JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Nimeona taarifa kwamba unataka uwapange wamachinga. Ni kitu kizuri Sana na kinatakiwa kiungwe mkono na kila mtu.
Ushauri wangu; Usitumie maneno ya mitandao kufanya Jambo hili. Tumia mda wako wote kutafuta ushauri wa wamachinga kwanza. Huku kwenye mitandao utapotoshwa.
Kuna watu Wana hasira na wamachinga kisa tu wako mbele ya maduka yao na wengine wanachonganishi zidi ya wamachinga na serikali ya CCM. Wengine ni chuki zidi ya machinga wa Hayati JPM.
Faida za hao machinga ni nyingi mno. Na hapa nataja chache.
1. Serikali iendelee kutafuta njia rahisi ya kukusanya kodi kutoka kwao.
2. Hawa wanasogeza huduma karibu na mtumiaji na hivyo kufanya mzunguko wa biashara kuwa mkubwa.
3. Hawa wanapunguza vibaka mtaani. Pigia msitari hili kisha fanya uchunguzi. Asilimia kubwa ya Hawa watu Wana kipato kidogo, wako tayari kuiba ama kufa wakitafuta kipato. Jua lao mvua yao. Bila hii Kazi Hawa Ndio mateja na vibaka mtaani.
4. Wanaondoa misongo ya mawazo na huzuni kwenye maisha yao.
Chonde chonde usikurupuke. Utatujazia vibaka mtaani.
Ushauri wangu; Usitumie maneno ya mitandao kufanya Jambo hili. Tumia mda wako wote kutafuta ushauri wa wamachinga kwanza. Huku kwenye mitandao utapotoshwa.
Kuna watu Wana hasira na wamachinga kisa tu wako mbele ya maduka yao na wengine wanachonganishi zidi ya wamachinga na serikali ya CCM. Wengine ni chuki zidi ya machinga wa Hayati JPM.
Faida za hao machinga ni nyingi mno. Na hapa nataja chache.
1. Serikali iendelee kutafuta njia rahisi ya kukusanya kodi kutoka kwao.
2. Hawa wanasogeza huduma karibu na mtumiaji na hivyo kufanya mzunguko wa biashara kuwa mkubwa.
3. Hawa wanapunguza vibaka mtaani. Pigia msitari hili kisha fanya uchunguzi. Asilimia kubwa ya Hawa watu Wana kipato kidogo, wako tayari kuiba ama kufa wakitafuta kipato. Jua lao mvua yao. Bila hii Kazi Hawa Ndio mateja na vibaka mtaani.
4. Wanaondoa misongo ya mawazo na huzuni kwenye maisha yao.
Chonde chonde usikurupuke. Utatujazia vibaka mtaani.