Ushauri kwa Rais: Shusha mishahara ya wanasiasa na ondoa posho zao peleka kwenye mafuta uikwepe laana ya Magufuli

Ushauri kwa Rais: Shusha mishahara ya wanasiasa na ondoa posho zao peleka kwenye mafuta uikwepe laana ya Magufuli

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Ni ushauri wangu wa Mwisho kukupa hutaki unaacha!


Mmekopa kushusha bei ya mafuta Ili bidhaa zishuke lakini wapi!

Mmemnanga marehemu Sana lakini wapi,

Mmetoa ahadi za uongo Napo pia wapi!!bila bila!!Leo nimeulizia gunia la mahindi,bati,simenti na sukari nikasema Hadi januari lazima mchutame tu hakuna Namna nyeti zitaonekana laivu bila chenga!!

Sasa wewe ni Mwanasiasa mlamba asali!inatosha Sasa fanya hima uokoe kichwa!


Punguza mishahara ya wanasiasa wapate angalau robo ya wanachopata Sasa hivi,ondoa posho zote !mikopo yote ya wanasiasa na walipe kodi rasmi ya huo mshahara maana siasa ndio kichaka cha fedha nyingi NCHI HII!!

Halafu peleka fedha zote KWENYE mafuta na unda squad ya siri kufuatilia wafanyabiashara wanao hujumu Bei washughulikiwe kisawa sawa!!

Pia ondoa walamba asali weka vyuma haswa Ili kusimamia uchumi!Ondoa Mwigulu aende akachore mawe huko,ondoa makamba aende beach huko akavinjari,Ondoa na nape akabangue korosho huko!!

Pia tuletee ripoti ya fedha za hazina ulizorithi kutoka kwa shujaa Ili tujue kwanini unakopa tuu bila kukoma hadi nchi inakaribia shimoni!weka wazi report ile Ili wachumi wazalendo wakusaidie kuliongoza Taifa.

Weka watu wanaotema cheche wenye kueleweka kwenye wizara za Fedha,habari na nishati!!

Rudisha H.pole pole kwenye nafasi yake aondoe wahuni Halafu omba msamaha kwa kukopa hovyo bila tija maana hiyo mikopo haijamsaidia mwananchi!!


Piga u-turn ya kufa mtu!uje unishukuru Baadae humu humu jf!!

Pia jitahidi umrudishe Warioba kwenye KAZI yake huyo mkandala Mwambie arudi Udsm akafundishe hapo hapamfai!!!

Nimemaliza!

Ni mimi mzalendo!!
 
Ni ushauri wangu wa Mwisho kukupa hutaki unaacha!


Mmekopa kushusha bei ya mafuta Ili bidhaa zishuke lakini wapi!

Mmemnanga marehemu Sana lakini wapi,

Mmetoa ahadi za uongo Napo pia wapi!!bila bila!!Leo nimeulizia gunia la mahindi,bati,simenti na sukari nikasema Hadi januari lazima mchutame tu hakuna Namna nyeti zitaonekana laivunbila chenga!!

Sasa wewe ni Mwanasiasa mlamba asali!inatosha Sasa fanya hima uokoe kichwa!


Punguza mishahara ya wanasiasa wapate angalau robo ya wanachopata Sasa hivi,ondoa posho zote !mikopo yote ya wanasiasa na walipe kodi rasmi ya huo mshahara maana siasa ndio kichaka cha fedha nyingi NCHI HII!!

Halafu peleka fedha zote KWENYE mafuta na unda squad ya siri kufuatilia wafanyabiashara wanao hukumu Bei washughulikiwe kisawa sawa!!

Pia ondoa walamba asali weka vyuma haswa Ili kusimamia uchumi!Ondoa Mwigulu aende akachore mawe huko,ondoa makamba aende hicho huko akavinjari,Ondoa na nape akabangue korosho huko!!

Weka watu wanaotema cheche wenye kueleweka kwenye wizara za Fedha,habari na nishati!!

