Ushauri kwa Rais kuhusu mahindi yanayosafirishwa nje ya nchi

Ushauri kwa Rais kuhusu mahindi yanayosafirishwa nje ya nchi

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Nawapa tahadhari kuwa njaa inayokuja mbeleni kwa nchi ya Tanzania itakuwa ya kutisha. Jana nimeshuhudia kwa macho yangu katika mpaka wa Sirari mamia ya malori yakiwa na shehena ya mahindi yakipelekwa Kenya.

Huu ni mwezi wa sita bei ya gunia moja la mahindi ni zaidi ya Tshs.130,000 maeneo ya Mkoa wa Mara na sasa itakapofika Septemba hali kama hii itakuwaje.

Mhe. Rais mimi ni mtu mdogo ila nakushauri weka zuio chakula kisisafirishwe nje ya nchi mpaka hapo itakapoonekana hali ni nzuri.

Jana nchi ya kenya imeondoa ushuru wote wa mahindi na sasa wengi watamudu kununua kiasi chochote wananchohitaji na hivyo maelfu ya tani ya mahindi yatasombwa kwenda Kenya.

Mhe. Waziri wa Kilimo suala hili ni la muhimu sana unashauriwa kusimamia suala hili. Kwa hili nitamkumbuka sana Mhe. Magufuli sana.
 
Kwaiyo mnataka Garama za uzalishaji wa Haya Mahindi ya msimu huu itarudi vipi kama mipaka ikifungwa ambapo Serikalihaikuwekea ruzuku..Samia analijua hilo ndio maana hawezi kufunga mipaka

Pili tayari tunamikataba ya kibiashara tukishasain na Majiran toka mwaka jana hatuwezi kwenda kinyume.

Tatu waacheni wakulima wale mema ya nchi na jasho lao..why mnapenda walalmike kila mismu juu ya bei ya mahindi kuwa chini..hakuna njaa itayotokea Ghala za TFRA zimesheheni akiba
 
Jinunulie chakula cha kutosha kama unaona njaa ipo mbeleni.
Mkulima alime ahenyeke afu uje umpangie soko
Chukua jembe nenda ukalime yakwako ili uuze nchini
Kulima alime mkulima afu soko umpangie wewe
Sio kila mtu ni mla ugali wengine hivyo vyakula hawali kabisa
 
Jinunulie chakula cha kutosha kama unaona njaa ipo mbeleni.
Mkulima alime ahenyeke afu uje umpangie soko
Chukua jembe nenda ukalime yakwako ili uuze nchini
Kulima alime mkulima afu soko umpangie wewe
Sio kila mtu ni mla ugali wengine hivyo vyakula hawali kabisa
Sahihi kila mtu afanye atakavyoweza
 
Tunapoelekea debe litafka laki moja, mwaka huu wakulima wanaupga mwingi.
 
Huyo rais ni yupi?

Rais alifariki mwaka jana mwezi march
 
Nawapa tahadhari kuwa njaa inayokuja mbeleni kwa nchi ya Tanzania itakuwa ya kutisha. Jana nimeshuhudia kwa macho yangu katika mpaka wa Sirari mamia ya malori yakiwa na shehena ya mahindi yakipelekwa Kenya.

Huu ni mwezi wa sita bei ya gunia moja la mahindi ni zaidi ya Tshs.130,000 maeneo ya Mkoa wa Mara na sasa itakapofika Septemba hali kama hii itakuwaje.

Mhe. Rais mimi ni mtu mdogo ila nakushauri weka zuio chakula kisisafirishwe nje ya nchi mpaka hapo itakapoonekana hali ni nzuri.

Jana nchi ya kenya imeondoa ushuru wote wa mahindi na sasa wengi watamudu kununua kiasi chochote wananchohitaji na hivyo maelfu ya tani ya mahindi yatasombwa kwenda Kenya.

Mhe. Waziri wa Kilimo suala hili ni la muhimu sana unashauriwa kusimamia suala hili. Kwa hili nitamkumbuka sana Mhe. Magufuli sana.
Wakati unasubiri majibu ya ushauri uliompa Rais, ningekushauri utafute shamba ulime mahindi yako mwenyewe.
 
Wakati wakulima wanalia kupanda kwa mbolea mbona hukutoa ushauri?..
Acha watafute soko litakalo wapa faida...alafu, tafuta pesa ugali unadumaza akili
 
Kwani mkulima alilima Kwa ajili Yako au anategemea soko zuri ili ajikomboe? Msiojua taabu ya kulima make kimya
 
Wewe uliotoa mada ni mkulima kweli au ? Sikiliza hoyo njaa itakuua wewe na familia yako wazembe .wenzio huku ifakara tukitoa mpunga mwezi wa sita na saba tunabandika viazi na mihogo mahara na kunde na kunde tunasubiri mvua za vuli wa tisa tunavuna january tuanza maanadalizi tena ya mpunga sasa hiyo njaa inatoka wapi labda kwenu huko kilimahewa
 
Nawapa tahadhari kuwa njaa inayokuja mbeleni kwa nchi ya Tanzania itakuwa ya kutisha. Jana nimeshuhudia kwa macho yangu katika mpaka wa Sirari mamia ya malori yakiwa na shehena ya mahindi yakipelekwa Kenya.

