fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,902
- 2,396
Ushauri murua kabisaWakati unasubiri majibu ya ushauri uliompa Rais, ningekushauri utafute shamba ulime mahindi yako mwenyewe.
Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri murua kabisaWakati unasubiri majibu ya ushauri uliompa Rais, ningekushauri utafute shamba ulime mahindi yako mwenyewe.
SafiWakati wakulima wanalia kupanda kwa mbolea mbona hukutoa ushauri?..
Acha watafute soko litakalo wapa faida...alafu, tafuta pesa ugali unadumaza akili
Mtu yoyote anayetaka mipaka ifungwe ni mwenda wazimu. That's all I can say.Nawapa tahadhari kuwa njaa inayokuja mbeleni kwa nchi ya Tanzania itakuwa ya kutisha. Jana nimeshuhudia kwa macho yangu katika mpaka wa Sirari mamia ya malori yakiwa na shehena ya mahindi yakipelekwa Kenya.
Huu ni mwezi wa sita bei ya gunia moja la mahindi ni zaidi ya Tshs.130,000 maeneo ya Mkoa wa Mara na sasa itakapofika Septemba hali kama hii itakuwaje.
Mhe. Rais mimi ni mtu mdogo ila nakushauri weka zuio chakula kisisafirishwe nje ya nchi mpaka hapo itakapoonekana hali ni nzuri.
Jana nchi ya kenya imeondoa ushuru wote wa mahindi na sasa wengi watamudu kununua kiasi chochote wananchohitaji na hivyo maelfu ya tani ya mahindi yatasombwa kwenda Kenya.
Mhe. Waziri wa Kilimo suala hili ni la muhimu sana unashauriwa kusimamia suala hili. Kwa hili nitamkumbuka sana Mhe. Magufuli sana.
Kwanini usiitazame hiyo kama fursa na kuingia shambani kulima?Nawapa tahadhari kuwa njaa inayokuja mbeleni kwa nchi ya Tanzania itakuwa ya kutisha. Jana nimeshuhudia kwa macho yangu katika mpaka wa Sirari mamia ya malori yakiwa na shehena ya mahindi yakipelekwa Kenya.
Huu ni mwezi wa sita bei ya gunia moja la mahindi ni zaidi ya Tshs.130,000 maeneo ya Mkoa wa Mara na sasa itakapofika Septemba hali kama hii itakuwaje.
Mhe. Rais mimi ni mtu mdogo ila nakushauri weka zuio chakula kisisafirishwe nje ya nchi mpaka hapo itakapoonekana hali ni nzuri.
Jana nchi ya kenya imeondoa ushuru wote wa mahindi na sasa wengi watamudu kununua kiasi chochote wananchohitaji na hivyo maelfu ya tani ya mahindi yatasombwa kwenda Kenya.
Mhe. Waziri wa Kilimo suala hili ni la muhimu sana unashauriwa kusimamia suala hili. Kwa hili nitamkumbuka sana Mhe. Magufuli sana.
Itakuwa safi sana maana vijana watahasika na kilimoTunapoelekea debe litafka laki moja, mwaka huu wakulima wanaupga mwingi.
Kwa wapenda kitonga na utegemezi lazima muone hivyoTuna kiongozi wa Ajabu sana
Solution ni wewe kujinunulia chakula chako na kufungia stooSolution ni kufunga mipaka basi