe umependa alivyomsifia Yule makalio huna ndg aliyefukuzwa kazi kwa kosa la bashite nyamaza alikuwa kimyaDemokrasia ni nini kama wewe hapo unashauri udikteta. Watu wengine bana akili zenu sijui huwa mnamuazima nani. Kisa dai hayupo upande wenu kelele mtindo mmoja. Akija upande wenu mnamsafisha na vyeo mnampachika acheni hizo.
Team dai sio wanafiki kama wewe. Eti mlimsapoti pheeeewwwwiiii jitoe tuone kama atashuka kwa kijithread chako hichi
Naunga mkono hoja 100 % inapofika mahala inabidi tuonyeshe hisia zetu kwa vitendo sio bure huwezi kumtetea muhalifu kama na wewe sio muhalifu tunajua kwanini anamnyenyekea na aina haja ya kuficha anaogopa kutajwa kwenye kashfa ya madawa kwavile anajua na yeye ni muhusika sialikuwa anapita VIP air port huyu bila ukaguzi nani asiyejuaHuyu kijana ni mnafiki sana. Anadhani watanzania ni wapuuzi sana. Haiwezekani MTU ambaye anaikanyaga demokrasia na kuvamia vituo vya Habari yeye anatunga nyimbo ya kumpromote na kumfagilia kana kwamba nyie ambao mmebeba hadi kufikia hapo anawaona wapuuzi na kiwadharau sana. Juzi mmemsimamisha Alex lwambano kwa kurusha habari za bashite: Leo mkimpromote huyu mnafiki tutawashangaa sana.
Kijana amevuka mstari na lazima ahadhibiwe ipasavyo...Leo anatukana wananchi eti tumekaa hatufanyi kazi tunajadili vyeti...mpuuzi huyu, hajui kuwa mkuu wa Nchi kafukuza wangapi kwa kashfa za vyeti.
Clouds nyie ndo mmemweka hapo. Hakuna kumpa airtime tena. Wapo wasanii wengi Tanzania. Wakina Ben pol, jux, vmoney wasanii wazuri sana km mkiamua kuwekeza kwao.
Dogo mmefanya kawa Mkubwa Leo anawaona nyie wapuuzi. Si anamitandao ya kijamii. Sawa hamna kumpigia tuone fala huyu.tulikusapoti diamond but nadhani una matatizo ya akili..lazima ulipe upuuzi wako.
Umetumika sasa utakula jeuri yako. Bashite hana maisha marefu ya kuwa Mkuu Dar. Utakula jeuri yako pimbi wewe.
Dogo mshamba sana wewe. Badala ya kufanya mziki unaleta upuuzi wa kikolomije. Unajiona pimbi wewe.
Na efm huyu kijana hawafai kabsa.
Hana cheti cha kidato cha NNE. Ni zero brain. Hafahamu umuhimu wa cheti.Samahani waungwana kwani huyu Nasibu ana elimu gani?kamalizia Shule gani?
Basi huyu Nasibu ni wa kumdharau kumbe nae kamaliza la saba..Nilisikia kwamba Kiengereza cha kuombea maji kafundishwa na Wema SepetuHana cheti cha kidato cha NNE. Ni zero brain. Hafahamu umuhimu wa cheti.
Huna akili labda linaweza kuwa neno zuri kwako bwege wewe umependa alivyomsifia Yule makalio huna ndg aliyefukuzwa kazi kwa kosa la bashite nyamaza alikuwa kimya
Nini kimemfanya alopoke usenge wake na kuwekA picha ya baba wa taifa kwenye uchafu wake
[emoji43] [emoji35] wewe nimekustahi ila yeye dai nimempa za kumtosha kwenye instagram
Mkuu I guess all ur brain is full of mucus.
[emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107]Some idiots thinks they are genious hiding behind keyboards. Bravooo
Upande gani kasuku wewe