Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
🤣🤣🤣🤣Kama nakuona[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ko kutembea na shemejio ndo uzungu?? Si kwetu tumefundwa shemeji sio wa kuweka naye mazoea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Kama nakuona[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ko kutembea na shemejio ndo uzungu?? Si kwetu tumefundwa shemeji sio wa kuweka naye mazoea
Wewe sema nini unataka na kipi nifanye
Mbususu kitu kingine asikwambie mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Khaaaaaaa!!! Kweli umedhamilia kusambaratisha familia yetu
Shemeji yako kwa nani?,Huyo mtu si mpenzi wangu![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ko kutembea na shemejio ndo uzungu?? Si kwetu tumefundwa shemeji sio wa kuweka naye mazoea
Joannah aliniambia anaye mtu wake hivyo hata ofa niliyompa kumpeleka Ngorongoro niliamua kwenda Mwenyewe,sasa nataka hiki kiti ukichukue wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Khaaaaaaa!!! Kweli umedhamilia kusambaratisha familia yetu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama nakuona
Wanaelewa wakifikisha miaka 40. Baada ya kushitukia matukio ya watu wa karibu yake wakifa. Na akakosa msaada wa watu wa kumsaidiaHuwa wanaelewa....!!????
Nikishatulia hutafurai Wacha bhnKirikou tulia
Vp wwUshauri mzuri sana
Mimi nimefanyaje?Vp ww
Nawe umepanganisha matumbo🤣🤣Mimi nimefanyaje?