Huu ni mwezi wa sita bei ya gunia moja la mahindi ni zaidi ya Tshs.130,000 maeneo ya Mkoa wa Mara na sasa itakapofika Septemba hali kama hii itakuwaje.

Mhe. Rais mimi ni mtu mdogo ila nakushauri weka zuio chakula kisisafirishwe nje ya nchi mpaka hapo itakapoonekana hali ni nzuri.

Jana nchi ya kenya imeondoa ushuru wote wa mahindi na sasa wengi watamudu kununua kiasi chochote wananchohitaji na hivyo maelfu ya tani ya mahindi yatasombwa kwenda Kenya.

Mhe. Waziri wa Kilimo suala hili ni la muhimu sana unashauriwa kusimamia suala hili. Kwa hili nitamkumbuka sana Mhe. Magufuli sana.
Tuna kiongozi wa Ajabu sana
 
Hata mimi naunga mkonyo hoja. Tusiwe waongo kama vp serikali izuie mahindi yasitoke nje, kwani hata watumishi wa Mungu walisha tutangazia khs onyo la Mungu la uwepo wa njaa. Kuna mtumishi wa Mungu kutoka Zambia aitwaye Rachael Abigael Mushala Chisuro alishasema kitambo. Niwausie wana jf wenzangu tununue chakula tutunze japo kiasi njaa ipo kweli.
 
Kwaiyo mnataka Garama za uzalishaji wa Haya Mahindi ya msimu huu itarudi vipi kama mipaka ikifungwa ambapo Serikalihaikuwekea ruzuku..Samia analijua hilo ndio maana hawezi kufunga mipaka

Pili tayari tunamikataba ya kibiashara tukishasain na Majiran toka mwaka jana hatuwezi kwenda kinyume.

Tatu waacheni wakulima wale mema ya nchi na jasho lao..why mnapenda walalmike kila mismu juu ya bei ya mahindi kuwa chini..hakuna njaa itayotokea Ghala za TFRA zimesheheni akiba
Bahati mbaya mkulima halimi kila kitu
Atalima mahindi atauza gunia 130000 Ila hapohapo atahitaji kununuaa maharage kwa Bei ya juu tena, hivyo kunakua hakuna hata na maana ya Bei ya juu aliyouza.
Inflation sio nzuri, tuaifurahie tu bidhaa kuwa bei juu madhara yake shilingi inapoteza thamani.
 
Bahati mbaya mkulima halimi kila kitu
Atalima mahindi atauza gunia 130000 Ila hapohapo atahitaji kununuaa maharage kwa Bei ya juu tena, hivyo kunakua hakuna hata na maana ya Bei ya juu aliyouza.
Inflation sio nzuri, tuaifurahie tu bidhaa kuwa bei juu madhara yake shilingi inapoteza thamani.
Hayo ni mawazo yako sio mawazo ya mkulima hivyo muache mkulima afanye apendacho. Maghala ya chakula ya Taifa yamejaa vyakula hakuna njaa lakini chamoto mtakiona.
 
Wewe uliotoa mada ni mkulima kweli au ? Sikiliza hoyo njaa itakuua wewe na familia yako wazembe .wenzio huku ifakara tukitoa mpunga mwezi wa sita na saba tunabandika viazi na mihogo mahara na kunde na kunde tunasubiri mvua za vuli wa tisa tunavuna january tuanza maanadalizi tena ya mpunga sasa hiyo njaa inatoka wapi labda kwenu huko kilimahewa
Kabisa bonde lote la kilombero tunamwagilia moyo tu .[emoji23] Tumevuna mpunga na mahindi , Tena tumeanza kupanda mahindi mengine. Njaa itatoka wapi tena hatuhitaji hata mbolea.
 
Hiyo ni hulka ya umasikini,kilimo cha mahindi kilikuwa na tija ndogo sana kwa wakulima,mkulima wa mahindi alionekana masikini tangu miaka mingi sana hivyo hii ni neema kwa wakulima.Msimu huu watu waingie shambani walime mahindi soko lipo na uhakika wa kurudisha ghalama na kupata faida ni mkubwa.
 
Bahati mbaya mkulima halimi kila kitu
Atalima mahindi atauza gunia 130000 Ila hapohapo atahitaji kununuaa maharage kwa Bei ya juu tena, hivyo kunakua hakuna hata na maana ya Bei ya juu aliyouza.
Inflation sio nzuri, tuaifurahie tu bidhaa kuwa bei juu madhara yake shilingi inapoteza thamani.
Umejibu kiusahihi sana.
 
Back
Top Bottom