Ushauri kwa Simba wapige stop habari zao kwa Clouds

Ushauri kwa Simba wapige stop habari zao kwa Clouds

chongoe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,183
Reaction score
2,871
Nawaomba uongozi wa simba waipige stop kuzungumzia simba kwa njia yoyote ile sababu ukiona simba inazumziwa sana clouds basi tambua kuna jambo baya hapo kwenye mema wala watazungumza hata dakika moja haishi, kwa sababu hiyo nawaomba iwazuie clouds kuizungumzia kama ilivyokuwa radio one miaka ile mpaka akili iwakae sawa nawasilisha.
 
Mbumbumbu fc watazichukia redio zote kwakua wanachukia kuambiwa ukweli, wao wanataka kuongopewa Kila siku.
 
Simba wanajitakianyote hayo, kwa level waliyofikia Simba habari zao tungekuwa tunapata kupitia website yao Twitter na Instagram lakini ukiondoa Twitter na Instagram website yao haiko updated na wanatumia muda mwingi kuongea na waandishi wanaotafuta umaarufu kupitia Simba.
Wawapige marufuku wachezaji wao na viongozi kufanya mahojiano na vyombo vya habari isipokuwa pale inapobidi kama kwenye pre match na after match.
Huwa nashangaa hata Simba inapoenda nje ya nchi kuweka kambi inafatana na waandishi wa vyombo vingine pia hata maxoezini wamekuwa wakiruhusu waandishi bila kujua wengine lengo lao sio zuri.
 
Labda wawazuie waandishi clouds kwe ye press zao na si kuzuia habri

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
ilishawahi kufanyika radio one kitenge alikuwa anafanya haya yanayofanywa sasa hivi na makanjanja wapya yeye ni mzoefu alikuwa mvurugaji na mfitini hadi kina rage wakapiga stop radio one kuzungumzia habari za simba,kwa hali ilipofika kwa sasa inabidi tu ifanyike tena
 
Kusema kweli kila nikisikia habari za Simba clouds zikiongelewa sana huwa ni habari hasi(Negative). Kama kuna habari zozote nzuri,hata sekunde 30 haifiki.

Ningetamani tuwe na umoja dhidi ya clouds.Natamani redio kama EFM isikike huku mikoani kama inavyosikika Clouds.Vinginevyo siku hizi sina interest na vipindi vyao vya sports maana vimejaa ukanjanja mwingi sana
 
Fungueni media house yenu mkuu. Ili msihujumiwe tena🏃‍♂️
 
Mkuu Simba ni klabu kubwa, mahali ilipofika Simba ni pakubwa
Kuna ngulumbili wanaumia.kutokana na mafanikio ya Simba ya ndani na nje ya uwanja.
Simba.haiwezi.kumzuia yoyote kuisifia au kuiponda, maana hiyo ni haki yao.

Ila watambue kuiponda Simba leo hapunguzi.wala kuongeza kitu.
Cha kufanya mashabiki na wapenzi.wote wa.Simba msitoe ushirikiano kwa viredio vya aina hiyo.
 
Kusema kweli kila nikisikia habari za Simba clouds zikiongelewa sana huwa ni habari hasi(Negative). Kama kuna habari zozote nzuri,hata sekunde 30 haifiki.

Ningetamani tuwe na umoja dhidi ya clouds.Natamani redio kama EFM isikike huku mikoani kama inavyosikika Clouds.Vinginevyo siku hizi sina interest na vipindi vyao vya sports maana vimejaa ukanjanja mwingi sana
EFM mwisho ubungo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mi naona dawa ni sisi wenyewe wana simba kuwapuuza hawa waandishi na watangazaji wa habar za michezo uchwara ikiwemo vipindi vyao na radio zao tusipende kuzisikiliza ili akili iawake sawa mkumbuke simba imepata mafanikio sana kwa ukanda wa Africa mashariki na kati hivo sio kila mtu atafurahia mafanikio hayo ndio maana wanaibuka watu kama akina kitenge, clouds na dauda na wengine wengi.
 
ilishawahi kufanyika radio one kitenge alikuwa anafanya haya yanayofanywa sasa hivi na makanjanja wapya yeye ni mzoefu alikuwa mvurugaji na mfitini hadi kina rage wakapiga stop radio one kuzungumzia habari za simba,kwa hali ilipofika kwa sasa inabidi tu ifanyike tena
Na wakikaidi agizo la Simba mtafungua kesi mahakamani au?
 
Chongoe bwana, yaani Clouds wasipotangaza habari za Simba ndio watakoma hadi akili iwakae sawa?
 
Back
Top Bottom