Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #21
Acha ushoga kushabikia ukabilaUmoja Party haipati usajili. Jiungeni katika chama cha msukuma mwenzenu, baba yenu Cheyo...UDP. wasukuma hamjui kucalculate kabisa. chama mnacho tayari kisha mnataka kuunda kingine.
Wewe limbukeni bana hayo mavi kabla hujajinyea.Wewe una matatizo gani??
Mbona unahangaika sana?
Usilinganishe Umoja party na Chadema. Umoja party ni juu ya moyo wa kizalendo kutetea maslahi ya taifa.Unadhani Waitara ni mjinga wa hivyo, unadhani hajui ugumu wa kushinda kupitia vyama vya matumaini? Alishinda kihalali akiwa cdm kutokana na nguvu ya cdm. Akarudishwa bungeni kihuni na Magufuli baada ya kuisaliti cdm. 2020 akazawadiwa tena ubunge kwenye ule uchaguzi wa kihayawani. Anajua fika nje ya cdm anapoweza kushinda kihalali, na ccm kwenye mbeleko ya vyombo vya dola hawezi kutoboa popote.
Daaah! Kwahiyo Adad Rajabu anarudi mjengoni?Adi sasa wabunge wa kununuliwa hawaelewi hatima yao. Nafikiri ata utaratibu alioweka magufuli majina kuamuliwa na kamati kuu baada ya kura za maoni jimboni kupigwa utatupiliwa mbali.
Wajumbe tunapewa nguvu tena. Tukutane muheza tanga
Mbunge wa 'mheza' anaitwa nani? π€π€π€Adi sasa wabunge wa kununuliwa hawaelewi hatima yao. Nafikiri ata utaratibu alioweka magufuli majina kuamuliwa na kamati kuu baada ya kura za maoni jimboni kupigwa utatupiliwa mbali.
Wajumbe tunapewa nguvu tena. Tukutane muheza tanga
Ila nilimpenda Mwakyembe. Alikufa kiume. Katika orodha ya wanaume nchi hii kwenye top three, Mwakyembe hakosi.Lini wajumbe walikosa nguvu?
Dr Mwakyembe alifanyiwa nini na hao wajumbe pamoja na degrees zake zote [emoji848]
Usilinganishe Umoja party na Chadema. Umoja party ni juu ya moyo wa kizalendo kutetea maslahi ya taifa.
Daaah! Kwahiyo Adad Rajabu anarudi mjengoni?
Mbunge wa 'mheza' anaitwa nani? [emoji847][emoji847][emoji847]
Ha haaa. Na sie tunajipanga hapa kumfurahisha mbunge wa 'Chanika' mnamo 2025. πͺπͺπͺ 2025! Nguvu moja.Msanii mmoja. Tutafurahii naye 2025
Hapa unaleta hoja gani?Hao umoja party ni wazalendo kuliko ccm ambao Magufuli alinajisi chaguzi za nchi hii na kuwapa uongozi?
Mwache mwenzako alambe asaliMuanze mapema kabisa kuandaa mikakati ya maana kujiunga Umoja party na baada ya kuenguliwa mkigombea mtarudi bungeni kwa urahisi mno.
Picha ipo wazi kabisa maana kila mtanzania mzalendo hawezi kuunga mkono haya yanayoendelea sasa.
Hujui lolote wewe.Chama kipya huanza na sera ambazo zitawafanya kuamini misingi ya chama husika . Nadi sera kwa nguvu uvune wanachama kilaini, kama utaanza kwa majungu basijuwa hata wanachama utakao wapata ni wamajungu tu. Ikiwa unawasubiri watakao dondoka ccm wewe ukawapa nafasi basi umefeli. Umojapaty tunataka sera siyo maneno na kejeli.
Kamwe usiwashauri wachumia tumboMuanze mapema kabisa kuandaa mikakati ya maana kujiunga Umoja party na baada ya kuenguliwa mkigombea mtarudi bungeni kwa urahisi mno.
Picha ipo wazi kabisa maana kila mtanzania mzalendo hawezi kuunga mkono haya yanayoendelea sasa.
Masikini unawapoteza mazima πππ na wapotee kbs kundi la bwana yule!!Muanze mapema kabisa kuandaa mikakati ya maana kujiunga Umoja party na baada ya kuenguliwa mkigombea mtarudi bungeni kwa urahisi mno.
Picha ipo wazi kabisa maana kila mtanzania mzalendo hawezi kuunga mkono haya yanayoendelea sasa.
Amen πAmelaaniwa amtegemeaye mwanadamu.