julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,081
- 4,224
Kila mara tunajribu kuwaambia kwa vile panton ni moja kipind hiki, nyakati za dharula msiwe mnajaza magari line tatu. Hii itasaidia vipi? Itasaidia abiria kuingia kwa haraka na kuondoka haraka kuliko magari yakiziba full matokeo yake watu wanaingia kwa kupenya.
Leo ambulance maskini mgonjwa imebidi kapteni aseme watu wasubiri kuingia ili wawahishe gari ya mgonjwa kwa sababu msururu wa kuingia watu kwenye kivuko ulikuwa unakwenda kwa spidi ndogo sababu hakuna pa kupita, chini kumejaa gari na hii hali ya kupenya kwa waliokuwepo mida ya saa 10.30 asubuhi wameona.
USHAURI. Nyakati za jioni peak hours line za motokaa ziwe mbili ili kusudi kuachiwa gape watu wapite kwa uharaka, na nyakati nyingine ambazo si peak utaratibu uendelee.
Leo ambulance maskini mgonjwa imebidi kapteni aseme watu wasubiri kuingia ili wawahishe gari ya mgonjwa kwa sababu msururu wa kuingia watu kwenye kivuko ulikuwa unakwenda kwa spidi ndogo sababu hakuna pa kupita, chini kumejaa gari na hii hali ya kupenya kwa waliokuwepo mida ya saa 10.30 asubuhi wameona.
USHAURI. Nyakati za jioni peak hours line za motokaa ziwe mbili ili kusudi kuachiwa gape watu wapite kwa uharaka, na nyakati nyingine ambazo si peak utaratibu uendelee.