Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Baada ya sheria ya mitandao nchini kuanza kazi, na makampuni ya simu kuweka no 106 kama njia ya kuhakiki namba uliyosajiri kwa mfumo wa finger print.
Basi nashauri hivi:
ingekuwa vyema makampuni pamoja na TCRA wangeweka option ya mtu kuikataa namba ambayo anataka iondolewe ili kukidhi takwa la kisheria la LAINI MOJA MTANDAO MMOJA
Pale pale kwenye no 106.
Hii itasaidia kuondoa gharama pamoja na mda wakwenda kujipanga kwa wakara au ofisi za makampuni ya simu.
Lakini pia, huduma hii itaondoa usumbufu kwa wananchi walioko pembezoni na miji au wale wasio na fedha za kijigaramia kufika maeneo husika.
Ikumbukwe kuwa zoezi la kusajiri line kwa vitambulisho vya taifa wananchi wengi mijini na vijijini walitapeliwa na vitambulisho vyao kutumiwa na watu wasiokuwa wema.
Ndio maana mataperi wa nitumie pesa katika namba hii hawajaisha.
Lakini pia ikiwa ushauri wangu utazingatiwa niwazi kuwa italeta maana ya wananchi kuhamasishwa matumizi ya technology zaidi .
Pamoja nahayo! Nataka kuwakumbusha makampuni ya simu na TCRA kwa ujumla yakuwa! Bado selikari na wizara ya afya inahamasisha swala la kujikinga na kuzingatia ushauri wa wizara ya afya kuhusu COVID-19.
Niwazi kuwa ukibonyeza no *106# ok nakisha kuchagua hakiki no ulizosajiri niwazi utamalizia na ujumbe wakukuambia niwajibu wako kufika katika ofisi ya kampuni yako kufuta namba usiyoitambua
Kwahiyo ujumbe huu unahamasisha mikusanyiko na usumbufu zikiwemo gharama bila sababu endapo tungebuni na kuhamasisha matumizi ya mtandao.
Dawa ya matapeli wa nitumie pesa ktk namba hii wakihitaji makampuni au TCRA basi waniletee wito maarumu nikawape.
Hamtawasikia tena.
Enzi na Enzi
Dar es salaam.
July 2020.
Basi nashauri hivi:
ingekuwa vyema makampuni pamoja na TCRA wangeweka option ya mtu kuikataa namba ambayo anataka iondolewe ili kukidhi takwa la kisheria la LAINI MOJA MTANDAO MMOJA
Pale pale kwenye no 106.
Hii itasaidia kuondoa gharama pamoja na mda wakwenda kujipanga kwa wakara au ofisi za makampuni ya simu.
Lakini pia, huduma hii itaondoa usumbufu kwa wananchi walioko pembezoni na miji au wale wasio na fedha za kijigaramia kufika maeneo husika.
Ikumbukwe kuwa zoezi la kusajiri line kwa vitambulisho vya taifa wananchi wengi mijini na vijijini walitapeliwa na vitambulisho vyao kutumiwa na watu wasiokuwa wema.
Ndio maana mataperi wa nitumie pesa katika namba hii hawajaisha.
Lakini pia ikiwa ushauri wangu utazingatiwa niwazi kuwa italeta maana ya wananchi kuhamasishwa matumizi ya technology zaidi .
Pamoja nahayo! Nataka kuwakumbusha makampuni ya simu na TCRA kwa ujumla yakuwa! Bado selikari na wizara ya afya inahamasisha swala la kujikinga na kuzingatia ushauri wa wizara ya afya kuhusu COVID-19.
Niwazi kuwa ukibonyeza no *106# ok nakisha kuchagua hakiki no ulizosajiri niwazi utamalizia na ujumbe wakukuambia niwajibu wako kufika katika ofisi ya kampuni yako kufuta namba usiyoitambua
Kwahiyo ujumbe huu unahamasisha mikusanyiko na usumbufu zikiwemo gharama bila sababu endapo tungebuni na kuhamasisha matumizi ya mtandao.
Dawa ya matapeli wa nitumie pesa ktk namba hii wakihitaji makampuni au TCRA basi waniletee wito maarumu nikawape.
Hamtawasikia tena.
Enzi na Enzi
Dar es salaam.
July 2020.