Kweli kabisa ukimwambia mtu akutajie mashamba 3 tuu ambayo mfanyakazi wake kawaida naweza kulipwa hata 500K kwa mwezi akapewa na nyumba tuu mtihani. Lakini ulaya yapo.na ni kwa sababu wameboresha mfumo wao wa kilimo.Lazima tubuni njia zaidi za kusaidia watu waajiriwa wengi na sio kugawa kidogo tunachopata,sio sahihi kumpa huyu na kumpora mwingine
PointHii haina tija. Unawaajiri watu ná kuwapa training yenye gharama kubwa katika utendaji wa kazi zao za kila siku. Baada ya miaka mitatu wakati tayari wana experience ya kutosha katika utendaji wa kazi zao unawaondoa na kuwaleta wapya ambao hawajui chochote na zoezi la kutoa training upya linaanza tena!!!. Kuna wizi, ufisadi na ubadhirifu mkubwa sana Serikalini kama mianya hii ikiondolewa basi Serikali inaweza ikatoa ajira nyingine kati ya laki 5 mpaka milioni bila matatizo yoyote yale.
RAISI AJAE
kibongo mmkuna wazee nawafahaku walisha staff lakin wameajiriwa tena kwa mkataba kisa wanauzoefu.sasa iyo abae hafai atolewe atalogwa mtu. iwekwe limit tu ya muda miaka 45 serikalin unaachia vijana ww tunaasume unapesa za kutosha za kujiendelezaa acha aingie kijana fresh kutoka chuo aroung 25 years afanye kazi miaka 20 nae astafuu aachie mwingine hii itaokoa jahazi kwa asilimia nzur tu.Why the limit?!?
Binafsi nadhani, if possible ajira ilingane na output.
Kama uko ofisini for more than 5 years iwe na maana mchango wako ni dhahabu, even at the retirement age uwe na faida sio tu ilimradi uliwahi kuhudumu serikalini.
Otherwise even in two years of your service to the nation ukionekana huna msaada kitaifa utolewe tu!
Wakati tunaendelea kutafuta njia nyingine zaidi za kusaidia watu kuajiriwa lazima tuhakikishe hiki kidogo kilichopo kinaliwa na watu wengi zaidi wasio nacho kabisa.Lazima tubuni njia zaidi za kusaidia watu waajiriwa wengi na sio kugawa kidogo tunachopata,sio sahihi kumpa huyu na kumpora mwingine
Kila mwaka wanavyuo wengi wana graduate na kurundikana mtaani bila ajira huku wakihangaika kutafuta ajira bila mafanikio. Serikali kama mdau wa ajira nchini inapaswa kuja na wazo la ajira za mkataba kama ifuatavyo;-
1.Kwenye utumishi wa umma:
Mfumo wa ajira za maisha uondolewe yaani nesi, daktari, mwalimu n.k badala ya ajira zao kuwa za maisha ziwe za mkataba wa miaka mitano hadi kumi tena wakilipwa mishahara minono ili mkataba unapoisha mtumishi akajiajiri ili kuendeleza maisha yake! Hii itasaidia serikali kuajiri watumishi wapya wanaotafuta ajira kila siku na kupunguza uhaba wa ajira nchini!
2.Kwenye siasa:
Serikali itunge sheria itakayosimamia vyama vya siasa kutorudia kuteua majina yale yale kwenye uchaguzi mkuu wa wabunge na madiwani kila baada ya miaka mitano. Kuwe na ukomo wa utumishi wa kisiasa kwa miaka mitano mitano ili kuwapa nafasi wengine wenye sifa na vigezo vya kielimu vikichukuliwa kama sifa kuu mojawapo ya uteuzi. Angalau Shahada ya kwanza kwa ubunge na Astashahada kwa udiwani. Hii itatoa fursa kwa wengi kupitishwa na vyama vya siasa kwenye uchaguzi na kusaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.
Nawakaribisha kwa mjadala huru na mwenye mawazo mbadala aongezee.
MNHHHHH ugumu wa kijana aliyemaliza chuo kufanya biashara ni upi? Na urahisi wa mtu aliyekua ofisini kufanya biashara ikasimama ni upi?? Toa evidence tukuelewe maanake ni kama unasema watanzania wote tuingie kwenye ujasiriamali jambo ambalo ni ngumu haliko practical,,,,Uwezekano wa kufilisika mtu ambaye amefanya kazi miaka 5 au 10 ni mdogo kuliko kijana aliyemaliza chuo tu akapewa mtaji afanye biashara. Ninachosema ni huyo kijana na yeye pia atapata fursa ya kujiandaa na kujiweka sawa miaka 5 au 10 aweze kukabiliana na mazingira ya sekta binafsi.
Acha ubinafsi ndege John
Njoo na mbadala wa mada!!jukwaa huru hili!!!Acha ubinafsi ndege John
kufanya allocation ya resources huwez kuescape bias lakin huwa serikali zinajaribu kupunguza tu. mfano ni pesa za mikopo kwa vijana zinazo kuja wilayani ni kwa vijana lakin sio kila kijana lengu kuu za fedha izo ni kwa jili ya wanafunzi au watu wenye creteria fulan sema inafichwa ndo maana vijana wengine hulalamika wanazungushwa sanaaWakati tunaendelea kutafuta njia nyingine zaidi za kusaidia watu kuajiriwa lazima tuhakikishe hiki kidogo kilichopo kinaliwa na watu wengi zaidi wasio nacho kabisa.
Hakuna mtu anayeporwa chochote, mishahara ya watumishi nchi hii inalipwa kwa kodi na rasilimali ambazo ni za wananchi wote.
