Ushauri kwa Sabaya: Acha! Huko unakokwenda siko

Ushauri kwa Sabaya: Acha! Huko unakokwenda siko

Tunaomba waliotajwa na sambaya wasimamishwe kazi mara moja na wao wapishe uchunguzi ufanyike dhidi yao na Mali za marehemu zote pia zifanyiwe uchunguzi ili tujue Kama zilipatikana kihalali
 
Sabaya hana adabu yeye kumtaja Marehemu ,makamu wa rais na wengine inaonyesha hakuwa na anajua kazi yake.Kwanza ni amekiri kosa ila alipewa maagizo sasa ungovernable unyee debe
 
Kijana Sabaya hayo unayoropoka mahakamani hayana faida kwako wala kwa hao unaowataja.

Kama bosi wako alikua anakutuma kufanya ujambazi na wewe ukadhani unayo kinga kama yeye basi huo ulikua ni upumbavu wako.

Ulipaswa kutekeleza majukumu hayo kwa akili ja weledi wa hali ya juu bila kujiweka matatizoni.

Kwenye umafia kuna kitu kinaitwa 'tying loose ends'. Hao unaowataja taja mahakamani kuwa walikua wanakutuma kwenye uhalifu wako hawawezi kulifurahia kupakwa tope la ujambazi wako.

They will be forced to tie loose ends, which is you and your little gang of stooges. Be a pro, take a fall for the team and go quietly, your bosses might remember you after a while and rescue you.
Pagumu hapo Mkuu..natanguliza tu pole kwa Ole
 
Kijana Sabaya hayo unayoropoka mahakamani hayana faida kwako wala kwa hao unaowataja.

Kama bosi wako alikua anakutuma kufanya ujambazi na wewe ukadhani unayo kinga kama yeye basi huo ulikua ni upumbavu wako.

Ulipaswa kutekeleza majukumu hayo kwa akili ja weledi wa hali ya juu bila kujiweka matatizoni.

Kwenye umafia kuna kitu kinaitwa 'tying loose ends'. Hao unaowataja taja mahakamani kuwa walikua wanakutuma kwenye uhalifu wako hawawezi kulifurahia kupakwa tope la ujambazi wako.

They will be forced to tie loose ends, which is you and your little gang of stooges. Be a pro, take a fall for the team and go quietly, your bosses might remember you after a while and rescue you.
Sabaya wataje wote hata na walio shiriki kuongeza tozo wewe taja tu hauna namna kufa na wote.
 
Mimi niliyewahi kufanya kazi ya umafia ni kosa ambalo halisameheki kumtaja bosi wako. Inatakiwa upambane mwenyewe na kukiri ni wewe tu hujui zaidi, halafu mabosi zako ndo wanafanya umafia wa kukuokoa
Navojua maboss huwa wameshaku alert na kukupa signals mapema. Sijui kwa hili kama hilo lilifanyika
 
Kijana Sabaya hayo unayoropoka mahakamani hayana faida kwako wala kwa hao unaowataja.

Kama bosi wako alikua anakutuma kufanya ujambazi na wewe ukadhani unayo kinga kama yeye basi huo ulikua ni upumbavu wako.

Ulipaswa kutekeleza majukumu hayo kwa akili ja weledi wa hali ya juu bila kujiweka matatizoni.

Kwenye umafia kuna kitu kinaitwa 'tying loose ends'. Hao unaowataja taja mahakamani kuwa walikua wanakutuma kwenye uhalifu wako hawawezi kulifurahia kupakwa tope la ujambazi wako.

They will be forced to tie loose ends, which is you and your little gang of stooges. Be a pro, take a fall for the team and go quietly, your bosses might remember you after a while and rescue you.
Walimtuma akawa anaingia kichwa kichwa. Upumbavu wake alidhani Magufuli ataishi milele.
 
watamuuliza where is the evidence ya kutumwa huko. maana mtu akikutuma kwa simu ni rahis sana ku kana maana hakuna physical evidence itakayodhibitha hivyo
Hivi maongezi ya simu huwa siyo traceable?
Hiv dogo aliwezaje kufanya umafia mkubwa mkubwa hivo mpaka nje ya wilaya yake na mpaka nje ya mkoa wake bila approval?
 
