Ushauri kwa Sabaya: Acha! Huko unakokwenda siko

Namm nmeliona hil..... Jamaa amekosea sana .

Ni bora angeendelea kulibeba yeye ivoivo , kuna kitu kingefanywa kwaajili yake na Mamlaka.


Hiii ya kuchomesha, Mwendazake, ni mbayaa .
 
Nafkri hujasoma vizr maelezo ya Sabsaya.
 
Namm nmeliona hil..... Jamaa amekosea sana .

Ni bora angeendelea kulibeba yeye ivoivo , kuna kitu kingefanywa kwaajili yake na Mamlaka.


Hiii ya kuchomesha, Mwendazake, ni mbayaa .
Hays ungekuwa ni we we lazma kunasrhemu Magufuli au zMpango utamtaja kulingana na na maswali
 
Amekwepa kumtaja Samia, Siro pengine hili litamwokoa.
 
Muongo sana sabaya:
Kuna kipindi wakuu wa wilaya na mikoa utasikia “tunaunga juhudi za raisi” kwa hiyo raisi akiongea jambo hata kwa hasira kwenye mikutano nao watekeleza bila kuwa na maagizo.
Mnakumbuka sana hilo neno
 
Nachojua hakuna alipopigiwa simu kuagizwa hayo, isipokua majina aliyotaja kamwe haya wezi kusimama mahakamani kutoa ushahidi so anahisi atachomokea hapo
atachomokaje kwamba walimtuma kuvunja Sheria , viongozi wanamruka tu hapo.
 
Muwe mnasoma vizuri! Hakuna mahala Sabaya kasema alitumwa akanyang'anye mtu hela na hizo issue hazijui
 
Alitajwa Mkapa na kizimbani akapanda sembuse ao
 
Nimefurahi sana Mpango na Luoga kutajwa , waje wajitetee tuone , tulionya kuhusu uteuzi wa Dr Mpango kuwa Makamu wa Rais , hii ni kwa sababu huyu alihusika na uporaji wote wa fedha za watu kuanzia kwenye akaunti zao hadi Bureu De Change
Moango na Luoga hawakutoa maagizo kwa Sabaya ila walisimamia mission ya ukamataji wa mitambo ya kuchapisha not bandia eneo la chanika, kuwataja wale ilikuwa ni kuondoa ukakasi kama mahakama inatilia shakha utetezi wake kuwa alikuwa anaenda kufanya kazi mpaka nje ya wilaya yake lakini zilikuwa kazi maalumq
 
Inshort Sabaya anaidhalilisha ofisi ya rais kwa kuitangazia dunia kuwa rais husika alikua anamtuma kufanya ujambazi.

Hapa mamlaka za utezi inachakujifunza.
Msimlidhe maneno hakuna sehem sabaya kasema alitumwa akafanye ujambazi na hakuna sehemu kakiri kuwa alimnyang'anya mtu pesa au alitumwa akachukue pesa.
 
Msimlidhe maneno hakuna sehem sabaya kasema alitumwa akafanye ujambazi na hakuna sehemu kakiri kuwa alimnyang'anya mtu pesa au alitumwa akachukue pesa.
Sabaya yuko mbele ya mahakama kwa tuhuma za ujambazi, kusema alienda eneo la tukio kwa maagizoa ya Magufuli ni wazi amekiri kuwa Magufuli ndiyo mshirika wake mkuu wa ujambazi huu.

Ofisi ya rais inapakwa mavi mahakamani.
 
Anakula matunda yakazi za kimono yake,hivyo yafaa aifurahie na sii kuchukia .
 
kashakwama tiss mwezako hewa, hata haya hana, amemwiga balozi mwezake profesa alikua na NYARAKA kamili zikionyesha mkapa aliaamuru anunue jengo hewa la ubalozi wetu italia
Yeye sijui anazo kama alipigiwa simu na akina mpango basi recycle bin zipo, kwasababu nilazima hawa wafike Court aliowataja
 
Sabaya mpumbavu sana. Tuseme kwa mfano angeambiwa akaue kama hajaua bado. Angeenda?? Na lisingekuwa Kosa kisheria????
 
Huo ni ujumbe ni kama onyo na tahadhari kwa Sabaya ...mtazamo wangu lakini.ila awe makini na maudhi ya hapana pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…