nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Napingaaa,Habari zenu Wana wa JF siasa.
Mama Samia Suluhu amemkabidhi VP Dr Mpango kusimamia Uchumi kwa kuwa ni mtaalamu wa nyanja hii.
Nashauri pia aachiwe ateue wakurugenzi watendaji wa halmashauri mbalimbali nchini. Pia ateue wakurugenzi wa mashirika mbalimbali ya umma Kama TRA, TPDC, TPA, TCRA, nk.
Rais Samia Suluhu abaki na uteuzi wa ma DC, RC, Mabalozi, RAS, DAS, nk.
Ni kosa Kwa mtu kutoka Chato au Ruangwa kushika nyadhifa nchini?Katika uteuzi wa madc, ninaomba awaondoe madc walioko wilaya zifuatazo;- nyangwale, bukombe, Geita vijijini, Geita mjini, Kahama,nzega,igunga, dodoma jiji, kibaha, meru, siha, Rombo,same, Hai, simanjiro,kiteto, mbulu, serengeti,Tarime, mkoa wa Mwanza wote.chato na Ruangwa.
Wana kitu gani cha zaidi walichofanya hao waliosoma uchuchumi. Kusoma uchumi haimaanishi unawazidi ambao hawajasoma uchumi.Mshaurini kwamba atoe kipaumbele kwa watu walio soma Economics, Planning 'corporate planning', Finance, Business Administration, na field nyingine zinazofana nana hizo.
Mifano:
NSSF, PSSF & WCF - shahada ya kwanza: BA in Economics, elimu ya uzamivu /& uzamili: Labour Economics
TPDC, PURA & EWURA - shahada ya kwanza: BA in Economics, elimu za uzamivu /& uzamili: Natural Resource & Environmental Economics
Hata mabalozi wenyewe - shahada ya kwanza: BA in Economics, elimu ya uzamivu /& uzamili: International Economics
Wakurugenzi wa Halmashauri na Makatibu Tawala wa Mikoa - shahada ya kwanza: BA in Economics, elimu ya uzamivu /& uzamili: Labour Economics/ au Public Finance
Umesahau be...mbobevuMpango ni mbovu kuliko watu wote
Naona Dr Mpango masikio yanazidi kichwa na unaonesha kihalisia tabia zako za kirundi. Nikushauri tu, watch out, Samia ndo Rais na unawajibika kwa Samia na wewe si lolote wala chochote bila Mhe. Raisi Samia.Habari zenu Wana wa JF siasa.
Mama Samia Suluhu amemkabidhi VP Dr Mpango kusimamia Uchumi kwa kuwa ni mtaalamu wa nyanja hii.
Nashauri pia aachiwe ateue wakurugenzi watendaji wa halmashauri mbalimbali nchini. Pia ateue wakurugenzi wa mashirika mbalimbali ya umma Kama TRA, TPDC, TPA, TCRA, nk.
Rais Samia Suluhu abaki na uteuzi wa ma DC, RC, Mabalozi, RAS, DAS, nk.
Inaonekana hufahamu kabisa mfumo unavyofanya kazi. Rais ana timu ya washauri ktk kila sekta na kuna jopo la timu inayosimamia uteuzi wa watendaji watakaoendana na style ya utawala wake kulingana na vipaumbele vyake.Nashauri amkasimishe hayo mamlaka kwa Dr Mpango. VP ni jembe Sana, sidhani Kama Kuna DED ataleta ujingaujinga.
Hawezi kukubali tena baada ya matangopori ya TPDC mliyomlisha Jana.Habari zenu Wana wa JF siasa.
Mama Samia Suluhu amemkabidhi VP Dr Mpango kusimamia Uchumi kwa kuwa ni mtaalamu wa nyanja hii.
Nashauri pia aachiwe ateue wakurugenzi watendaji wa halmashauri mbalimbali nchini. Pia ateue wakurugenzi wa mashirika mbalimbali ya umma Kama TRA, TPDC, TPA, TCRA, nk.
Rais Samia Suluhu abaki na uteuzi wa ma DC, RC, Mabalozi, RAS, DAS, nk.
