USHAURI:kwa Waalimu wa kiswahili na historia, jiandaeni kisaikolojia.

USHAURI:kwa Waalimu wa kiswahili na historia, jiandaeni kisaikolojia.

Ninachofahamu(baada ya kuambiwa na mtu aliyeko jikoni) ni kwamba, wale walimu wa somo moja watachukuliwa kidogo then baada ya awamu ya kwanza kureport basi wataongezwa baadae kulingana na ukomo wa bajeti. Lakini kuhusu BAED majina yao wote yako kwenye orodha ya ajira awamu ya kwanza.

point hapa ni somo la kisw na history waalim ni wengi,haijalishi BAED WALA NINI
 
Dj na ajira za ualimu wapi na wapi bana?we nenda kapigie mziki wacheza dansi wenzio pale maisha club.
 
Ninachofahamu(baada ya kuambiwa na mtu aliyeko jikoni) ni kwamba, wale walimu wa somo moja watachukuliwa kidogo then baada ya awamu ya kwanza kureport basi wataongezwa baadae kulingana na ukomo wa bajeti. Lakini kuhusu BAED majina yao wote yako kwenye orodha ya ajira awamu ya kwanza.
Kweli kabisa, kaka yupo wizarani kanambia hivyo pia
 
Habari ya leo wadau,
napenda kutumia fursa hii kuwashauri waalimu wa masomo tajwa hapo juu, kwa mjibu wa mnyetishaji wangu kutoka wizara ya elimu ni kwamba safarii hii hawataajiri walimu wa histori na kiswahili kwasababu kwa sasa demand kubwa ya waalimu ni wa masomo ya sayansi, English na jiografia. Kipao mbele kitakua kwa masomo ya sayansi, English na jiografia halafu baadae watafikiria wale wa masoma ya hist na kisw.kwahiyo jaman muanze kabisa kujiandaa kwa lolote maana ukweli ndo huo.

Vipi kuhusu wale wenye masomo ya history-geography,history-language[english],kiswahili-geography na kiswahili-english?
Naomba muongozo hapo mkuu.
 
Vipi kuhusu wale wenye masomo ya history-geography,history-language[english],kiswahili-geography na kiswahili-english?
Naomba muongozo hapo mkuu.

baba lai, you are in good position to be taken coz shida ni kwa wale wa mchanganyo wa masomo kama hist and kisw na wenye single subject kisw,hist
 
Acheni kuwapa wenzenu mapresha !! Kwatetesi tu hamjambo!!
 
Sasa Mnapata Tabu Ya Nini? We Ndio Unaeajiri? Kwanini Huko Jikoni Usiambiwe Tarehe Ya Kutoa Ajira? Kwani Ukikaa Kimya Utaumwa Mkuu? Mi Nishauri Tu Watu Waache "tetesi" Kama Ajira Zikitoka Na Hk Hawajaajiriwa Njoo Hapa Ufungue Uzi...

allan.
 
Unajifariji! Walimu wa kiswahili ni hadimu kuliko wa geography! Pia walimu wa kiswahili wananafasi ya kufundsha kiswahili AFRICA MASHARIKI NA KATI!
 
wewe mwanaume mzima na nywele kila sehemu unasoma masomo ya kike(arts)!...afu ukiwa humu na wewe unajiita mwanaume!!...me naona wasiyaajiri manamume ya arts!...atleast wanawake ina make sense!

Acha kashfa za kishamba mkuu!Una maanisha nini kusema masomo ya kike?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Yeah, tunakoelekea huenda walimu wataanza kuajiriwa kwa GPA kama kigezo cha kupunguza watu maana ushindani ni mkubwa halafu nafasi ni chache,idadi ya watu ni kubwa (teacherz)
Nimekuelewa mkuu,ila kazi ipo....
 
Kwa taarifa yako, practically wa-kenya wame-dominate hiyo fursa
Unajifariji! Walimu wa kiswahili ni hadimu kuliko wa geography! Pia walimu wa kiswahili wananafasi ya kufundsha kiswahili AFRICA MASHARIKI NA KATI!
 
wewe mwanaume mzima na nywele kila sehemu unasoma masomo ya kike(arts)!...afu ukiwa humu na wewe unajiita mwanaume!!...me naona wasiyaajiri manamume ya arts!...atleast wanawake ina make sense!

you ----ing bastard stay silent if you have nothing new 2 say kamwambie ur bitch mama hayo maneno
 
na wewe umeambiwa na mjomba eeeh?tumechoka na tetesi na kwa taarifa yako iyo uliosema ni uongo,kiingereza hjui ujifanya kuandika,kisa umesoma kiswahili na english and nishakujua.
 
Back
Top Bottom