Ushauri Kwa TCRA na Jeshi la Polisi

Ushauri Kwa TCRA na Jeshi la Polisi

guojr

Member
Joined
Dec 4, 2015
Posts
62
Reaction score
95
Habari za muda huu wana jukwaa.

Leo nimekuja na ushauri kwa TCRA na jeshi la Polisi kutokana na uhalifu wa mtandaoni.

Uhalifu wenyewe ni huu unaohusu kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno wa kitapeli. Katika utafiti wangu mdogo, nimegundua mambo kadhaa.

Mosi, namba zinazotumika kufanya utapeli ni za mtandao wa TTCL.

Pili, jumbe za kitapeli zinazotumwa kwa watu zina "keywords" zinazofanana.

Tatu, Wanaofanga huo utapeli unapowapigia hujibu kwa kujiamini kana kwamba serekali haifanyi jitihada zozote kupambana na uhalifu huu.

Nne, hakuna mrejesho wowote unapoiripoti namba husika kupitia 15040 zaidi ya "Ujumbe wako umepokelewa na utashughulikiwa haraka iwezekanavyo. Asante".

USHAURI WANGU
1. Ufanyike uchunguzi wa kina kubaini kwanini matapeli hutumia zaidi namba za TTCL. Je, TTCL inasajili line kiholela au kuna "loop hole" gani inayotumika kufanikisha uhalifu huu.

2. TCRA wafanye "blacklist" ya "keywords" zinazotumika kwenye uhalifu huu ili zile "sms" zisiwafikie watumiaji ambao hawana hatia. TCRA na jeshi la Polisi wanaweza kuzidaka hizo "sms" kutoka kwenye "blacklist repository" na kuendelea kuzifanyiakazi kuliko kutubebesha mzigo sisi watumiaji eti tuziripoti kupitia 15040.

3. Jeshi la Polisi liwe makini na kuongeza nguvu katima mapambano dhidi ya uhalifu huu, kwani wananchi tunarudishwa nyuma.

Naomba sasa niwasilishe hoja.
 
Hizo sms hazina shida ukiwa ni mtu muelewa.

polisi wenyewe ni matapeli kuliko hao wa mtandaoni.

Watanzania tunaibiwa na wanasiasa( CCM) kuliko hao matapeli wa mtandaoni.

Kuna wizi mkubwa huko kwenye nyumba za ibada kupitia matapeli wa kinabii.

Waganga wa kienyeji ni matapeli wakubwa kuzidi hao wa mtandaoni.

Ujinga, umasikini, na maradhi ni faida kwa wanasisa na ni mzigo kwa Taifa.

laini unaisajili hapohapo ujumbe wa kitapeli unaingia. 😂

Pesa ikiingia hapohapo ujumbe wa tapeli unaingia.

Ukipanga jambo la pesa sms inaingi😂😂
 
Ukiibiwa simu wazee wa kazi wanaomba nusu bei waanze kuo track!!! Wakiipata wanamalizana na mwizi .....

Hakuna viumbe wa ovyo nchii hii kama mapongo
wataacha kua wa hovyo na walifeli 4m4.... mm nasemaga ogopa sana kazi ambayo wanachukuliwa watu waliofeli ndio wakajifunze kuifanya...... angalia askari walioemda shule wakaelimika huwezi kuta ana upumbavu elimu inamchango mkubwa sana kwenye kutustaarabiaha ila manjagu wengi wapo kama mazezeta wanatumika sana mwishoe wakisataafu wanalia njaa na pensheni zao ndio wanakumbuka kujenga
 
Mimi nadhani hao polisi, TCRA, makampuni ya simu na baadhi ya wafanyakazi wao; wote kwa pamoja wanashirikiana na hao matapeli. Maana hili jambo halileti kabisa mantiki ukilifikiria kwa kina.
 
Unasema TCRA wa block keywords? ina maana watu wasio matapeli washindwe nao kutuma sms zenye maneno hayo? Umewaza sawa sawa kweli kiongozi? (rudi kufanya utafiti madhara ya huo ushauri wako)

Alafu unasema line nyingi ni za TTCL?, upo mkoa gani na je haufahamu kuwa walishahamisha focus ya biashara/huduma hao TTCL? (fanya tafiti zaidi)

Ngoja nikuambie ni kwanini ni ngumu kukamata hao matapeli

Ipo hivi, kwanza wanaofanya huo utapeli wengi sio wamiliki wa hizo line zinazotumika bali ni watumiaji tu. Kwa umiliki na maanisha sio majina yao na namba zao za NIDA zilizotumika kufanya usajili.

Sasa unakuta line ina usajili wa jina la kike alafu anayekupigia na kuongea ni mwanaume hapo unatapeliwa hata ukiripoti na hata yule mwanamke ambaye line inasoma jina lake akikamatwa bado yeye hajakuibia hivyo kesi atashinda tu.