Rudisha H.pole pole kwenye nafasi yake aondoe wahuni Halafu omba msamaha kwa kukopa hovyo bila tija maana hiyo mikopo haijamsaidia mwananchi!!


Piga u-turn ya kufa mtu!uje unishukuru Baadae humu humu jf!!

Pia jitahidi umrudishe Warioba kwenye KAZI take huyo mkandala Mwambie arudi Udsm akafundishe hapo hapamfai!!!

Nimemaliza!

Ni mimi mzalendo!!
Toka lini wewe ni Mshauri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
#Mungu mbariki mama yetu Samia Suluhu Hassan
#Mungu ibariki Tanzania
 
Toka lini wewe ni Mshauri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
#Mungu mbariki mama yetu Samia Suluhu Hassan
#Mungu ibariki Tanzania
Endeleeni kumpa kichwa!

Nakoleza Moto wa WIMBO HUU;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!

"Samiah jiuzulu Sasa nchi imeshakushinda, ulambaji asali umekuponza"!
 
Ni ushauri wangu wa Mwisho kukupa hutaki unaacha!


Mmekopa kushusha bei ya mafuta Ili bidhaa zishuke lakini wapi!

Mmemnanga marehemu Sana lakini wapi,

Mmetoa ahadi za uongo Napo pia wapi!!bila bila!!Leo nimeulizia gunia la mahindi,bati,simenti na sukari nikasema Hadi januari lazima mchutame tu hakuna Namna nyeti zitaonekana laivu bila chenga!!

Sasa wewe ni Mwanasiasa mlamba asali!inatosha Sasa fanya hima uokoe kichwa!


Punguza mishahara ya wanasiasa wapate angalau robo ya wanachopata Sasa hivi,ondoa posho zote !mikopo yote ya wanasiasa na walipe kodi rasmi ya huo mshahara maana siasa ndio kichaka cha fedha nyingi NCHI HII!!

Halafu peleka fedha zote KWENYE mafuta na unda squad ya siri kufuatilia wafanyabiashara wanao hujumu Bei washughulikiwe kisawa sawa!!

Pia ondoa walamba asali weka vyuma haswa Ili kusimamia uchumi!Ondoa Mwigulu aende akachore mawe huko,ondoa makamba aende beach huko akavinjari,Ondoa na nape akabangue korosho huko!!

Weka watu wanaotema cheche wenye kueleweka kwenye wizara za Fedha,habari na nishati!!

Rudisha H.pole pole kwenye nafasi yake aondoe wahuni Halafu omba msamaha kwa kukopa hovyo bila tija maana hiyo mikopo haijamsaidia mwananchi!!


Piga u-turn ya kufa mtu!uje unishukuru Baadae humu humu jf!!

Pia jitahidi umrudishe Warioba kwenye KAZI yake huyo mkandala Mwambie arudi Udsm akafundishe hapo hapamfai!!!

Nimemaliza!

Ni mimi mzalendo!!
Aisee.....umemsaidia sana kwa huu ushauri.

Hapa hana wa kumlaumu, asipoufuata huu ushauri basi, atakuwa ameamua mwenyewe...

Mungu ni Mwema sana...amepata bahati yakuelezwa kweli na mtoa Post...

Kazi ni kwake ama kazi iendelee, achague kweli aepuke laana..

Machozi ya Wafanyakazi ni dalili mbaya...

Nchi itaangamia kwa Viongozi kukosa MAARIFA na Maono....sijui kwa nini hakuchagua Waziri Mkuu..
 
Ni ushauri wangu wa Mwisho kukupa hutaki unaacha!


Mmekopa kushusha bei ya mafuta Ili bidhaa zishuke lakini wapi!

Mmemnanga marehemu Sana lakini wapi,

Mmetoa ahadi za uongo Napo pia wapi!!bila bila!!Leo nimeulizia gunia la mahindi,bati,simenti na sukari nikasema Hadi januari lazima mchutame tu hakuna Namna nyeti zitaonekana laivu bila chenga!!

Sasa wewe ni Mwanasiasa mlamba asali!inatosha Sasa fanya hima uokoe kichwa!


