Te Lavista
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,626
- 2,846
Haupo siriazi na unachokisema jooohHebu nijuze kabla ya kuwa Ray Van ulikuwa unaitwa nan asee
Ndugu yangu.
Upo kiushabiki zaidMchafu ni yeye au wewe?
Anajuana nae miaka mingi, ulikuwa wapi kumshauri au umeona nini kibaya kimemtokea Diamond. Jembe la Taifa Mh. Makonda yupo juuuuuuuuuu
Acha wivu, uvivu na tamaa
Yaani unamfikiria Makonda hadi kuingilia maisha yake kila upande. Embu ishi kivyako wewe na wenzako wote
Mnamchafua mnashindwa, unakuja kuanza kuingilia maisha ya watu.
Umeandika upupwu haswa, fikiria maisha yako yasonge acha wivu.
Na bado
Makonda oyeeeeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na wewe unaonenaka humkabli Diamond
iiiHihihihiiiiiiiiHaupo siriazi na unachokisema joooh
Mm mgeni tu nimejiunga j pili hata baily5 anajua
Nakuona Ray VanHaupo siriazi na unachokisema joooh
Mm mgeni tu nimejiunga j pili hata baily5 anajua
Yeah nilivist as guest tu humuiiiHihihihiiiiiiii
Inawezekana bas ulikuwa una visit kama guest
Ila mwandiko wako sio mgeni
Heeee!!Mbona wema alizunguka nchi nzima na ccm lakin kwenye sakata la madawa yumo.
Mnamuonea wivu makonda
iiiHihihihiiiiiiii
Inawezekana bas ulikuwa una visit kama guest
Ila mwandiko wako sio mgeni
Nakuona namm mkuu Baily5Nakuona Ray Van
Acha kumdanganya bwana kapukuku penyewe sipafahamKamchunguze makapuku utamfahamu
Mimi ni fan wa Diamond partially, lakini najua kijana hana uwezo wa kwenda against na matakwa ya CCM.Bob Marley alipogundua kila Mwanasiasa kule Jamaica anataka kumtumia kisiasa kwa sababu ya nyota yake ya Ustaa, hakumuunga mkono yeyote waziwazi!
Hawa wanamuziki wa sasa waachane na wanasiasa, ni bora kama wanataka kuwa wanasiasa basi wasimame wao kama wao!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
Kwahiyo humkubali Kiba
Basi wote tuko Team Tanzania[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aah hiyo nimeacha uamue mwenyewe. Ila na lean upande unao udhania.
Sasa najua wwe lazima una lean upande wa aje remix
HahahaKamchunguze makapuku utamfahamu
Mdada ka ww unaandika huu uharooo...kama huu....bora unyamaze tu, kila siku unamtetea bwana ako kwa kigezo cha wivu wa maendeleoo....eti watu wanamuonea wivuu...polyeee, unaemtetea ni kilaza wa hali ya juuMchafu ni yeye au wewe?
Anajuana nae miaka mingi, ulikuwa wapi kumshauri au umeona nini kibaya kimemtokea Diamond. Jembe la Taifa Mh. Makonda yupo juuuuuuuuuu
Acha wivu, uvivu na tamaa
Yaani unamfikiria Makonda hadi kuingilia maisha yake kila upande. Embu ishi kivyako wewe na wenzako wote
Mnamchafua mnashindwa, unakuja kuanza kuingilia maisha ya watu.
Umeandika upupwu haswa, fikiria maisha yako yasonge acha wivu.
Na bado
Makonda oyeeeeee
Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.
Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.
Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.
Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.
Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.
Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..
Diamond unakuwa km bashite na wewe.
Heeee!!
Hii ni shida sasa!