Ushauri kwa Diamond kama shabiki beef halikusaidii tumia akili kulikwepa

Ushauri kwa Diamond kama shabiki beef halikusaidii tumia akili kulikwepa

Eti salam sk nae katoa povu. Duh! Kwann wasitulie??

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
'A great game achieves a balance in the gameplay and mechanics, providing the right amount of encouragement and challenge to keep players going'

kila mtu apambane na hali yake! music is a game and chibu is the best at it.

Keep it up Diamond.
There's no competition when you're manifesting your own lane.
 
Ofcours yes!!
Mameneja naona kazi yao inataka kuwashinda wakae chini waumize kichwa. Hili beef sioni faida yyt kwao.

Jay z alikuwa na beef na Nas lkn baada ya kuona beef linamfaidisha Nas zaidi aliamua kulikwepa na kukaa pembeni na akaendelea kudili na mambo zake

Dogo anajua sana lakin naona kaanza kujichanganya sana miaka ya hiv karibuni plus uropokaji na kudhalilisha wanawake ni vitu vinavyo mpotezea sifa siku adi siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo yote inatokana na watu kutozipokea kazi zake kama ilivyokua awali lazima apate stress na hii itamchanganya zaidi endapo hata huo wimbo anaotarajia kuutoa ukafanya vibaya. Tumuombee tu asijetuliza hizo stress kwa ngada kama kina chidy
 
Hata juzi Diamond ndio alianza chokochoko kwenye fresh remex hakuchoka akatoa remex nyingine tena kwenye instagram ambayo ilikuwa na maneno makali zaidi hadi ommy dimpoz akacharuka kumjibu

So alichokifanya Diamond ni kuzidi kumpa promo alikiba katika ngoma yake mpya kupata viewers zaidi

Diamond alishauriwa na pfunk kuwa atengeneze hali ya mashabiki wake kummiss yaani asiachie nyimbo hovyo hovyo zitachuja mapema na ndio maana kukaa kimya kwa mda mrefu kwa kiba kumemfanya watu wamiss nyimbo mpya thats why imepata view nyingi kwa haraka youtube japo kukaa kimya kwa mwaka sio kitu kizuri saaana

Kingine ni maisha ya D Ya nyodo na Zari wake yalimfanya akapoteza mashabiki wengi sana mean mashabiki wananunua kazi zako hutakiwi kuwaonyesha nyodo watakuchukia. Ilifika mahali D anawaita watu vichupi kunuka sababu ya zari hhhh, akamwambia Hamissa bitch are dying for fame ,, huwezi ukawa na nyodo hivi alafu ukaongeza mashabiki zaidi utawapunguza tu

Amekuwa akiweka sana maisha yake ya ndani instagram akizani ndio itamuongezea kiki kumbe ndio anajiharibia na ukitaka kuamini mwangalie Alikiba hana majivuno na maisha yake ni Private ,mwangalie Wizkid na Davido yaani hawaringi hata kidogo ukitaka kuamini ingia kwenye account zao za instagram yaani wao ni kazi na kushow love tu hakuna majungu

Diamond inambidi kuanzia sasa aachane na huu ugomvi kimya kimya kwani unampotezea mashabiki wengi. Anatakiwa atulie na aache nyodo na ajitahidi kuweka maisha yake private kingine anatakiwa ajaribu kutengeneza kazi zake kwa maprodcer wengine aache kumtegemea laizer ambaye beats zake zinafanana na sio mbunifu

Diamond una kipaji sana bro na roho nzuri nikimaanisha kuwasaiidia akina Harmonize,Rayvanny,lavalava, kumleta kundini Mavoko na kuajiri madancer na wengine wengi sio kitu kidogo bro,umeonyesha huna roho ya ubinafsi kabisa. Lakini mambo mazuri uliyoyatenda yatazibwa na mabeef na nyodo unazowawekea wasanii wenzako na sisi maboss wako tunaokuweka mjini(mashabiki zako)