Punguza mishahara ya wanasiasa wapate angalau robo ya wanachopata Sasa hivi,ondoa posho zote !mikopo yote ya wanasiasa na walipe kodi rasmi ya huo mshahara maana siasa ndio kichaka cha fedha nyingi NCHI HII!!

Halafu peleka fedha zote KWENYE mafuta na unda squad ya siri kufuatilia wafanyabiashara wanao hujumu Bei washughulikiwe kisawa sawa!!

Pia ondoa walamba asali weka vyuma haswa Ili kusimamia uchumi!Ondoa Mwigulu aende akachore mawe huko,ondoa makamba aende beach huko akavinjari,Ondoa na nape akabangue korosho huko!!

Weka watu wanaotema cheche wenye kueleweka kwenye wizara za Fedha,habari na nishati!!

Rudisha H.pole pole kwenye nafasi yake aondoe wahuni Halafu omba msamaha kwa kukopa hovyo bila tija maana hiyo mikopo haijamsaidia mwananchi!!


Piga u-turn ya kufa mtu!uje unishukuru Baadae humu humu jf!!

Pia jitahidi umrudishe Warioba kwenye KAZI yake huyo mkandala Mwambie arudi Udsm akafundishe hapo hapamfai!!!

Nimemaliza!

Ni mimi mzalendo!!
Duh ! Namba moja ajaye Nchini ! Hatar sana !! Sijui na sisi bado tutakuwepo ??!!!
 
Ni ushauri wangu wa Mwisho kukupa hutaki unaacha!


Mmekopa kushusha bei ya mafuta Ili bidhaa zishuke lakini wapi!

Mmemnanga marehemu Sana lakini wapi,

Mmetoa ahadi za uongo Napo pia wapi!!bila bila!!Leo nimeulizia gunia la mahindi,bati,simenti na sukari nikasema Hadi januari lazima mchutame tu hakuna Namna nyeti zitaonekana laivu bila chenga!!

Sasa wewe ni Mwanasiasa mlamba asali!inatosha Sasa fanya hima uokoe kichwa!


Punguza mishahara ya wanasiasa wapate angalau robo ya wanachopata Sasa hivi,ondoa posho zote !mikopo yote ya wanasiasa na walipe kodi rasmi ya huo mshahara maana siasa ndio kichaka cha fedha nyingi NCHI HII!!

Halafu peleka fedha zote KWENYE mafuta na unda squad ya siri kufuatilia wafanyabiashara wanao hujumu Bei washughulikiwe kisawa sawa!!

Pia ondoa walamba asali weka vyuma haswa Ili kusimamia uchumi!Ondoa Mwigulu aende akachore mawe huko,ondoa makamba aende beach huko akavinjari,Ondoa na nape akabangue korosho huko!!

Weka watu wanaotema cheche wenye kueleweka kwenye wizara za Fedha,habari na nishati!!

Rudisha H.pole pole kwenye nafasi yake aondoe wahuni Halafu omba msamaha kwa kukopa hovyo bila tija maana hiyo mikopo haijamsaidia mwananchi!!


Piga u-turn ya kufa mtu!uje unishukuru Baadae humu humu jf!!

Pia jitahidi umrudishe Warioba kwenye KAZI yake huyo mkandala Mwambie arudi Udsm akafundishe hapo hapamfai!!!

Nimemaliza!

Ni mimi mzalendo!!
Mishahara hewa imeripotiwa kurudi, ANALIPWA nani pesa hiyo haramu wakati wananchi kipato Cha Cha wanapitia Hali ngumu.
 
Hakuna kiongozi mwenye ubavu wa kupunguza mshahara wa wanasiasa hili ni kundi lisilogusika na akifanya hivyo hata 2025 hatafika ataishia njiani Tu.
Mwenyewe Samia anajua Hilo Kwa Leo akate mshahara wa mbunge itakuwa taabu sana kwenye kupitisha budget na wanaweza kupiga Kura ya kutokuwa na Imani na raisi na akang'oka kesho asubuhi......