Hata kama alipewa maelekezo kuna terms of reference anaweza thibitisha hizooo.
Je aliambiwa ateke apige achukue fedha na alizikabidhi wapi!? Nje ya hii kesi je kula Na kulala kwenye ma hotel alazimishe mapenzi na wasichana wa vyuo etc. Avamie hotel alipofikia . Alichoweza kutambulisha ni uwepo wa kundi la kihalifu ambalo Rais wa Sasa hakulijua intarahamwe wa Shetani Magufuli.
Nnaposema Magufuli alikua shetani muelewe.
Mama Samia unda task force wengi waliumizwa na shetani mwendazake Magufuli. Makonda come here.
 
Huyo Magufuli unayemtaja kwa Sasa haitakusaidia Kitu kwa sababu ameshakufa,Hivyo pia na ushahidi wako Ni ushahidi mfu(uliokufa).Angekuwa hai angekusaidia (1)Kama yule rais mstaafu wa nchi yetu alivyomsaidia yule boss wa customs aliyekuwa na case ya kuitumia madaraka ya ofisi yake vibaya na kuachia mizigo yote iliyokuwa inatoka nje ya nchi kwa vimemo kutoka juu bila kutoza customs duty(IKAWA inatoka bandarini free of charge).Jamaa alijenga zaidi ya nyumba 70 sehemu moja Hapa Hapa DSM(alijenga Kijiji actualy) na alipotoa hivyo vimemo mahakamani,Mahakama ilimfutia case kwa kigezo ati Mkurugenzi wa mashitaka Hana Tena Nia ya kuendelea na Hiyo case.(2)Au yule Prof aliyekuwa balozi Italy enzi za Rais Marehemu Mkapa.Huyu Prof alikuwa na case ya uhujumu uchumi ya kununua jengo la ubalozi kwa sh zaidi ya bil 2(pesa ya ki-Tanzania) wakati market value ya Hilo jengo ilikwa around t shs mil 700 TU.Huyu jamaa naye alifutiwa case baada Mzee mkapa kusema Huyu Prof asisumbuliwe,nilimtuma mimi(na IKAWA hivyo) baada ya Mkurugenzi wa mashtaka kusema Hana Nia ya kuendelea na Hiyo case.Prof aliachiwa huru.
Sasa Wewe SABAYA huna hata ki-memo kimoja ulichohifadhi Wala Huyo unayemtaja hayupo hai Tena,Utaponea tundu gani ?
 
Tatizo siyo Sabaya, tatizo ni aliyefikiria ni busara kumfikisha Sabaya kwa Pilato! Yaani ktk ujuha na ushamba mkubwa wa serikali ya awamu ya 6, ni hiki kituko cha kufikisha kesi ya Sabaya kortini na kusikilizwa kwa dizaini hii. Kwani Sabaya angeondolewa uDC na kusahauliwa kimya kimya serikali ingepungukiwa nini?? Katika makosa ya amateurism inayoendelea, hii makitu ina chukua keki, sasa haya mengine ni matokeo! Na bado...

Uko sahihi mkuu, sasa tukiweka kando hayo makosa waliyofanya waliomfikisha mahakamani, yeye alitakiwa awe smart kidogo.

Unataka kuniambia hakuwa na namna nyingine ya kufikisha hizi hoja zake kwa namna nyingine ili mambo yaende chini chini?

Hadi kuna wakati najiuliza au ni movie ilipangwa ila director amepotea kabla picha halijaisha?
 
Hivi maongezi ya simu huwa siyo traceable?
Hiv dogo aliwezaje kufanya umafia mkubwa mkubwa hivo mpaka nje ya wilaya yake na mpaka nje ya mkoa wake bila approval?
problem is hoa unawataja ni top officials. before voice records hazija kuwa presented watapewa taarifa kwanza.
guess what will happen?
 
JamiiForums-829252439.jpg
 
Tatizo siyo Sabaya, tatizo ni aliyefikiria ni busara kumfikisha Sabaya kwa Pilato! Yaani ktk ujuha na ushamba mkubwa wa serikali ya awamu ya 6, ni hiki kituko cha kufikisha kesi ya Sabaya kortini na kusikilizwa kwa dizaini hii. Kwani Sabaya angeondolewa uDC na kusahauliwa kimya kimya serikali ingepungukiwa nini?? Katika makosa ya amateurism inayoendelea, hii makitu ina chukua keki, sasa haya mengine ni matokeo! Na bado...
he broke the law.. kuondolewa cheo haitoshi. lazima akawajibike kwa matendo yake
 
Back
Top Bottom