Acha waliokuwa wanaabudu mtu na sio taasisi ya uraisi waipishe ofisi za Uma ili kumuenzi mwenda zakeDC wa Kahama ana shida ipi? Mbona wana Kahama tunaona Anamringi Macha anatosha?
Umeandika haya kwasababu Rais ni mwanamke???Habari zenu Wana wa JF siasa.
Mama Samia Suluhu amemkabidhi VP Dr Mpango kusimamia Uchumi kwa kuwa ni mtaalamu wa nyanja hii.
Nashauri pia aachiwe ateue wakurugenzi watendaji wa halmashauri mbalimbali nchini. Pia ateue wakurugenzi wa mashirika mbalimbali ya umma Kama TRA, TPDC, TPA, TCRA, nk.
Rais Samia Suluhu abaki na uteuzi wa ma DC, RC, Mabalozi, RAS, DAS, nk.
Sio suala la aachiwe fulani, hii nchi ni yetu sote, waondoe ukada, ukanda watangulize maslahi ya nchi mbele. Wapo tunaowaamini wakae kama Jopo kufanya teuzi. Hili suala la kusema mwachie fulani hapana, mjinga mmoja anachomeka jina la mjinga wenzie madhara yake ndo kama unavyoyaona mambo ya aibu teua tengua in 12HRS.Habari zenu Wana wa JF siasa.
Mama Samia Suluhu amemkabidhi VP Dr Mpango kusimamia Uchumi kwa kuwa ni mtaalamu wa nyanja hii.
Nashauri pia aachiwe ateue wakurugenzi watendaji wa halmashauri mbalimbali nchini. Pia ateue wakurugenzi wa mashirika mbalimbali ya umma Kama TRA, TPDC, TPA, TCRA, nk.
Rais Samia Suluhu abaki na uteuzi wa ma DC, RC, Mabalozi, RAS, DAS, nk.
Big NOOOOHabari zenu Wana wa JF siasa.
Mama Samia Suluhu amemkabidhi VP Dr Mpango kusimamia Uchumi kwa kuwa ni mtaalamu wa nyanja hii.
Nashauri pia aachiwe ateue wakurugenzi watendaji wa halmashauri mbalimbali nchini. Pia ateue wakurugenzi wa mashirika mbalimbali ya umma Kama TRA, TPDC, TPA, TCRA, nk.
Rais Samia Suluhu abaki na uteuzi wa ma DC, RC, Mabalozi, RAS, DAS, nk.
Hili ni suala la kisheria, mwenye mamlaka ya kuteua ni Raisi, wewe unaleta porojo za vijiweni hapa.Habari zenu Wana wa JF siasa.
Mama Samia Suluhu amemkabidhi VP Dr Mpango kusimamia Uchumi kwa kuwa ni mtaalamu wa nyanja hii.
Nashauri pia aachiwe ateue wakurugenzi watendaji wa halmashauri mbalimbali nchini. Pia ateue wakurugenzi wa mashirika mbalimbali ya umma Kama TRA, TPDC, TPA, TCRA, nk.
Rais Samia Suluhu abaki na uteuzi wa ma DC, RC, Mabalozi, RAS, DAS, nk.
Habari zenu Wana wa JF siasa.
Mama Samia Suluhu amemkabidhi VP Dr Mpango kusimamia Uchumi kwa kuwa ni mtaalamu wa nyanja hii.
Nashauri pia aachiwe ateue wakurugenzi watendaji wa halmashauri mbalimbali nchini. Pia ateue wakurugenzi wa mashirika mbalimbali ya umma Kama TRA, TPDC, TPA, TCRA, nk.
Rais Samia Suluhu abaki na uteuzi wa ma DC, RC, Mabalozi, RAS, DAS, nk.
Kabisa Serikali siyo ghetto la masela. Eti mnaachiana tu, kama kawa!Mamlaka ya uteuzi ni moja tu kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Serikali siyo ghetto la masela kila mtu ana mamlaka ya kufanya anavyopenda.