Tanzania hakuna raisi mwenye ubavu wa kupunguza salary za wanasiasa ndiyo maana watu wenye Akili timamu wanaidai katiba mpya usiku na mchana
 
Ni ushauri wangu wa Mwisho kukupa hutaki unaacha!


Mmekopa kushusha bei ya mafuta Ili bidhaa zishuke lakini wapi!

Mmemnanga marehemu Sana lakini wapi,

Mmetoa ahadi za uongo Napo pia wapi!!bila bila!!Leo nimeulizia gunia la mahindi,bati,simenti na sukari nikasema Hadi januari lazima mchutame tu hakuna Namna nyeti zitaonekana laivu bila chenga!!

Sasa wewe ni Mwanasiasa mlamba asali!inatosha Sasa fanya hima uokoe kichwa!


Punguza mishahara ya wanasiasa wapate angalau robo ya wanachopata Sasa hivi,ondoa posho zote !mikopo yote ya wanasiasa na walipe kodi rasmi ya huo mshahara maana siasa ndio kichaka cha fedha nyingi NCHI HII!!

Halafu peleka fedha zote KWENYE mafuta na unda squad ya siri kufuatilia wafanyabiashara wanao hujumu Bei washughulikiwe kisawa sawa!!

Pia ondoa walamba asali weka vyuma haswa Ili kusimamia uchumi!Ondoa Mwigulu aende akachore mawe huko,ondoa makamba aende beach huko akavinjari,Ondoa na nape akabangue korosho huko!!

Weka watu wanaotema cheche wenye kueleweka kwenye wizara za Fedha,habari na nishati!!

Rudisha H.pole pole kwenye nafasi yake aondoe wahuni Halafu omba msamaha kwa kukopa hovyo bila tija maana hiyo mikopo haijamsaidia mwananchi!!


Piga u-turn ya kufa mtu!uje unishukuru Baadae humu humu jf!!

Pia jitahidi umrudishe Warioba kwenye KAZI yake huyo mkandala Mwambie arudi Udsm akafundishe hapo hapamfai!!!

Nimemaliza!

Ni mimi mzalendo!!
Nilipokuelewa ni hapo Kwa warioba, mwigulu na makamba. Kwingine sio...



Hawa vijana ni wahuni
 
Ni ushauri wangu wa Mwisho kukupa hutaki unaacha!


Mmekopa kushusha bei ya mafuta Ili bidhaa zishuke lakini wapi!

Mmemnanga marehemu Sana lakini wapi,

Mmetoa ahadi za uongo Napo pia wapi!!bila bila!!Leo nimeulizia gunia la mahindi,bati,simenti na sukari nikasema Hadi januari lazima mchutame tu hakuna Namna nyeti zitaonekana laivu bila chenga!!

Sasa wewe ni Mwanasiasa mlamba asali!inatosha Sasa fanya hima uokoe kichwa!


Punguza mishahara ya wanasiasa wapate angalau robo ya wanachopata Sasa hivi,ondoa posho zote !mikopo yote ya wanasiasa na walipe kodi rasmi ya huo mshahara maana siasa ndio kichaka cha fedha nyingi NCHI HII!!

Halafu peleka fedha zote KWENYE mafuta na unda squad ya siri kufuatilia wafanyabiashara wanao hujumu Bei washughulikiwe kisawa sawa!!

Pia ondoa walamba asali weka vyuma haswa Ili kusimamia uchumi!Ondoa Mwigulu aende akachore mawe huko,ondoa makamba aende beach huko akavinjari,Ondoa na nape akabangue korosho huko!!

Weka watu wanaotema cheche wenye kueleweka kwenye wizara za Fedha,habari na nishati!!

Rudisha H.pole pole kwenye nafasi yake aondoe wahuni Halafu omba msamaha kwa kukopa hovyo bila tija maana hiyo mikopo haijamsaidia mwananchi!!


Piga u-turn ya kufa mtu!uje unishukuru Baadae humu humu jf!!

Pia jitahidi umrudishe Warioba kwenye KAZI yake huyo mkandala Mwambie arudi Udsm akafundishe hapo hapamfai!!!

