Ushauri kwa manufaa ya jamii nzima

Ushauri kwa manufaa ya jamii nzima

Kweli kabisa mshana,, binafsi nataka kusafiri na familia nzima ntarudi july huko, nyumbani kwangu namwacha mtu aniangalizie nyumba eeh yesu najua upo nami na utailinda pia nyumba yangu na kila kilichopo, amina
 
Kwa kipindi hiki ambapo uhalifu umeongezeka Mtaani waelimishe yafuatayo wanaoshinda nyumbani.

1. Wasiwaamini wasiwaruhusu kuingia ndani wauza urembo.waokota makopo,watembeza nguo na wanaosajili line za simu.

2. Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani warembaji wa kucha na wasugua miguu.

3.Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani wanaopita na bidhaa wakikopesha ili baadae wafuate elfu Moja kila siku.

4.Tusiruhusu maeneo ya jirani na nyumba zetu kuwepo na vijiwe vya bangi.

5.Wenye nyumba za kupangisha Tuwachunguze wapangaji wanaohamia na Vyombo vichache mfano godoro,Jiko na sufuria mbili tu.

6.Toa taarifa ya viashiria vyovyote vya wizi.

7.usiilaze Simu kwenye charge au sehemu ya wazi. Usisahau kuwa na filimbi ndani
8.Usiweke kiasi kikubwa Cha pesa nyumbani.

9. Usiweke vitambulisho vyako muhimu kwenye pochi.

10.Anayeondoka mapema nyumbani asisahau kuwaamsha wenzake ilu wafunge milango kwa mda

11.Punguza Ulevi au acha pombe kabisa.

12.Kwa wenye nyumba ndogo ukienda huko fanya kilichokupeleka tu---

Usimhadidhie siri zako zote mchepuko wako.ikiwemo biashara zako faida, kiasi Cha pesa ulichonacho nyumbani password za ATM namba za siri za M pesa tigo nk huwezi kujua mko wangapi.
.....na Anayemfuata
 
Kwa kipindi hiki ambapo uhalifu umeongezeka Mtaani waelimishe yafuatayo wanaoshinda nyumbani.

1. Wasiwaamini wasiwaruhusu kuingia ndani wauza urembo.waokota makopo,watembeza nguo na wanaosajili line za simu.

2. Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani warembaji wa kucha na wasugua miguu.

3.Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani wanaopita na bidhaa wakikopesha ili baadae wafuate elfu Moja kila siku.

4.Tusiruhusu maeneo ya jirani na nyumba zetu kuwepo na vijiwe vya bangi.

5.Wenye nyumba za kupangisha Tuwachunguze wapangaji wanaohamia na Vyombo vichache mfano godoro,Jiko na sufuria mbili tu.

6.Toa taarifa ya viashiria vyovyote vya wizi.

7.usiilaze Simu kwenye charge au sehemu ya wazi. Usisahau kuwa na filimbi ndani
8.Usiweke kiasi kikubwa Cha pesa nyumbani.

9. Usiweke vitambulisho vyako muhimu kwenye pochi.

10.Anayeondoka mapema nyumbani asisahau kuwaamsha wenzake ilu wafunge milango kwa mda

11.Punguza Ulevi au acha pombe kabisa.

12.Kwa wenye nyumba ndogo ukienda huko fanya kilichokupeleka tu---

Usimhadidhie siri zako zote mchepuko wako.ikiwemo biashara zako faida, kiasi Cha pesa ulichonacho nyumbani password za ATM namba za siri za M pesa tigo nk huwezi kujua mko wangapi.
...atakayefuata na kushika maneno yako, hakika lazima atakushukuru kwa matokeo chanya atakayopata.
 
Lisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.
 
Kwa kipindi hiki ambapo uhalifu umeongezeka Mtaani waelimishe yafuatayo wanaoshinda nyumbani.

1. Wasiwaamini wasiwaruhusu kuingia ndani wauza urembo.waokota makopo,watembeza nguo na wanaosajili line za simu.

2. Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani warembaji wa kucha na wasugua miguu.

3.Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani wanaopita na bidhaa wakikopesha ili baadae wafuate elfu Moja kila siku.

4.Tusiruhusu maeneo ya jirani na nyumba zetu kuwepo na vijiwe vya bangi.

5.Wenye nyumba za kupangisha Tuwachunguze wapangaji wanaohamia na Vyombo vichache mfano godoro,Jiko na sufuria mbili tu.

6.Toa taarifa ya viashiria vyovyote vya wizi.

7.usiilaze Simu kwenye charge au sehemu ya wazi. Usisahau kuwa na filimbi ndani
8.Usiweke kiasi kikubwa Cha pesa nyumbani.

9. Usiweke vitambulisho vyako muhimu kwenye pochi.

10.Anayeondoka mapema nyumbani asisahau kuwaamsha wenzake ilu wafunge milango kwa mda

11.Punguza Ulevi au acha pombe kabisa.

12.Kwa wenye nyumba ndogo ukienda huko fanya kilichokupeleka tu---

Usimhadidhie siri zako zote mchepuko wako.ikiwemo biashara zako faida, kiasi Cha pesa ulichonacho nyumbani password za ATM namba za siri za M pesa tigo nk huwezi kujua mko wangapi.

Namba 11[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zile filimbi za bati gumu zinatumiwa sana na mgambo na ulinzi shirikishi wezi wanaziogopa sana

Hahaaaa Mshana umenikumbusha mbali

Kuna nyumba tulikuwa tunashare na dada mmoja

Wezi wakaiba siku ya kwanza bila kushtukiwa, siku ya pili wakarejea kubeba vilivyobaki kuna pipa lilijaa maji, hivyo wakasukuma maji ya mwagike
Yule mwenzangu Alipuliza filimbi Mara moja tu, tukaambulia vishindo vya kuruka ukuta

Mpaka Leo nikikumbuka huwa nacheka mno Yaani Yule mrembo kuwa na filimbi sikutegemea kabisa,
Ila ilitusaidia na wezi hawakurudi tena.
 
Furaha inatoka wapi kama unaandika mambo ya uhalifu kuongezeka kwa kasi!???

Hii si ni dalili ya kuanza kuishi kwa hofu

Mbona unajikanganya kwenye maelezo mkuu

Uhalifu haujawahi kuisha
Tofauti tu sasa Hivi watu wanajiandikia bila woga
 
Back
Top Bottom