Ushauri kwa mabinti wenye miaka 18 - 35

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ko kutembea na shemejio ndo uzungu?? Si kwetu tumefundwa shemeji sio wa kuweka naye mazoea
Shemeji yako kwa nani?,Huyo mtu si mpenzi wangu!

Hutaki kula pesa yangu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Khaaaaaaa!!! Kweli umedhamilia kusambaratisha familia yetu
Joannah aliniambia anaye mtu wake hivyo hata ofa niliyompa kumpeleka Ngorongoro niliamua kwenda Mwenyewe,sasa nataka hiki kiti ukichukue wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…