Nini kifanyike?

Usajili usiishie kwenye line bali uende hadi kwenye simu husika, sababu hawa matapeli nao sio wajinga wanatumia hizi simu ndogo za shilingi elfu 20 akimaliza kazi anakivunja vunja unakuta haiwezekani kukamatika

Sasa simu zikisajiliwa itakuwa inasaidia kuwatenga wale wanaoibiwa taarifa zao na zikatumika kufanyia utapeli pia kama simu zitasajiliwa imei namba zake na kila mtanzania akawa na uwezo wa kuangalia simu zilizosajiliwa kwa NIDA yake na akaweza kuzifutia usajili basi itakuwa tumeweza kuzibiti kwa kiasi kikubwa huu utapeli.

Ina maana itamlazimu tapeli kusajili simu na akikosa kabisa taarifa za mtu ili aweze kusajili simu ina maana atatumia simu yenye taarifa zake yeye binafsi na hapo ndio kukamatwa kiurahisi kunapowezekana.

Tofauti na hapo hatuwezi kuwakamata hao matapeli na tukafanikiwa kuwashtaki na kushinda hizo kesi Mahakamani.
 
Sasa hivi wameenda mbali zaidi wanachonga namba zao kabisa.
Jana nimepokea msg ya utapeli yenye tarakimu 15 ukiongeza na +255.
 
Watumishi wa TTCL ni wezi au wanashirikiana na wezi. Ukitumiwa fedha au ukiwasiliana na mtu kuhusu kutuma au kupokea msg za kitapeli zinaanza kuingia. Kuhusu key word wamekuwa wajanja wakiandika msg wanaziwekea character mfano mpesa inaandikwa mpesa'' , tuma - tuma" kwa hiyo Hawa wezi wanajua udhaifu wa mifumo hii.
Huwa nafikiria hawa wezi wakiba fedha wanazitoa kwa nani au wakala yupi? Maana wakitumiwa muamala wanautoa au kuhamisha hapohapo.
 
Habari za muda huu wana jukwaa.

Leo nimekuja na ushauri kwa TCRA na jeshi la Polisi kutokana na uhalifu wa mtandaoni.

Uhalifu wenyewe ni huu unaohusu kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno wa kitapeli. Katika utafiti wangu mdogo, nimegundua mambo kadhaa.

Mosi, namba zinazotumika kufanya utapeli ni za mtandao wa TTCL.

Pili, jumbe za kitapeli zinazotumwa kwa watu zina "keywords" zinazofanana.

Tatu, Wanaofanga huo utapeli unapowapigia hujibu kwa kujiamini kana kwamba serekali haifanyi jitihada zozote kupambana na uhalifu huu.

Nne, hakuna mrejesho wowote unapoiripoti namba husika kupitia 15040 zaidi ya "Ujumbe wako umepokelewa na utashughulikiwa haraka iwezekanavyo. Asante".

USHAURI WANGU
1. Ufanyike uchunguzi wa kina kubaini kwanini matapeli hutumia zaidi namba za TTCL. Je, TTCL inasajili line kiholela au kuna "loop hole" gani inayotumika kufanikisha uhalifu huu.

2. TCRA wafanye "blacklist" ya "keywords" zinazotumika kwenye uhalifu huu ili zile "sms" zisiwafikie watumiaji ambao hawana hatia. TCRA na jeshi la Polisi wanaweza kuzidaka hizo "sms" kutoka kwenye "blacklist repository" na kuendelea kuzifanyiakazi kuliko kutubebesha mzigo sisi watumiaji eti tuziripoti kupitia 15040.

3. Jeshi la Polisi liwe makini na kuongeza nguvu katima mapambano dhidi ya uhalifu huu, kwani wananchi tunarudishwa nyuma.

Naomba sasa niwasilishe hoja.
Tutaandika tutachoka ila tujue kuwa TCRA haiko kwa ajili yetu, TCRA ipo kwa ajili ya kuongeza wigo wa ajira, TCRA haitawajibu na haita soma Post zenu.
 
Unasema TCRA wa block keywords? ina maana watu wasio matapeli washindwe nao kutuma sms zenye maneno hayo? Umewaza sawa sawa kweli kiongozi? (rudi kufanya utafiti madhara ya huo ushauri wako)

Alafu unasema line nyingi ni za TTCL?, upo mkoa gani na je haufahamu kuwa walishahamisha focus ya biashara/huduma hao TTCL? (fanya tafiti zaidi)

Ngoja nikuambie ni kwanini ni ngumu kukamata hao matapeli

Ipo hivi, kwanza wanaofanya huo utapeli wengi sio wamiliki wa hizo line zinazotumika bali ni watumiaji tu. Kwa umiliki na maanisha sio majina yao na namba zao za NIDA zilizotumika kufanya usajili.