Kuna tatizo gani wakati tunasubiri keki kuwa kubwa zaidi ili kuwatosha wote hii keki ndogo iliyopo kwa sasa kuhakikisha inaliwa na wengi zaidi ambao nao wanachangia pakubwa keki hii ndogo kuwa mezani?!
Ni mziki balaa nipo kazin kuna watu wana miaka 15 kazin wengine 7 mimi nina 5 lakini naona utofauti mkubwa sana. Wenye experince kubwa wana vingi sana wanajua sio wote ila kwa kiasi kikubwa wanaijua vjzuri organization.Ivi mnajua gharama za kurecruit after every 5years?
Mnhhhhh yaani uwe na waajiriwa uwaongeze mshahara kisha uwaachishe kazi ndio mmeona solution la ukosefu wa ajira??? Huo ujasiria Mali mnaotaka wengine wafanye kwa nini msiufanye nyie fresh graduates kwa kutumia hela hio hio mliyotaka kuongeza mishahara?Wakati tunaendelea kutafuta njia nyingine zaidi za kusaidia watu kuajiriwa lazima tuhakikishe hiki kidogo kilichopo kinaliwa na watu wengi zaidi wasio nacho kabisa.
Hakuna mtu anayeporwa chochote, mishahara ya watumishi nchi hii inalipwa kwa kodi na rasilimali ambazo ni za wananchi wote.
Kuna tatizo gani wakati tunasubiri keki kuwa kubwa zaidi ili kuwatosha wote hii keki ndogo iliyopo kwa sasa kuhakikisha inaliwa na wengi zaidi ambao nao wanachangia pakubwa keki hii ndogo kuwa mezani?!
Sio lazima Watanzania wote waingie kwenye kilimo, mkataba wako serikalini ukiisha kama huwezi kufanya biashara, kuvua, kulima, kufuga,kujenga nyumba ya kupangisha n.k nenda katafute kazi kama muajiriwa tena sekta binafsi, ila pisha wengine baada ya miaka yako 10.MNHHHHH ugumu wa kijana aliyemaliza chuo kufanya biashara ni upi? Na urahisi wa mtu aliyekua ofisini kufanya biashara ikasimama ni upi?? Toa evidence tukuelewe maanake ni kama unasema watanzania wote tuingie kwenye ujasiriamali jambo ambalo ni ngumu haliko practical,,,,
Fedha za mikopo wilayani ni siasa tu za chama tawala.kufanya allocation ya resources huwez kuescape bias lakin huwa serikali zinajaribu kupunguza tu. mfano ni pesa za mikopo kwa vijana zinazo kuja wilayani ni kwa vijana lakin sio kila kijana lengu kuu za fedha izo ni kwa jili ya wanafunzi au watu wenye creteria fulan sema inafichwa ndo maana vijana wengine hulalamika wanazungushwa sanaa
kwani hivyo vitu ulivyovitaja graduates hawawezi kufanya????..Sio lazima Watanzania wote waingie kwenye kilimo, mkataba wako serikalini ukiisha kama huwezi kufanya biashara, kuvua, kulima, kufuga,kujenga nyumba ya kupangisha n.k nenda katafute kazi kama muajiriwa tena sekta binafsi, ila pisha wengine baada ya miaka yako 10.
Kama wangekuwa wanaweza kungekuwa na tatizo kubwa la ajira kama lilipo sasa??kwani hivyo vitu ulivyovitaja graduates hawawezi kufanya????..
Kwa hio unaona hawawezi?! Khaaaaa halafu ndio hao hao unawatagemea wawe margically transformed baada ya miaka mitano ofisini waweze biashara,, yeah right!Kama wangekuwa wanaweza kungekuwa na tatizo kubwa la ajira kama lilipo sasa??
ku allocate resources ni ngum ndo maana tuna tumia makaratasi mbadala wa goldFedha za mikopo wilayani ni siasa tu za chama tawala.
Una akili wewe maiti?
serikali kwa ujumla ina wafanyakazi laki 3 tu
wananchi waliobakia milioni 60 wameajiriwa na sekta binafsi
halafu unatutanulia matako hapa?
yaani unachoongea wewe ni jinsi ya wananchi kubadilishana hivyo viajira laki tatu leo apate huyu kesho afukuzwe apewe mpumbavu mwingine yule wa mwanzo awe jobless kwa rotation?
hiyo ni akili au mapumba kama yalivyo kichwani mwako?
badala uongelee jinsi ya kuongeza hivyo viajira laki 3 vya serikali viwe milioni 30 nusu ya nchi nzima wapate ajira za kudumu wewe unaongelea upumbavu wa kugawana muda wa kufanyia kazi viajira hivyo hivyo laki 3 kwa awamu?
shule mlienda kuuza matako?
Wafanyakazi wengine sekta binafsi wanafanya kazi za mikataba, hata serikalini inawezekana kwa mikataba na kuweka ukomo. Hakuna haja ya kutokwa na povu watu wengi zaidi kutaka kushiriki kasungura kadogo walichowinda wakati wanasubiri nyati afike mezani.Una akili wewe maiti?
serikali kwa ujumla ina wafanyakazi laki 3 tu
wananchi waliobakia milioni 60 wameajiriwa na sekta binafsi
halafu unatutanulia matako hapa?
yaani unachoongea wewe ni jinsi ya wananchi kubadilishana hivyo viajira laki tatu leo apate huyu kesho afukuzwe apewe mpumbavu mwingine yule wa mwanzo awe jobless kwa rotation?
hiyo ni akili au mapumba kama yalivyo kichwani mwako?
badala uongelee jinsi ya kuongeza hivyo viajira laki 3 vya serikali viwe milioni 30 nusu ya nchi nzima wapate ajira za kudumu wewe unaongelea upumbavu wa kugawana muda wa kufanyia kazi viajira hivyo hivyo laki 3 kwa awamu?
shule mlienda kuuza matako?