Sorry mtu akichukia anapiga sarakasi? This is new
But hata hivyo hiyo sarakas imemsaidia nn?
..kila mtu ana namna tofauti ya kuonyesha furaha, hasira, au huzuni.
..bado ni mapema kuamua kama hotuba iliyofuatiwa na sarakasi ya mbunge imefikisha ujumbe serikalini.
..ktk BAJETI inayokuja, serikali isipotenga fedha za kutosha na kuteya mkandarasi kujenga barabara ya lami ktk jimbo la Mbul, then tutajuwa na haki ya kuhukumu kwamba mbunge amejaribu njia zote, mpaka kupiga sarakasi, lakini serikali haikumsikiliza.