thatonegAl
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 825
- 1,884
Warumi vs Mange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya madawa ilishaishaHili sakata la vyeti feki limekuwa zaidi ya mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka... mi bado nasubiri filamu ya madawa ya kulevya sehemu ya tatu.
Hivi watu wakuwaonea huruma hawapo, kama hujawaona ni bora hata utembelee mahospitalini waweza kuwaona watu sahihi wakuwaonea huruma. Kama MTU hajakuomba hata shilingi kumi yanini ukerwe na maisha Yake? Yeye amekuambia kua kazi Yake ni full time mother ndio maana analipwa na baba za watoto wake kutoka na na hilo jukumu. Hizo blah blah ni kutoka na kumtaja Daudi? au umelipwa na Daudi kupoteza ukweli, ebu thamini maisha aliyojichagulia MTU na kama kweli wewe unamtakia mema Mange mshauri kwa kutumia verified Id.!!!Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Si anasemaga amejiajiriHaaa naona umemsahau na King off social network Mzee wa Degree Tatu,ambaye mpaka leo yuko Kwa baba.
Inaonekana hili suala la watalamu wa kitanzania kuweka ujuzi wao stoo lipo kwenye damu, maana wasomi wengi wanapoteuliwa kwenye nyanzifa mbalimbali za utendaji serikalini wanaweka kapuni maarifa yao na kuanza kufanya yaliyo kinyume na yale waliyoyasotea miaka mingi kujifunza darasani na field. Mifano hai ni some of our ministers.True fact Mkuu yan kafanya insta kama ofisi japo ndio afanyacho kina manufaa kias flan ila ujuzi wake upo stoo
Sure binamuDu nimecheka ! yaani kwa Mange unachotakiwa ni kutaja jina lako la ukweli tu, then usubiri uone utakavyo ichambua historia yako yote mpk"F"ulizopata ukiwa Primary school ,anyway yuko talented kwenye collection and distribution of information lkn kipaji chake anakitumia in a wrong way at the end ana create maadui kuliko marafiki huku nyumbani.
Ndo nashangaa ...humo insta kaweka kila kitu namba ya simu hadi email nashangaa mtu anakuja humu sasa hapo nanni sifurikamtafute page yake ya ista na usisahau kumtag daudi
ohooo...!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Post za hivi huwa inapendeza zikiletwa na verified user.
Kwahiyo ukaamini kabisa mpaka ukamuanzishia thread??Si anasemaga mwenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hili ka vyeti mm Niko na Mange100% aiseehhh!!Binamu usinisteve nyerere pulizi, aaaaah
Unajua blog ya Mange ambayo huwa anatumia social networks ikiwemo instagram kupata wasomaji huwa inamuingizia dollar ngapi kwa mwezi? Ukilifahamu hilo hutaleta thread za kitoto tenaKwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Kitaeleweka tuAaah lol
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Mkuu unatafuta mitusi wewe humjui Mange eh?Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite