Ushauri kwa Rais kuhusu mahindi yanayosafirishwa nje ya nchi

Mtu yoyote anayetaka mipaka ifungwe ni mwenda wazimu. That's all I can say.
 
Kwa hiyo sisi tunaolima hatuna haki kupata Faida!? Tunapoenda shamba kuhenya nyie mnakimbilia press conference ya Manara.
Acheni mipaka ikae wazi kula urefu wa kamba yako.
 
Kwanini usiitazame hiyo kama fursa na kuingia shambani kulima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni wakulima nao wapate hela kwa walichozalisha mnataka yauzwe bei rahisi ili iweje na wao waondokane na umasikini wajenge nyumba bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…