Watumishi wa umma wanalipwa mishahara mikubwa sana.Wapo watumishi wa Serikali pamoja na viongozi wa kisiasa wanalipwa mishahara mikubwa Sana.
Ni kweli kabisa. FuatiliaWatumishi wa umma wanalipwa mishahara mikubwa sana.
Yani nimeishia hapo kusoma.
Naamini katika vyote; rasilimali watu na vitu. AsanteNawe ni mmoja kati ya wanaoamini rasilimali vitu (fedha), jitahidi kujifunza ,utaelimika
HapanaHata wa 150 apunguziwe
Kuna watu mnatupa wakati ngumu sana watu tulioamua kumrudia Kristo kutotoa lugha ngumu! 🚮wanaolipwa mpaka Laki nane
sasa nisikilize mimi mchumi, watu wanaoongoza kwa kulipa kodi na kufanya manunuzi ni wafanyakazi wa serikali. Sasa ukipunguza mishahara utakua umepunguza vipato vyao. Hivyo moja kwa moja utakua umepunguza manunuzi. Ukipunguza manunuzi unapunguza soko la bidhaa ukipunguza soko la bidhaa wazalishaji wanapunguza uzalishaji wakipunguza uzalishaji GDP inashuka. GDP ikishuka uchumi unashuka. Uchumi ukishuka basi ni vyema wachumi wafanye economic analysis.Wapo watumishi wa Serikali pamoja na viongozi wa kisiasa wanalipwa mishahara mikubwa Sana.
Wapo wanaolipwa mpaka Laki nane, Tisa, milioni 2, 3, 4, 5, 10, 20 n.k kwa mwezi kiasi kwamba Hata ikikatwa na kuwa nusu yake bado kitakuwa Ni kiwango stahiki kitakachokidhi mahitaji Yao ya msingi na fedha zilizobaki zitaelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.
Sawa kabisa ila, na gharama za umeme zipunguzwe fro 350 per unit. Had sh. Hamsini tulipoanzia. Wakat wa Luku.Wapo watumishi wa Serikali pamoja na viongozi wa kisiasa wanalipwa mishahara mikubwa Sana.
Wapo wanaolipwa mpaka Laki nane, Tisa, milioni 2, 3, 4, 5, 10, 20 n.k kwa mwezi kiasi kwamba Hata ikikatwa na kuwa nusu yake bado kitakuwa Ni kiwango stahiki kitakachokidhi mahitaji Yao ya msingi na fedha zilizobaki zitaelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.
Hawa ni wa kuombewa tu, wafunguliwe bongo zao kwa kweliKuna watu mnatupa wakati ngumu sana watu tulioamua kumrudia Kristo kutotoa lugha ngumu! 🚮
Nakubaliana nawe serikali kupunguza mishahara ya viongozi (wote wakisiasa na wasio wakisiasa) na watumishi wengine wanaopata nyingi 'husasani kwenye mataasisi'Wapo watumishi wa Serikali pamoja na viongozi wa kisiasa wanalipwa mishahara mikubwa Sana.
Wapo wanaolipwa mpaka Laki nane, Tisa, milioni 2, 3, 4, 5, 10, 20 n.k kwa mwezi kiasi kwamba Hata ikikatwa na kuwa nusu yake bado kitakuwa Ni kiwango stahiki kitakachokidhi mahitaji Yao ya msingi na fedha zilizobaki zitaelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.
Wapo watumishi wa Serikali pamoja na viongozi wa kisiasa wanalipwa mishahara mikubwa Sana.
Wapo wanaolipwa mpaka Laki nane, Tisa, milioni 2, 3, 4, 5, 10, 20 n.k kwa mwezi kiasi kwamba Hata ikikatwa na kuwa nusu yake bado kitakuwa Ni kiwango stahiki kitakachokidhi mahitaji Yao ya msingi na fedha zilizobaki zitaelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.
Wanaolipwa nyingi mfano wa kwenye mataasisiWatumishi wa umma wanalipwa mishahara mikubwa sana.
Yani nimeishia hapo kusoma.