Ushauri kwa Mange Kimambi



Hii ni kiboko, eti kasomea Dubai. Alikuwa changu nini kuleeeee, maana watu wengi wanaokwenda kusoma Dubai tunafahamu mienendo yao ya usiku kwenye ile mitaa. Mange hajasoma lolote yule demu kwani mtu aliyesoma anajitambua. Mange na Wema wana tofauti gani?
 
Unajua blog ya Mange ambayo huwa anatumia social networks ikiwemo instagram kupata wasomaji huwa inamuingizia dollar ngapi kwa mwezi? Ukilifahamu hilo hutaleta thread za kitoto tena
bado hakajavunja ungo vizuri haka mkuu
 
Reactions: Pep
Mkuu watu wanatumia social networks kutengeneza pesa yeye anahisi wanapoteza muda mtandaoni ilhali ni moja ya ofisi. [emoji54] [emoji54] [emoji54]
Kanataka kutafuta jina kupitia Mange

Kajitu kenyewe hata kujitawaza vizuri hakajui halafu kanataka kushindana na Mange Kimambi

Huyu hana tofauti na harmorapa
 
Haaa naona umemsahau na King off social network Mzee wa Degree Tatu,ambaye mpaka leo yuko Kwa baba.
Jamaa ana degree tatu lakin ana picha moja ya kumbukumbu shulen kila siku anafanya kuedit na kuchange colour .mzee wa fact juu ya fact [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ebu washangae mbwa hao
 
Makonda anawanyma usingizi mazafanta, watajibeba
 
nakwambia embu jarib kumfata kwenye post...zake kama hutamjua babu alie mzaa bib wa bibi wa bib ako mzaa babu yako
Kazi mjini hana, asifuatilie maisha ya watu kwa nini, she is a looser, akina jackline wameolewa na mabillionea wametulia kimya
 
achana na mange kimambi kwanza tuanze na hili la kutumia IDENTITY ya mtu mwingine kama ndio wewe..!

kupata 0 sio KOSA, kosa ni pale unapotumia cheti cha mtu ambaye sio wewe...!

mimi nilidhani before kum attack mange ungemshauri BASHITE alite vyeti vyake watu waone ukweli wa mambo...!

"to every action there is an equal and opposite reaction"

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…