Sasa unakuta line ina usajili wa jina la kike alafu anayekupigia na kuongea ni mwanaume hapo unatapeliwa hata ukiripoti na hata yule mwanamke ambaye line inasoma jina lake akikamatwa bado yeye hajakuibia hivyo kesi atashinda tu.

Nini kifanyike?

Usajili usiishie kwenye line bali uende hadi kwenye simu husika, sababu hawa matapeli nao sio wajinga wanatumia hizi simu ndogo za shilingi elfu 20 akimaliza kazi anakivunja vunja unakuta haiwezekani kukamatika

Sasa simu zikisajiliwa itakuwa inasaidia kuwatenga wale wanaoibiwa taarifa zao na zikatumika kufanyia utapeli pia kama simu zitasajiliwa imei namba zake na kila mtanzania akawa na uwezo wa kuangalia simu zilizosajiliwa kwa NIDA yake na akaweza kuzifutia usajili basi itakuwa tumeweza kuzibiti kwa kiasi kikubwa huu utapeli.

Ina maana itamlazimu tapeli kusajili simu na akikosa kabisa taarifa za mtu ili aweze kusajili simu ina maana atatumia simu yenye taarifa zake yeye binafsi na hapo ndio kukamatwa kiurahisi kunapowezekana.

Tofauti na hapo hatuwezi kuwakamata hao matapeli na tukafanikiwa kuwashtaki na kushinda hizo kesi Mahakamani.
Naelewa ukifanya blacklist ya hizo keywords inaweza ikajumuisha hata sms za kweli. Ila ni bora iwe hivyo tutapigiana simu ikibidi kuliko hizi sms ziendelee.
Kuhusu TTCL kubadili focus ya biashara, kama nakuelewa sikuhizi wamejikita zaidi kwenye biashara ya data kupitia fiber zaidi kuliko huduma za simu ya mkononi. Hata hivyo haiwatolei wao wajibu wa kutofatilia mambo yaendelee kama yalivyo.
Kuhusu hoja ya kuishi mkoa gani mimi naishi mkoani kwahiyo huenda sisi tuliopo huku zinatumika zaidi namba za TTCL. Je, tuache kujua kwanini huku mikoani hutumika zaidi namba za TTCL? Naweza kusema zaidi ya 95% sms zinatoka kwenye namba za TTCL.
Kuhusu usajili, mtu hawezi kufanya utapeli kwa aliyosajili kwa utambulisho wake. Hivyo naamini hao matapeli kuna namna wanazipata hizo line zikiwa zimesajiliwa tayari hapa ndio kuna tatizo ambalo linatakiwa kufanyiwakazi na tatizo lenyewe naona linaanzia TTCL.
 
Kwa sasa naona wamerudi kwa kasi kubwa sana, ndani ya siku 3 zilizopita nimepokea jumbe zao sio pungufu ya 15
 
Unasema TCRA wa block keywords? ina maana watu wasio matapeli washindwe nao kutuma sms zenye maneno hayo? Umewaza sawa sawa kweli kiongozi? (rudi kufanya utafiti madhara ya huo ushauri wako)

Alafu unasema line nyingi ni za TTCL?, upo mkoa gani na je haufahamu kuwa walishahamisha focus ya biashara/huduma hao TTCL? (fanya tafiti zaidi)

Ngoja nikuambie ni kwanini ni ngumu kukamata hao matapeli

Ipo hivi, kwanza wanaofanya huo utapeli wengi sio wamiliki wa hizo line zinazotumika bali ni watumiaji tu. Kwa umiliki na maanisha sio majina yao na namba zao za NIDA zilizotumika kufanya usajili.

Sasa unakuta line ina usajili wa jina la kike alafu anayekupigia na kuongea ni mwanaume hapo unatapeliwa hata ukiripoti na hata yule mwanamke ambaye line inasoma jina lake akikamatwa bado yeye hajakuibia hivyo kesi atashinda tu.

Nini kifanyike?

Usajili usiishie kwenye line bali uende hadi kwenye simu husika, sababu hawa matapeli nao sio wajinga wanatumia hizi simu ndogo za shilingi elfu 20 akimaliza kazi anakivunja vunja unakuta haiwezekani kukamatika

Sasa simu zikisajiliwa itakuwa inasaidia kuwatenga wale wanaoibiwa taarifa zao na zikatumika kufanyia utapeli pia kama simu zitasajiliwa imei namba zake na kila mtanzania akawa na uwezo wa kuangalia simu zilizosajiliwa kwa NIDA yake na akaweza kuzifutia usajili basi itakuwa tumeweza kuzibiti kwa kiasi kikubwa huu utapeli.

Ina maana itamlazimu tapeli kusajili simu na akikosa kabisa taarifa za mtu ili aweze kusajili simu ina maana atatumia simu yenye taarifa zake yeye binafsi na hapo ndio kukamatwa kiurahisi kunapowezekana.

