Ushauri kwa Mange Kimambi

Ushauri kwa Mange Kimambi

8540f744f1ff8716e15a69a8e866310f.jpg



Boss @ Warumi kaingizwa mkenge sijui utamsadiaje
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Kama cheti sio tatizo why walikua wanafanya uhakiki??? Wamesumbua watumishi takribn miaka 2 watu wanahangaishwa na vyeti fekiiii...yeye n nan asiguswwweeeeee?
 
Naona unatafuta kupewa makavu live kuanzia kuku wa nyumbani kwenu mpaka mababu.
I am sure kuna watu humu wanakufahamu au mshawahi exchanhe number hao hao akiamua kukutukana ndiyo watampa details zako.
Utashangaa anaanza kuku post kama alivyomfahamu dullar square...
Au we warumi huogopi kutukanwa maana yule akikuamulia hata usiposema lakini utajuta.
Aaaaaah lol,
 
Back
Top Bottom