Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Mpango apendekeze alafu Rais anaruhusu au kutoa ushauriHapana lazima aangalli kama kilichofanyika ni sawa, at the end of the day lawana zitakuja kwake. Hiyo hapana. She has to ascertain what is proposed.. at any rate
Hayo ni masomo ya wasiojiweza!Mshaurini kwamba atoe kipaumbele kwa watu walio soma Economics, Planning 'corporate planning', Finance, Business Administration, na field nyingine zinazofana nana hizo.
Weka sababu za kuondolewa kwaoKatika uteuzi wa madc, ninaomba awaondoe madc walioko wilaya zifuatazo;- nyangwale, bukombe, Geita vijijini, Geita mjini, Kahama,nzega,igunga, dodoma jiji, kibaha, meru, siha, Rombo,same, Hai, simanjiro,kiteto, mbulu, serengeti,Tarime, mkoa wa Mwanza wote.chato na Ruangwa.
Hawezi kuwa Mbovu ili hali kaaminiwa na kupewa nafasi kubwa.Mpango ni mbovu kuliko watu wote
Mkuu upo kitengo nyeti sana hao wote unawajua madhaifu yao!Katika uteuzi wa madc, ninaomba awaondoe madc walioko wilaya zifuatazo;- nyangwale, bukombe, Geita vijijini, Geita mjini, Kahama,nzega,igunga, dodoma jiji, kibaha, meru, siha, Rombo,same, Hai, simanjiro,kiteto, mbulu, serengeti,Tarime, mkoa wa Mwanza wote.chato na Ruangwa.
Wote hao ni wapigajiMkuu upo kitengo nyeti sana hao wote unawajua madhaifu yao!
Hongera
DC wa Kahama ana shida ipi? Mbona wana Kahama tunaona Anamringi Macha anatosha?Katika uteuzi wa madc, ninaomba awaondoe madc walioko wilaya zifuatazo;- nyangwale, bukombe, Geita vijijini, Geita mjini, Kahama,nzega,igunga, dodoma jiji, kibaha, meru, siha, Rombo,same, Hai, simanjiro,kiteto, mbulu, serengeti,Tarime, mkoa wa Mwanza wote.chato na Ruangwa.