Ushauri kwa Spika: ili kulinda hadhi ya Bunge, kwamba si sehemu ya mzaha, Mbunge aliyepiga sarakasi apelekwe kamati ya Maadili, aombe radhi nchi

Sorry mtu akichukia anapiga sarakasi? This is new
But hata hivyo hiyo sarakas imemsaidia nn?

..kila mtu ana namna tofauti ya kuonyesha furaha, hasira, au huzuni.

..bado ni mapema kuamua kama hotuba iliyofuatiwa na sarakasi ya mbunge imefikisha ujumbe serikalini.

..ktk BAJETI inayokuja, serikali isipotenga fedha za kutosha na kuteya mkandarasi kujenga barabara ya lami ktk jimbo la Mbul, then tutajuwa na haki ya kuhukumu kwamba mbunge amejaribu njia zote, mpaka kupiga sarakasi, lakini serikali haikumsikiliza.
 
ANGEKUWA WA UPINZANI ILA SIO WALE COVID 19 SIKU ILE ILE ANGEJIKUTA KWENYE HIYO KAMATI NA KUFUNGIWA VIKAO 10

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…