Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

Acha nimsaidie mnamuonea wivu handsome makonda
Mdada ka ww unaandika huu uharooo...kama huu....bora unyamaze tu, kila siku unamtetea bwana ako kwa kigezo cha wivu wa maendeleoo....eti watu wanamuonea wivuu...polyeee, unaemtetea ni kilaza wa hali ya juu
* Amepiga atua kumi(10) hewa anarudi kumi na nane nyuma(18) . 10-18=???
 
Huyo nani tena?

Unaweza ukapoteza muda kuandika uzi mreeeefu halafu pumba tu .

Vita ya dawa za kulevya na vyeti ni ipi issue ya muhimu ?

Mlikua wapi wakati anachaguliwa mbona hamkusema mpaka mchakato wa vyeti fake unapita mko kimya ?

Geajima na nyumbu wenzake kimewasibu nini ?
 
Back
Top Bottom