Ushauri Kwa Urusi : Huwezi kuwaangamiza mchwa bila kumuua Malikia wao, Mwenzako Japan alilijua hilo na akajaribu Bahati yake

Ushauri Kwa Urusi : Huwezi kuwaangamiza mchwa bila kumuua Malikia wao, Mwenzako Japan alilijua hilo na akajaribu Bahati yake

Haya yote unafikiri vyombo vya ulinzi vya Russia havitambui? Kama UK tu ameweza sambaza Javeline na kuangamiza misafara yote ya Russia Ukraine, what if UK ndo angeingia vitani ground battle dhidi ya Russia? Si wangepasua njia mpaka Russia?

Sasa huyo ni mshirika tu wa US, US mwenyewe muweke pembeni. Russia anafikiria mno kupambana na US, lakini kitu pekee anachosita ni uimara wa zana zake.

Kama vifaru vyake vya kisasa vimeweza kuwekwa chini kizembe vile pale Ukraine, ana uhakika gani hizo Nuclear zake pamoja na Submarines zinaweza tikisa anga la US while US kabla ya kumfikia sehemu nyingi mno ana Base?

US sana sana anamfikiria NATO, akiingia vitani na Russia, Ulaya inaweza ikaathirika zaidi kwa silaha uchwara za Urusi lakini sio US.

Hakuna taifa nilikuwa naliamini ktk medani za Vita kama Russia, ila kupitia hii ya ukraine nimeona ni taifa la kawaida tu, sema ubaya ni kwamba kuna Nuclear kwao, na nina mashaka sasa na hizo Nuclear. Nchi gani inalipuliwa kituo kikubwa cha mafuta kwa helcopter? Hizo s300, s400 defence systems zilizimwa au?

Katika medani hii ya kivita na propaganda, US, German, France na UK ni moto mwingine. Huu ni ukweli mchungu.

Tukumbuke pia hata kiuchumi Russia hamgusi Japan, weka mbali hao jamaa hao juu, Japan mwenyewe tu hamgusi kipesa.
Nilipoangalia GDP za mwaka jana, inaonyesha kuwa Urusi alikuwa na Trillioni 1( moja), Marekani trillioni 23 (ishirini na tatu) Dola za Marekani. Niligundua kwamba Urusi ni nchi masikini sana.
 
Unaongea usi chokijua mkuu.russia hapigani na Ukraine ,pale anapigana na na Uk,US ,NATO na the like fans of United States.russia alijua tangu mwanzo kuwa marekani na fans wake lazma watapeleka msaada wa kijeshi Tena wakutosha ,so Russia alikuwa na 2 option in mind ,moja ikiwa marekani na fans wake wataogopa kupeleka military suport Ukraine Basi ampige zelensk na kumtoa on power na akabidhi power kwa mtu ambaye atakuwa humble kwa Russia ,au Kama US na fans wake wataingilia na kutoa support kimya kimya basi option ya kwanza anaachana nayo,na ajikite kumharibia kwanza Ukraine miundombino ya kijeshi lkn pia ,kulazimisha Ukraine kwa kipigo na hasara aliyoipata kuyasahau na kuachana na mpango wa kujoin NATO,pamoja na kusahau na kuachana na mpango wa kuyapogania majimbo Yale mawili ,ambayo ni majimbo muhimu Sana kwa Russia , for future plans .haya mqjimbo ni muhimu Sana kwa Russia hata zelensk anajua wazi haya majimbo ni muhimu kwa Russia kwa mipango ya baadae .

Kwenye medani ya kivita lazima ubalalqnce nguvu na skills,pasipo kuadhiri plans zako (ambitions).Japan kilichowagharim ni kuweka ambitions mbele zaidi ,bila kuweka balance ya skills & military power. Hata China ambitions yake kubwa ni kuitwaa Taiwan ,nguvu za kuichukua anayo ,lkn anajua impact ya kuharakisha kufanya hivyo na hapa ndo kubalnce skills na power ,pasipo kuadhiri ambitions yako. mkuu kwenye medani za kivita lzm uwe perfect kwa kila kitu,kule hakuna upumbavu wa kusema Mimi sio mungu mpaka niwe mkamilifu kwa kila Jambo [emoji23]. Kwenye medani ya kivita just a dot mistake u kill the whole plan!!!! Hitler alifeli kwa Hilo ,mistake moja na ndogo tu ya kumpuuza mrusi ,ika ua the whole plans!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajitahd kuchepusha , kwamba alikuwa na option 2 😀😀😀😀 haya la kuchukua majimbo yanayopakana na yeye ni option ya ngapi
 
Unaongea usi chokijua mkuu.russia hapigani na Ukraine ,pale anapigana na na Uk,US ,NATO na the like fans of United States.russia alijua tangu mwanzo kuwa marekani na fans wake lazma watapeleka msaada wa kijeshi Tena wakutosha ,so Russia alikuwa na 2 option in mind ,moja ikiwa marekani na fans wake wataogopa kupeleka military suport Ukraine Basi ampige zelensk na kumtoa on power na akabidhi power kwa mtu ambaye atakuwa humble kwa Russia ,au Kama US na fans wake wataingilia na kutoa support kimya kimya basi option ya kwanza anaachana nayo,na ajikite kumharibia kwanza Ukraine miundombino ya kijeshi lkn pia ,kulazimisha Ukraine kwa kipigo na hasara aliyoipata kuyasahau na kuachana na mpango wa kujoin NATO,pamoja na kusahau na kuachana na mpango wa kuyapigania majimbo Yale mawili ,ambayo ni majimbo muhimu Sana kwa Russia , for future plans .haya mqjimbo ni muhimu Sana kwa Russia hata zelensk anajua wazi haya majimbo ni muhimu kwa Russia kwa mipango ya baadae .

Kwenye medani ya kivita lazima ubalalqnce nguvu na skills,pasipo kuadhiri plans zako (ambitions).Japan kilichowagharim ni kuweka ambitions mbele zaidi ,bila kuweka balance ya skills & military power. Hata China ambitions yake kubwa ni kuitwaa Taiwan ,nguvu za kuichukua anayo ,lkn anajua impact ya kuharakisha kufanya hivyo na hapa ndo kubalnce skills na power ,pasipo kuadhiri ambitions yako. mkuu kwenye medani za kivita lzm uwe perfect kwa kila kitu,kule hakuna upumbavu wa kusema Mimi sio mungu mpaka niwe mkamilifu kwa kila Jambo [emoji23]. Kwenye medani ya kivita just a dot mistake u kill the whole plan!!!! Hitler alifeli kwa Hilo ,mistake moja na ndogo tu ya kumpuuza mrusi ,ika ua the whole plans!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya watu waliochambua mgogoro huu wakiwa na mawazo guru na yenye uhalisia ni wewe.
Japo kidogo umeweka na ushabiki kidogo but nimekubali mchango wako ulio balance.
 
Back
Top Bottom