Tofauti na hapo hatuwezi kuwakamata hao matapeli na tukafanikiwa kuwashtaki na kushinda hizo kesi Mahakamani.
Brother Dunia inaenda kasi sana kwenye Technology hakuna ugumu wa hao kukamatwa labda uwe nyuma ya Technology Nchi zilizoendelea huo ujinga ukiufanya hata nusu saa kubwa unadakwa hapo hapo ulipo usiseme ni ngumu sema sijui kitu hapo..
 
Yaani geshi la porisi unariarisha
Your not serious
downloadfile.jpg
 
Habari za muda huu wana jukwaa.

Leo nimekuja na ushauri kwa TCRA na jeshi la Polisi kutokana na uhalifu wa mtandaoni.

Uhalifu wenyewe ni huu unaohusu kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno wa kitapeli. Katika utafiti wangu mdogo, nimegundua mambo kadhaa.

Mosi, namba zinazotumika kufanya utapeli ni za mtandao wa TTCL.

Pili, jumbe za kitapeli zinazotumwa kwa watu zina "keywords" zinazofanana.

Tatu, Wanaofanga huo utapeli unapowapigia hujibu kwa kujiamini kana kwamba serekali haifanyi jitihada zozote kupambana na uhalifu huu.

Nne, hakuna mrejesho wowote unapoiripoti namba husika kupitia 15040 zaidi ya "Ujumbe wako umepokelewa na utashughulikiwa haraka iwezekanavyo. Asante".

USHAURI WANGU
1. Ufanyike uchunguzi wa kina kubaini kwanini matapeli hutumia zaidi namba za TTCL. Je, TTCL inasajili line kiholela au kuna "loop hole" gani inayotumika kufanikisha uhalifu huu.

2. TCRA wafanye "blacklist" ya "keywords" zinazotumika kwenye uhalifu huu ili zile "sms" zisiwafikie watumiaji ambao hawana hatia. TCRA na jeshi la Polisi wanaweza kuzidaka hizo "sms" kutoka kwenye "blacklist repository" na kuendelea kuzifanyiakazi kuliko kutubebesha mzigo sisi watumiaji eti tuziripoti kupitia 15040.

3. Jeshi la Polisi liwe makini na kuongeza nguvu katima mapambano dhidi ya uhalifu huu, kwani wananchi tunarudishwa nyuma.

Naomba sasa niwasilishe hoja.
Inaonesha usajili wa kampuni pendwa ya matapeli TTCL hauko vizuri
 
Mimi na wewe tunaweza kuachana nazo, vipi kwa mzee aliyepo kijijini anataka kumtumia hela kijana wake aliyepo shule halafu akutane na utapeli huu?
Kwa hiyo mkuu ukipokea msg ikuambia tuma pesa kwa namba hii we unatuma tu faster,bila kuuliza....

Ova
 
Habari za muda huu wana jukwaa.

Leo nimekuja na ushauri kwa TCRA na jeshi la Polisi kutokana na uhalifu wa mtandaoni.

Uhalifu wenyewe ni huu unaohusu kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno wa kitapeli. Katika utafiti wangu mdogo, nimegundua mambo kadhaa.

Mosi, namba zinazotumika kufanya utapeli ni za mtandao wa TTCL.

Pili, jumbe za kitapeli zinazotumwa kwa watu zina "keywords" zinazofanana.

Tatu, Wanaofanga huo utapeli unapowapigia hujibu kwa kujiamini kana kwamba serekali haifanyi jitihada zozote kupambana na uhalifu huu.

Nne, hakuna mrejesho wowote unapoiripoti namba husika kupitia 15040 zaidi ya "Ujumbe wako umepokelewa na utashughulikiwa haraka iwezekanavyo. Asante".

USHAURI WANGU
1. Ufanyike uchunguzi wa kina kubaini kwanini matapeli hutumia zaidi namba za TTCL. Je, TTCL inasajili line kiholela au kuna "loop hole" gani inayotumika kufanikisha uhalifu huu.

2. TCRA wafanye "blacklist" ya "keywords" zinazotumika kwenye uhalifu huu ili zile "sms" zisiwafikie watumiaji ambao hawana hatia. TCRA na jeshi la Polisi wanaweza kuzidaka hizo "sms" kutoka kwenye "blacklist repository" na kuendelea kuzifanyiakazi kuliko kutubebesha mzigo sisi watumiaji eti tuziripoti kupitia 15040.

3. Jeshi la Polisi liwe makini na kuongeza nguvu katima mapambano dhidi ya uhalifu huu, kwani wananchi tunarudishwa nyuma.

Naomba sasa niwasilishe hoja.
Hao polis wako bize. Ngoja wamalize kwanza kuteka wapinzani
 
Back
Top Bottom