Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Hilo ndio tatizo na ndio kilicho nifanya nimpe huu ushauri.Kwa utunzi tu, jamaa namvulia kofia, mjomba nchumali ana ngoma kali mnoo, shida tu kichwa yake haiko MUSURI na amekosa watu sahihi wa kumuongoza. Akifanya masihara atapotea kwenye game. Toka atoke WCB huenda akawa na hitsongs nyingi kuzidi hata ali kiba..
Haoa katikati mmakonde alinishawishi nikawa nasikiliza muziki, akitoa ngoma nikiisikia, nitatenga muda niisikilize, lakini kimaisha na tabia habadiliki na hasogei mbele.
Tupo wengiDaah kila mtu na kipendacho roho. Yaani mimi kwenye bongo fleva hunipati kabisa. Labda kidogo nisikilize za kitambo kama Xplastaz, Watengwa, Jay Mo nk.
Andika kuhusu Mimi basi faili langu si unalo, umeambiwa jamaa anaimba hilo ndio faili lenyewe?Jamaaa anaimbaaaa aiseee ππππ
Huu ni ushauri kwa Harmonize
View attachment 2869848
1.punguza Bangi
2.Kuwa na creativity upande wa collabo.. Achana na wasanii wa hapahapa.. Mtafute hata lilbaby piga nae collabo la Karne.
3.OA
4.Hakikisha hauwasiliani na Diamond. Vimba.
5.Mwezi wa 9 mwaka huu Usisafiri.
Yangu ni hayo tu... Ukiona naandika kitu ujue tiyari Nina mafile yako.
Wewe ni kioo cha jamii.... Badilika πΉπΏ
Bila kutukana umeona hupati mzuka Mkuu?Ile album ya visit bongo ni konyo..ms.enge anaimba ni nomaa..itafute utanishukuru.
ili nini sasa, mbona mnapenda sana kulazimisha mambo?3.OA
Quality zake baadhi:Kwa utunzi tu, jamaa namvulia kofia, mjomba nchumali ana ngoma kali mnoo, shida tu kichwa yake haiko MUSURI na amekosa watu sahihi wa kumuongoza. Akifanya masihara atapotea kwenye game. Toka atoke WCB huenda akawa na hitsongs nyingi kuzidi hata ali kiba..
Haoa katikati mmakonde alinishawishi nikawa nasikiliza muziki, akitoa ngoma nikiisikia, nitatenga muda niisikilize, lakini kimaisha na tabia habadiliki na hasogei mbele.
HakikaMzee huyu jamaa ni moto
Inaonekana ata code uzijui mkuu.Andika kuhusu Mimi basi faili langu si unalo, umeambiwa jamaa anaimba hilo ndio faili lenyewe?
Apa sio kulazimisha ni kunafaida yake Kwa mwili mkuu kama ujatuliza bongo uwez elewa nn namaanisha ππ¨ili nini sasa, mbona mnapenda sana kulazimisha mambo?