Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kwa kipindi hiki ambapo uhalifu umeongezeka Mtaani waelimishe yafuatayo wanaoshinda nyumbani.
1. Wasiwaamini wasiwaruhusu kuingia ndani wauza urembo.waokota makopo,watembeza nguo na wanaosajili line za simu.
2. Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani warembaji wa kucha na wasugua miguu.
3.Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani wanaopita na bidhaa wakikopesha ili baadae wafuate elfu Moja kila siku.
4.Tusiruhusu maeneo ya jirani na nyumba zetu kuwepo na vijiwe vya bangi.
5.Wenye nyumba za kupangisha Tuwachunguze wapangaji wanaohamia na Vyombo vichache mfano godoro,Jiko na sufuria mbili tu.
6.Toa taarifa ya viashiria vyovyote vya wizi.
7.usiilaze Simu kwenye charge au sehemu ya wazi. Usisahau kuwa na filimbi ndani
8.Usiweke kiasi kikubwa Cha pesa nyumbani.
9. Usiweke vitambulisho vyako muhimu kwenye pochi.
10.Anayeondoka mapema nyumbani asisahau kuwaamsha wenzake ilu wafunge milango kwa mda
11.Punguza Ulevi au acha pombe kabisa.
12.Kwa wenye nyumba ndogo ukienda huko fanya kilichokupeleka tu---
Usimhadidhie siri zako zote mchepuko wako.ikiwemo biashara zako faida, kiasi Cha pesa ulichonacho nyumbani password za ATM namba za siri za M pesa tigo nk huwezi kujua mko wangapi.
1. Wasiwaamini wasiwaruhusu kuingia ndani wauza urembo.waokota makopo,watembeza nguo na wanaosajili line za simu.
2. Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani warembaji wa kucha na wasugua miguu.
3.Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani wanaopita na bidhaa wakikopesha ili baadae wafuate elfu Moja kila siku.
4.Tusiruhusu maeneo ya jirani na nyumba zetu kuwepo na vijiwe vya bangi.
5.Wenye nyumba za kupangisha Tuwachunguze wapangaji wanaohamia na Vyombo vichache mfano godoro,Jiko na sufuria mbili tu.
6.Toa taarifa ya viashiria vyovyote vya wizi.
7.usiilaze Simu kwenye charge au sehemu ya wazi. Usisahau kuwa na filimbi ndani
8.Usiweke kiasi kikubwa Cha pesa nyumbani.
9. Usiweke vitambulisho vyako muhimu kwenye pochi.
10.Anayeondoka mapema nyumbani asisahau kuwaamsha wenzake ilu wafunge milango kwa mda
11.Punguza Ulevi au acha pombe kabisa.
12.Kwa wenye nyumba ndogo ukienda huko fanya kilichokupeleka tu---
Usimhadidhie siri zako zote mchepuko wako.ikiwemo biashara zako faida, kiasi Cha pesa ulichonacho nyumbani password za ATM namba za siri za M pesa tigo nk huwezi kujua mko wangapi.