Ushauri kwa mhariri wa BBC Swahili na Salim Kikeke

Ushauri kwa mhariri wa BBC Swahili na Salim Kikeke

Kumbuka Salim Kikeke kama wewe ni mfuatiliaji mzuri,Huyu jama kabla hajaanzisha bbc dira ya dunia,alikuwa anarusha kipind cha vituko na masikhara asbh baada ya taarifa ya bbc swahili kueleke ukingoni,yeye alikuwa anapewa dk 15.ya kutujuza vituko vilivyotokea duniani.
Kwa iyo usishangae kukuta habari za ajb ajabu ktk page yake,ni moja ya kazi yake.
 
nakubaliana na wewe kabisa hasa kwenye hilo la kwanza, nashuhudia makosa makubwa kabisa ya kiuandish ktk page ya bbc inanikera sana,
kingine ni vichwa vya habari vimekaa kiudaku sana halafu habari inaandikwa kifupi mno
wawaige wenzao DW

Ahsante kwa kufatilia mambo ya msingi mwana BBC SWAHILI wenzangu, natumai atajirekebisha kaka yetu Salim kikeke katika tasnia yake ya uandishi wa habari.
 
Kumbuka Salim Kikeke kama wewe ni mfuatiliaji mzuri,Huyu jama kabla hajaanzisha bbc dira ya dunia,alikuwa anarusha kipind cha vituko na masikhara asbh baada ya taarifa ya bbc swahili kueleke ukingoni,yeye alikuwa anapewa dk 15.ya kutujuza vituko vilivyotokea duniani.
Kwa iyo usishangae kukuta habari za ajb ajabu ktk page yake,ni moja ya kazi yake.

Umenikumbusha mbali sana mkuu kwani nami ni mpenzi wa vituko vya walimwengu na Salim Kikeke.... lakini kwenye mambo "formal" kama habari naomba awe ana hariri vema habari yake kabla kuirusha hewani.
 
Ni kweli kabisa hapo kwa Salim Kikeke...Yani FB page ni kinyaa...Sometimes huwa nashindwa kuelewa kama kichwa yake ipo sawa..
 
Kikeke kupost kitu akipendacho kwenye fb wall yake mimi naona ni sawa maana ni yake binafsi na si ya bbc

BBC ni watu (nikimaanisha wafanyakazi wake), Kikeke ni BBC.

Hivi ukijua mshikaji ni kibaka mtaani, halafu siku ya siku unaenda kuweka hela benki unakuta mshkaji ndio teller, utafanyaje?

1. Utaweka tu huku ukisema yale ni maisha yake na hii ni benki (yuko kazini)
2. Utakuwa na wasi wasi na hela yako huku ukiwaza kwa nini benk inaajiri mwizi?
 
Miongoni mwa vyombo vya habari vyenye weredi usio na shaka katika habari zake ni BBC SWAHILI. Nami nimekuwa msikilizaji na msomaji wa chombo hiki kwa muda mrefu sasa hasa nyakati za asubuhi na jioni. Kumbuka mimi si mwandishi mzuri hivyo usishangae namna ya mtiririko wangu ila kumbuka kuwa mimi ni "PRESCRIPTIVIST".

Lakini katika siku za hivi karibuni kuna upungufu wa weredi ambao mimi kama mimi ninauona katika habari zao mbali mbali kama ifuatavyo.

1.Kuna makosa ya kiuandishi "TYPO" na baadhi ya sentensi zao kukosa upatanisho wa kisarufi "con-cordial relationship" katika makala na habari zao nyingi, kwa usahihi zaidi naomba ufatilie habari zao wanazorusha "FB", na "WEBSITE" yao.

N.B: kwa chombo makini kama BBC wanajishushia heshima na credibility ya kuwa chombo cha
kuaminika katika habari zake kwani kinaonekana kuwa na wahariri wasio makini na habari wanazorusha
hewani. Mimi nawaomba walifanyie kazi jambo hilo ili kulinda heshima ya tasnina ya habari hasa ya
kimataifa (waige na kujifunza tokakwa wenzao BBC ENGLISH) na kadhalika.

