Ninachofahamu(baada ya kuambiwa na mtu aliyeko jikoni) ni kwamba, wale walimu wa somo moja watachukuliwa kidogo then baada ya awamu ya kwanza kureport basi wataongezwa baadae kulingana na ukomo wa bajeti. Lakini kuhusu BAED majina yao wote yako kwenye orodha ya ajira awamu ya kwanza.
dj na walimu wapi na wapi? kwann hajakwambia ajira znatoka ln.
Bro ebu nipe habari coz mdogo wangu a
Dj na ajira za ualimu wapi na wapi bana?we nenda kapigie mziki wacheza dansi wenzio pale maisha club.
Kweli kabisa, kaka yupo wizarani kanambia hivyo piaNinachofahamu(baada ya kuambiwa na mtu aliyeko jikoni) ni kwamba, wale walimu wa somo moja watachukuliwa kidogo then baada ya awamu ya kwanza kureport basi wataongezwa baadae kulingana na ukomo wa bajeti. Lakini kuhusu BAED majina yao wote yako kwenye orodha ya ajira awamu ya kwanza.
Habari ya leo wadau,
napenda kutumia fursa hii kuwashauri waalimu wa masomo tajwa hapo juu, kwa mjibu wa mnyetishaji wangu kutoka wizara ya elimu ni kwamba safarii hii hawataajiri walimu wa histori na kiswahili kwasababu kwa sasa demand kubwa ya waalimu ni wa masomo ya sayansi, English na jiografia. Kipao mbele kitakua kwa masomo ya sayansi, English na jiografia halafu baadae watafikiria wale wa masoma ya hist na kisw.kwahiyo jaman muanze kabisa kujiandaa kwa lolote maana ukweli ndo huo.
Vipi kuhusu wale wenye masomo ya history-geography,history-language[english],kiswahili-geography na kiswahili-english?
Naomba muongozo hapo mkuu.
Acheni kuwapa wenzenu mapresha !! Kwatetesi tu hamjambo!!
Hauna jipya
baba lai, you are in good position to be taken coz shida ni kwa wale wa mchanganyo wa masomo kama hist and kisw na wenye single subject kisw,hist
wewe mwanaume mzima na nywele kila sehemu unasoma masomo ya kike(arts)!...afu ukiwa humu na wewe unajiita mwanaume!!...me naona wasiyaajiri manamume ya arts!...atleast wanawake ina make sense!
Nimekuelewa mkuu,ila kazi ipo....
Unajifariji! Walimu wa kiswahili ni hadimu kuliko wa geography! Pia walimu wa kiswahili wananafasi ya kufundsha kiswahili AFRICA MASHARIKI NA KATI!
wewe mwanaume mzima na nywele kila sehemu unasoma masomo ya kike(arts)!...afu ukiwa humu na wewe unajiita mwanaume!!...me naona wasiyaajiri manamume ya arts!...atleast wanawake ina make sense!