**************Over************

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo yote inatokana na watu kutozipokea kazi zake kama ilivyokua awali lazima apate stress na hii itamchanganya zaidi endapo hata huo wimbo anaotarajia kuutoa ukafanya vibaya. Tumuombee tu asijetuliza hizo stress kwa ngada kama kina chidy
Unahisi ni kwa nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata juzi Diamond ndio alianza chokochoko kwenye fresh remex hakuchoka akatoa remex nyingine tena kwenye instagram ambayo ilikuwa na maneno makali zaidi hadi ommy dimpoz akacharuka kumjibu

So alichokifanya Diamond ni kuzidi kumpa promo alikiba katika ngoma yake mpya kupata viewers zaidi

Diamond alishauriwa na pfunk kuwa atengeneze hali ya mashabiki wake kummiss yaani asiachie nyimbo hovyo hovyo zitachuja mapema na ndio maana kukaa kimya kwa mda mrefu kwa kiba kumemfanya watu wamiss nyimbo mpya thats why imepata view nyingi kwa haraka youtube japo kukaa kimya kwa mwaka sio kitu kizuri saaana

Kingine ni maisha ya D Ya nyodo na Zari wake yalimfanya akapoteza mashabiki wengi sana mean mashabiki wananunua kazi zako hutakiwi kuwaonyesha nyodo watakuchukia. Ilifika mahali D anawaita watu vichupi kunuka sababu ya zari hhhh, akamwambia Hamissa bitch are dying for fame ,, huwezi ukawa na nyodo hivi alafu ukaongeza mashabiki zaidi utawapunguza tu

Amekuwa akiweka sana maisha yake ya ndani instagram akizani ndio itamuongezea kiki kumbe ndio anajiharibia na ukitaka kuamini mwangalie Alikiba hana majivuno na maisha yake ni Private ,mwangalie Wizkid na Davido yaani hawaringi hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah umeongea point kabisa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofcours yes!!
Mameneja naona kazi yao inataka kuwashinda wakae chini waumize kichwa. Hili beef sioni faida yyt kwao.

Jay z alikuwa na beef na Nas lkn baada ya kuona beef linamfaidisha Nas zaidi aliamua kulikwepa na kukaa pembeni na akaendelea kudili na mambo zake

Dogo anajua sana lakin naona kaanza kujichanganya sana miaka ya hiv karibuni plus uropokaji na kudhalilisha wanawake ni vitu vinavyo mpotezea sifa siku adi siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hajui huyo wanaojua hawajichanganyi hata siku moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata juzi Diamond ndio alianza chokochoko kwenye fresh remex hakuchoka akatoa remex nyingine tena kwenye instagram ambayo ilikuwa na maneno makali zaidi hadi ommy dimpoz akacharuka kumjibu

So alichokifanya Diamond ni kuzidi kumpa promo alikiba katika ngoma yake mpya kupata viewers zaidi

Diamond alishauriwa na pfunk kuwa atengeneze hali ya mashabiki wake kummiss yaani asiachie nyimbo hovyo hovyo zitachuja mapema na ndio maana kukaa kimya kwa mda mrefu kwa kiba kumemfanya watu wamiss nyimbo mpya thats why imepata view nyingi kwa haraka youtube japo kukaa kimya kwa mwaka sio kitu kizuri saaana

Kingine ni maisha ya D Ya nyodo na Zari wake yalimfanya akapoteza mashabiki wengi sana mean mashabiki wananunua kazi zako hutakiwi kuwaonyesha nyodo watakuchukia. Ilifika mahali D anawaita watu vichupi kunuka sababu ya zari hhhh, akamwambia Hamissa bitch are dying for fame ,, huwezi ukawa na nyodo hivi alafu ukaongeza mashabiki zaidi utawapunguza tu

Amekuwa akiweka sana maisha yake ya ndani instagram akizani ndio itamuongezea kiki kumbe ndio anajiharibia na ukitaka kuamini mwangalie Alikiba hana majivuno na maisha yake ni Private ,mwangalie Wizkid na Davido yaani hawaringi hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemamilza yote njoo uchukue Robertson

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Domo kaanza kua choko sana hata kama ni biz sio za kishamba namna iyo

Psalm 133:1[emoji768] "Behold, how good and how pleasant it is for brethren to dwell together in unity."
 
