Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Salaam wana jukwaa
Naomba mnijuze/kushauri je kwa utawala huu wa Magufuli ni biashara gani ukiifanya inaweza kukulipa hata kama sio kwa faida kubwa lakini mzunguko wa bidhaa unakua nzuri
Hasa maeneo ya Mwanza ni biashara ipi?
Mtaji kuanzia Laki 5.
Naomba mnijuze/kushauri je kwa utawala huu wa Magufuli ni biashara gani ukiifanya inaweza kukulipa hata kama sio kwa faida kubwa lakini mzunguko wa bidhaa unakua nzuri
Hasa maeneo ya Mwanza ni biashara ipi?
Mtaji kuanzia Laki 5.