2.Kuhusu Kaka SALIMU KIKEKE. Huyu ni mtangajizi mahili na anayependwa na wadau wengi wa tasni ya habari ya ndani na ya kimataifa nikiwemo na mimi. Ila kuna baadhi ya mbo ninayaona kama hayaendani nae kama mtangazaji wa chombo kikubwa kama BBC. Huyu bwana Kikeke amekuwa akirusha "post" habari flani flani ambazo ninaona kama za "kitoto toto au udaku " katika ukurasa wake wa FB, na TWITER , yaani habari nilizokuwa nikitegemea nizikute kwenye Global publishers,mpekuzi,audiface, mambo mseto, mambo ya walimwengu, dj sek, na kadhalika , leo hii ninaziona katika ukurasa wake kitu kinachofanya nione kuwa hatendei haki jina lake na hadhi yake.

N.B:
Nimetoa ushauri tu, kama wakiona unafaa waufanyie kazi , kama wakishindwa wapotezee ila Nimetoa dukuduku langu kwa nia ya kujenga na sio kushambulia au kuponda mtu flani au chombo flani.
Hivyo mchangiaji naomba awe ni mtu aliyesoma na kuuelewa uzi wangu na awe anayefatilia mambo niliyoainisha vinginevyo ukija kichwa kichwa utatoka kapa na kubaki. ONYO: Changia hoja kwa adabu na heshima.

Nakubaliana nawe katika hilo la kwanza lakini kwenye hili la pili naona kama hilo ni la kwake binafsi halituhusu kwanza anatufurahisha wengjne life is too short to be serious all the time, akiwa kazini sawa lakini huku kwenye twitter na fb sioni shida kabisa
 
Ni kweli kabisa hapo kwa Salim Kikeke...Yani FB page ni kinyaa...Sometimes huwa nashindwa kuelewa kama kichwa yake ipo sawa..

Tuendelee kumsaidia bro Kikeke aweze rudi kwenye anga zake za kimataifa ili azidi kutupa raha...
 
Nakubaliana nae kwenye hili la post zake kwenye facebook, mara ya kwanza nilishangaa na kujiuliza mara mbili kama ni kweli amepost yeye au kuna hackers wamevamia! ushauri wako hata kama facebook wall ni yake binafsi lakini kwa hadhi aliyofikia privacy yake ni public issue, so ni lazima awe makini? watu wanaweza kumuhukumu kwa post zake za facebook na twitter n sio kwa usomaji wake wa habari BBC Swahili! " words are enough for the wise"
 
Miongoni mwa vyombo vya habari vyenye weledi usio na shaka katika habari zake ni BBC Swahili. Nami nimekuwa msikilizaji na msomaji wa chombo hiki kwa muda mrefu sasa hasa nyakati za asubuhi na jioni. Mimi si mwandishi mzuri hivyo usishangae namna ya mtiririko wangu ila kumbuka kuwa mimi ni "PRESCRIPTIVIST".

Siku za hivi karibuni kuna upungufu wa weledi ambao mimi kama mimi ninauona katika habari zao mbali mbali kama ifuatavyo.

1.Kuna makosa ya kiuandishi "TYPO" na baadhi ya sentensi zao kukosa upatanisho wa kisarufi "con-cordial relationship" katika makala na habari zao nyingi, kwa usahihi zaidi naomba ufatilie habari zao wanazorusha Facebook, na kwenye tovuti yao.

N.B: kwa chombo makini kama BBC wanajishushia heshima na credibility ya kuwa chombo cha
kuaminika katika habari zake kwani kinaonekana kuwa na wahariri wasio makini na habari wanazorusha
hewani. Mimi nawaomba walifanyie kazi jambo hilo ili kulinda heshima ya tasnina ya habari hasa ya
kimataifa (waige na kujifunza tokakwa wenzao BBC English) na kadhalika.

2.Kuhusu Kaka Salim Kikeke. Huyu ni mtangazaji mahiri na anayependwa na wadau wengi wa tasni ya habari ya ndani na ya kimataifa nikiwemo na mimi. Ila kuna baadhi ya mbo ninayaona kama hayaendani nae kama mtangazaji wa chombo kikubwa kama BBC. Huyu bwana Kikeke amekuwa akirusha "post" habari flani flani ambazo ninaona kama za "kitoto toto au udaku " katika ukurasa wake wa Facebook na Twitter, yaani habari nilizokuwa nikitegemea nizikute kwenye Global Publishers, Mpekuzi, Audiface, Mambo Mseto, Mambo ya Walimwengu, DJ Sek, na kadhalika ninaziona katika ukurasa wake kitu kinachofanya nione kuwa hatendei haki jina lake na hadhi yake.