Naomba mods msifute thread yangu au kuiunganisha.
Ww diamond ni msanii mkubwa sana na ulikuwa umejijengea heshima kubwa sana kwenye jamii kutokan na kazi zako za mziki. Ni mtu ambaye ulikuwa una deel na kazi zako tu, ulikuwa siyo mtu wa mabifu na maugomvi mtu mnyenyekevu nakumbuka wasanii wenzio walikuwa wanakusem sana lakini ulikuwa unapiga kimy na kazi ndo zilikuwa zinaongea zenyewe.
Lakini kwa nini umebadirika ghafla maana siyo yule mond niliyemzoea umekuwa mropokaji, mtaka shari, kutukana na kudharirisha wanawake, uku ukijua kabisa hawo ndo mafansi zako wakubwa. Kitu kingine ambacho sijapendezwa nacho ni hii tabia ulioianzisha ya kutaka uonekane ww tu hutaki wenzio wasikike, inajulikana kabisa ww na kiba haziivi na maadui zako wameunganish nguvu na kiba ili wakuumize kwa nn unashindwa kujiongeza na kutumia akili kujitenga na hilo beef, sikuona umuhimu wowte wa ww kuamua kuiblock ngoma ya mshindani wako kwa kuachia wimbo mda mchache baada ya yeye kutoa wimbo., Inajulikana kuwa tar 1 sep unatoa wimbo uloshirikiana na patoranking si ungesubiri muda ukafika ukatoa huwo wimbo. Na jinsi wimbo wa kiba ulivo mbovu ungekuw tyar ushajifia lakini cha ajabu umekurupuka ukatoa wimbo ambao ni mzuri tu lkn watu tumeuchukia kwa sababu umeutoa ili kuu block wimbo wa kiba usivume kitu ambacho ni ushamba na unprofessional na badala yake imeback fire kwako, kama mtu wa kujifunza umejifunza next time usirudie, fanya kazi zako ww kama ww na siyo kwa mashindano. Beef halikufaishi ila linamfaidisha mpinzani wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katoa nyimbo 3 zikabuma akaona atafanyaje sasa na hasimu wake amelala hakuna mpambano akaamua kuchokoza vita jamaa aaamke na kilichotokea jamaa ameamka kweli kweli na kwa nguvu zote na diamond kajikuta anafeli vibaya sana
 
Sallam hana akili, lengo la kutoa zilipendwa walitaka wafikishe viewers million moja kabla seduce me haijafikisha. Ili wajitape mitandaoni. Ila sasa wameaibika. Seduce me imegonga 1M kabla yao. WBC huko walipo lazima confo limeshuka sana.
True kabisa
 
Katoa nyimbo 3 zikabuma akaona atafanyaje sasa na hasimu wake amelala hakuna mpambano akaamua kuchokoza vita jamaa aaamke na kilichotokea jamaa ameamka kweli kweli na kwa nguvu zote na diamond kajikuta anafeli vibaya sana
Ndo maana namshauri japo sijui kama wanapitaga kwny iz forum. Apunguze mihemuko na kumuwaza sana mshindani wake awaze kazi zake zaidi alafu atumie akili kubwa kujitenga na hili beef maana linamfaidisha mpinzani wake kuliko yeye.

Alafu kama ingekuwa ni maamuzi yangu sallam sk inatakiwa afukuzwe pale WCB maana ndo naona anachochea sana maugomvi siyo mtu wa amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana namshauri japo sijui kama wanapitaga kwny iz forum. Apunguze mihemuko na kumuwaza sana mshindani wake awaze kazi zake zaidi alafu atumie akili kubwa kujitenga na hili beef maana linamfaidisha mpinzani wake kuliko yeye.

Alafu kama ingekuwa ni maamuzi yangu sallam sk inatakiwa afukuzwe pale WCB maana ndo naona anachochea sana maugomvi siyo mtu wa amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu wanawuwaza sana Alikiba sana kuliko kitu chochote yaani wakiskia Alikiba anatoa kazi hawalali na Alikiba alivyokaa kimya mwaka game ilipooza na diamond akaona amuamshe jamaa inabidi ajitafakari maana kilichotokea sasa wcb hawaamini na kuna kipindi kubadili meneja hauepukiki mbona davido kabadili aangalie akiona inafaa amfukuze
 
Back
Top Bottom