Nimemaliza!

Ni mimi mzalendo!!
Eti haikwepe laana ya Jpm!
Huyo jpm ndio muanzilishi wa hili Taifa au
 
Hakuna kiongozi mwenye ubavu wa kupunguza mshahara wa wanasiasa hili ni kundi lisilogusika na akifanya hivyo hata 2025 hatafika ataishia njiani Tu.
Mwenyewe Samia anajua Hilo Kwa Leo akate mshahara wa mbunge itakuwa taabu sana kwenye kupitisha budget na wanaweza kupiga Kura ya kutokuwa na Imani na raisi na akang'oka kesho asubuhi......

Tanzania hakuna raisi mwenye ubavu wa kupunguza salary za wanasiasa ndiyo maana watu wenye Akili timamu wanaidai katiba mpya usiku na mchana
Oya

Mi naweza na hawatonifanya kitu!!!

Mbona KWA JPM waliufyata wote wakaimba mapambio!!?

Na Mimi wataniimbia tena watasema naupiga Mwingi kama pele na huku nimeshusha mishahara yao!!
 
Niseme wazi tu huyu mama Ana washauri masnitch Sana yaan wanamwaribia snaa alafu mpaka saiz hajagundua kitu.
Nahisi Kuna mpango makakati wa Siri wa kumtoa huyo mama kiakili Sana hapo magogoni na kwa mwendo huu lazima atoke.
Watu walimwamini Sana walipata Tumaini kubwa Sana Ila kinachoendelea ni Bora angekwepo magu mtu wa jeshi la mtu mmoja.
Virusi wa mama ni Hawa na asiposhtuka itakula kwake.

Mwigulu
Makamba
Ridhiwani
Nape
Mama chunga Sana Hawa watu maana wayafanyayo sirini ni yakutisha snaa.
 
Ni ushauri wangu wa Mwisho kukupa hutaki unaacha!


Mmekopa kushusha bei ya mafuta Ili bidhaa zishuke lakini wapi!

Mmemnanga marehemu Sana lakini wapi,

Mmetoa ahadi za uongo Napo pia wapi!!bila bila!!Leo nimeulizia gunia la mahindi,bati,simenti na sukari nikasema Hadi januari lazima mchutame tu hakuna Namna nyeti zitaonekana laivu bila chenga!!

Sasa wewe ni Mwanasiasa mlamba asali!inatosha Sasa fanya hima uokoe kichwa!


Punguza mishahara ya wanasiasa wapate angalau robo ya wanachopata Sasa hivi,ondoa posho zote !mikopo yote ya wanasiasa na walipe kodi rasmi ya huo mshahara maana siasa ndio kichaka cha fedha nyingi NCHI HII!!

Halafu peleka fedha zote KWENYE mafuta na unda squad ya siri kufuatilia wafanyabiashara wanao hujumu Bei washughulikiwe kisawa sawa!!

Pia ondoa walamba asali weka vyuma haswa Ili kusimamia uchumi!Ondoa Mwigulu aende akachore mawe huko,ondoa makamba aende beach huko akavinjari,Ondoa na nape akabangue korosho huko!!

Weka watu wanaotema cheche wenye kueleweka kwenye wizara za Fedha,habari na nishati!!

Rudisha H.pole pole kwenye nafasi yake aondoe wahuni Halafu omba msamaha kwa kukopa hovyo bila tija maana hiyo mikopo haijamsaidia mwananchi!!


Piga u-turn ya kufa mtu!uje unishukuru Baadae humu humu jf!!

Pia jitahidi umrudishe Warioba kwenye KAZI yake huyo mkandala Mwambie arudi Udsm akafundishe hapo hapamfai!!!

Nimemaliza!

Ni mimi mzalendo!!
Mkumbushe aiweke wazi Ile Ripoti ya nini kilikuwamo Kwa KIBUBU wakati anakabidhiwa urithi wa family.

Maybe tutajua njia za kudeal na MIKOPO isokuwa na kikomo.
 
Back
Top Bottom