N.B: Nimetoa ushauri tu, kama wakiona unafaa waufanyie kazi , kama wakishindwa wapotezee ila nimetoa dukuduku langu kwa nia ya kujenga na sio kushambulia au kuponda mtu flani au chombo flani.
Hivyo mchangiaji naomba awe ni mtu aliyesoma na kuuelewa uzi wangu na awe anayefatilia mambo niliyoainisha vinginevyo ukija kichwa kichwa utatoka kapa na kubaki.

ONYO: Changia hoja kwa adabu na heshima.

ama kweli ww ni mhariri mzuri mkuu
 
Miongoni mwa vyombo vya habari vyenye weledi usio na shaka katika habari zake ni BBC Swahili. Nami nimekuwa msikilizaji na msomaji wa chombo hiki kwa muda mrefu sasa hasa nyakati za asubuhi na jioni. Mimi si mwandishi mzuri hivyo usishangae namna ya mtiririko wangu ila kumbuka kuwa mimi ni "PRESCRIPTIVIST".

Siku za hivi karibuni kuna upungufu wa weledi ambao mimi kama mimi ninauona katika habari zao mbali mbali kama ifuatavyo.

1.Kuna makosa ya kiuandishi "TYPO" na baadhi ya sentensi zao kukosa upatanisho wa kisarufi "con-cordial relationship" katika makala na habari zao nyingi, kwa usahihi zaidi naomba ufatilie habari zao wanazorusha Facebook, na kwenye tovuti yao.

N.B: kwa chombo makini kama BBC wanajishushia heshima na credibility ya kuwa chombo cha
kuaminika katika habari zake kwani kinaonekana kuwa na wahariri wasio makini na habari wanazorusha
hewani. Mimi nawaomba walifanyie kazi jambo hilo ili kulinda heshima ya tasnina ya habari hasa ya
kimataifa (waige na kujifunza tokakwa wenzao BBC English) na kadhalika.

2.Kuhusu Kaka Salim Kikeke. Huyu ni mtangazaji mahiri na anayependwa na wadau wengi wa tasni ya habari ya ndani na ya kimataifa nikiwemo na mimi. Ila kuna baadhi ya mbo ninayaona kama hayaendani nae kama mtangazaji wa chombo kikubwa kama BBC. Huyu bwana Kikeke amekuwa akirusha "post" habari flani flani ambazo ninaona kama za "kitoto toto au udaku " katika ukurasa wake wa Facebook na Twitter, yaani habari nilizokuwa nikitegemea nizikute kwenye Global Publishers, Mpekuzi, Audiface, Mambo Mseto, Mambo ya Walimwengu, DJ Sek, na kadhalika ninaziona katika ukurasa wake kitu kinachofanya nione kuwa hatendei haki jina lake na hadhi yake.

N.B: Nimetoa ushauri tu, kama wakiona unafaa waufanyie kazi , kama wakishindwa wapotezee ila nimetoa dukuduku langu kwa nia ya kujenga na sio kushambulia au kuponda mtu flani au chombo flani.
Hivyo mchangiaji naomba awe ni mtu aliyesoma na kuuelewa uzi wangu na awe anayefatilia mambo niliyoainisha vinginevyo ukija kichwa kichwa utatoka kapa na kubaki.

ONYO: Changia hoja kwa adabu na heshima.

uko sahihi , nliyaona hayo hata mimi
 
Ni kweli kabisa hapo kwa Salim Kikeke...Yani FB page ni kinyaa...Sometimes huwa nashindwa kuelewa kama kichwa yake ipo sawa..

page ya salim kikeke imetambuliwa na fb. Kuna page zaidi 2 fake ambazo zinatumia jina lake na mbaya zaidi zingne mpaka zinakuomba urafiki. Hiyo page fake mimi mwenyewe ilinishangaza sana na post zake za ajabuajabu, nikafatilia kumbe ni fake. Page yake ina watu zaidi ya laki 5. Kuweni makni watu wanatumia majina ya watu ili kupata watu wengi.

https://www.facebook.com/SalimKikeke?hc_location=timeline
 
Nikweli kabisa hata mimi ni mfatiliaji sana wa nyayo zake lakini naona kama hajatambua umuhim wake kwenye jamii
 
Lakini haoni kuwa wakati umefika sasa abadilike na kuandika habari za kuleta muonekano mpya ?
 
Nikweli kabisa hata mimi ni mfatiliaji sana wa nyayo zake lakini naona kama hajatambua umuhim wake kwenye jamii
 
Back
Top Bottom