Ushauri kwa Simba wapige stop habari zao kwa Clouds

Ushauri kwa Simba wapige stop habari zao kwa Clouds

unajua kuna siku shaffih dauda alikaa nyumbani kwake kawa bored akatengeneza mechi ya kirafiki kichwani kwake na baada ya hiyo mechi kuisha matokeo yakawa green warriors 2-simba 0
Kuja kuulizwa mechi imechezwa wapi na lini kaanza kujitetea ujinga mbaya zaidi walitangaza kabisa hapo redioni kwao,we unaona hao ni watu wenye akili timamu kweli?au wenye nia njema na simba.?
Yaani redio inatangaza matokeo ya mechi hewa???
Hivi unatuonaje?
 
FUNGIENI REDIO ZOTE...MNALALAMIKA NYIE KAMA PAKA...

NYIE MWATAKA KILA MKIFUNGUA REDIO MSIKIE SIFA...
Wafungue Radio Mo iwe inaimba mapambio yao. Tayari wana audience kubwa ya ma mbumbumbu wa kusikiliza Radio yao.
 
Nawaomba uongozi wa simba waipige stop kuzungumzia simba kwa njia yoyote ile sababu ukiona simba inazumziwa sana clouds basi tambua kuna jambo baya hapo kwenye mema wala watazungumza hata dakika moja haishi, kwa sababu hiyo nawaomba iwazuie clouds kuizungumzia kama ilivyokuwa radio one miaka ile mpaka akili iwakae sawa nawasilisha.
kimetokea nini ?
 
Back
Top Bottom