roselyne1
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 1,365
- 95
ageism na sexism ndio iliyowatawala kati yenu wote mliopinga huyu dada asiolewe na huyo kaka...
ni aina fulani ya ubaguzi wa kijinga hivi,
ukute mliopinga mnaona sawa kwa mwanaume wa miaka 50 kuoa kibinti cha miaka 25,
ila kwa mwanamke wa 29 kuolewa na mtu wa miaka 29 mnaona kasoro...hovyo!
sijaona valid reasons as to why huyo dada asiolewe na huyo kaka zaidi ya kuwaonyesha jinsi mlivyo evil :mad2::mad2::mad2::mad2:
ni aina fulani ya ubaguzi wa kijinga hivi,
ukute mliopinga mnaona sawa kwa mwanaume wa miaka 50 kuoa kibinti cha miaka 25,
ila kwa mwanamke wa 29 kuolewa na mtu wa miaka 29 mnaona kasoro...hovyo!
sijaona valid reasons as to why huyo dada asiolewe na huyo kaka zaidi ya kuwaonyesha jinsi mlivyo evil :mad2::mad2::mad2::mad2: