Uto na mashabiki wake ni aibu kwa taifa.FUNGIENI REDIO ZOTE...MNALALAMIKA NYIE KAMA PAKA...
NYIE MWATAKA KILA MKIFUNGUA REDIO MSIKIE SIFA...
ilishawahi kufanyika radio one kitenge alikuwa anafanya haya yanayofanywa sasa hivi na makanjanja wapya yeye ni mzoefu alikuwa mvurugaji na mfitini hadi kina rage wakapiga stop radio one kuzungumzia habari za simba,kwa hali ilipofika kwa sasa inabidi tu ifanyike tenaLabda wawazuie waandishi clouds kwe ye press zao na si kuzuia habri
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
EFM mwisho ubungoKusema kweli kila nikisikia habari za Simba clouds zikiongelewa sana huwa ni habari hasi(Negative). Kama kuna habari zozote nzuri,hata sekunde 30 haifiki.
Ningetamani tuwe na umoja dhidi ya clouds.Natamani redio kama EFM isikike huku mikoani kama inavyosikika Clouds.Vinginevyo siku hizi sina interest na vipindi vyao vya sports maana vimejaa ukanjanja mwingi sana
Na wakikaidi agizo la Simba mtafungua kesi mahakamani au?ilishawahi kufanyika radio one kitenge alikuwa anafanya haya yanayofanywa sasa hivi na makanjanja wapya yeye ni mzoefu alikuwa mvurugaji na mfitini hadi kina rage wakapiga stop radio one kuzungumzia habari za simba,kwa hali ilipofika kwa sasa inabidi tu ifanyike tena