Ushauri kwa Rais Samia: Ondoa posho za wabunge na mawaziri, shusha mishahara yao peleka kwenye vifaa tiba kwa ajili ya wananchi!

Ushauri kwa Rais Samia: Ondoa posho za wabunge na mawaziri, shusha mishahara yao peleka kwenye vifaa tiba kwa ajili ya wananchi!

Na hatamaliza muda wake madarakani
Ipo wazi mkuu. La sivyo awe mtu wa Mungu kweli kweli au awe wa gizani kweli kweli.
Awe na mfumo makini na imara kweli kweli uliojaa wazalendo tupu.
 
Ipo wazi mkuu. La sivyo awe mtu wa Mungu kweli kweli au awe wa gizani kweli kweli.
Awe na mfumo makini na imara kweli kweli uliojaa wazalendo tupu.
Anatakiwa awe kama fidel castro...yaani mtu wa gwanda na kila leo anabadilisha chupi na gwanda🤣🤣🤣🤣🤣

Akisafiri awe anasafiri kama hitler, yaani train, ndege, motorcade hadi meli vipo standby. Last minute anabadilisha form of transport
 
Back
Top Bottom