Ushauri kwa Sabaya: Acha! Huko unakokwenda siko

Ushauri kwa Sabaya: Acha! Huko unakokwenda siko

Order from the above.....
hiyo sio defence wafatilie NAZI Nurambeg Trials askari wa Hitler walivyokutwa na hatia na hatimae kunyongwa.......
... sasa hivi naona mna-cite cases hadi za tangu enzi Nazi au sio? Tanzania si dola huru na ina sheria na mahakama zake yenyewe? Kesi za Nazi na Tanzania wapi na wapi? At least the Commonwealth could make sense if it would have been in your (CCM) favor but non-sense otherwise!
 
Kijana Sabaya hayo unayoropoka mahakamani hayana faida kwako wala kwa hao unaowataja.

Kama bosi wako alikua anakutuma kufanya ujambazi na wewe ukadhani unayo kinga kama yeye basi huo ulikua ni upumbavu wako.

Ulipaswa kutekeleza majukumu hayo kwa akili ja weledi wa hali ya juu bila kujiweka matatizoni.

Kwenye umafia kuna kitu kinaitwa 'tying loose ends'. Hao unaowataja taja mahakamani kuwa walikua wanakutuma kwenye uhalifu wako hawawezi kulifurahia kupakwa tope la ujambazi wako.

They will be forced to tie loose ends, which is you and your little gang of stooges. Be a pro, take a fall for the team and go quietly, your bosses might remember you after a while and rescue you.
unacho kiandika hasingeweza kukifanya.....usidhani ni rahisi kama kwenye makampuni makubwa
 
Kwa lugha nyingine anamaanisha alifanya lakini si kwa utashi wala amri yake...

Kwamba yupo guilty lakini bila kukusudia
... more precisely; anamaanisha yeye ni mbuzi wa kafara tu maana alikuwa anatumwa na amiri jeshi Mkuu mwenye majeshi na zana zote. Kuna tofauti gani na utawala wa Idd Amin? Amin angekutuma kweli ukatae? Huwezi kuwa hata na wazo hilo.
 
Kijana Sabaya hayo unayoropoka mahakamani hayana faida kwako wala kwa hao unaowataja.

Kama bosi wako alikua anakutuma kufanya ujambazi na wewe ukadhani unayo kinga kama yeye basi huo ulikua ni upumbavu wako.

Ulipaswa kutekeleza majukumu hayo kwa akili ja weledi wa hali ya juu bila kujiweka matatizoni.

Kwenye umafia kuna kitu kinaitwa 'tying loose ends'. Hao unaowataja taja mahakamani kuwa walikua wanakutuma kwenye uhalifu wako hawawezi kulifurahia kupakwa tope la ujambazi wako.

They will be forced to tie loose ends, which is you and your little gang of stooges. Be a pro, take a fall for the team and go quietly, your bosses might remember you after a while and rescue you.

The best advice he can use, but trust me, hajui kidhungu, andika Swahili version!
 
Issue ni kwamba anawachafua tu lakini nina uhakika hana credible and reliable evidence kwasababu hata kama ni kweli basi alikuwa anapigiwa tu simu na kupewa maelekezo naye akawa anaingia mzima mzima, atulize tu mshono afe kiume. Hizo mambo za kuanza kutaja majina makubwa haiwezi kuwa kinga kwake na sio sababu ya yeye kutenda makosa ya wazi. Ina maana wangemwambia ainame na chupi mkononi angeinama?
Hata sauti za simu ni ushahidi. Acheni kujifanya wenye akili kuliko watu wengine. Someni pia utetezi wa sabaya vizuri.
 
Kijana Sabaya hayo unayoropoka mahakamani hayana faida kwako wala kwa hao unaowataja.

Kama bosi wako alikua anakutuma kufanya ujambazi na wewe ukadhani unayo kinga kama yeye basi huo ulikua ni upumbavu wako.

Ulipaswa kutekeleza majukumu hayo kwa akili ja weledi wa hali ya juu bila kujiweka matatizoni.

Kwenye umafia kuna kitu kinaitwa 'tying loose ends'. Hao unaowataja taja mahakamani kuwa walikua wanakutuma kwenye uhalifu wako hawawezi kulifurahia kupakwa tope la ujambazi wako.

They will be forced to tie loose ends, which is you and your little gang of stooges. Be a pro, take a fall for the team and go quietly, your bosses might remember you after a while and rescue you.
Kuna wajinga wanamsifia eti ameongea kiume. Mimi nasema pia ameharibu hatari. Huwezi kutumwa ukatende uharifu ,kwenye sheria ikikubana ukategemea kinga ya hao. Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe
 
Maelezo hayo yanatokana na swali la kwanini alikuwepo Arusha na sio Hai kwenye eneo la mamlaka yake.
Do not capture partially.
 
Very simple common sense. Hata kama kweli alitumwa au kuagizwa kama anavyodai, kuropoka na kutaja watu namna ile itamgharim, watu wanaweza kuamua apotelee mbali kuliko kusubiria surprise zingine.
 
Hata kwa ushahidi ule wa mashahidi wa Jamhuri inaonekana kabisa alikuwa kwenye operation ya kawaida tu. Hakuna cha ajabu. Watu wengi wanachukulia hio kesi emotionally.
 
Mawakili wake wanamponza, hawezi kudhulumu wenye haki,Jina lake la ukoo linamponza akitotoboa ni miujiza.,..
 
Hakuna mahali Sabaya amesema ametumwa kupiga wala kutumia silaha kunyang'anya. Yeye amewataja waliomtuma operation. Acheni hisia ambazo hazisaidii.
 
Kwenye umafia kuna kitu kinaitwa 'tying loose ends'. Hao unaowataja taja mahakamani kuwa walikua wanakutuma kwenye uhalifu wako hawawezi kulifurahia kupakwa tope la ujambazi wako.
Mbona mnaingilia uhuru wa mahakama kushughulikia kesi na uhuru wa mtuhumiwa kujitetea!?
====
Hii wapi dhana ya kuhubiri uhuru wa vyombo vya kutoa maamuzi ikiwemo mahakama?
Mnaangukia padogo sana!
 
Back
Top Bottom