Safari mtaleta tume ya jwtz hamtaamini macho yenuLabda nwanzoya mkuu.
Mwanzaaaa mwe mwe mwe! Bukoba kwa maji saivi,
Daraja la kigongo fery km lote.
Kojoa ukalale.
Kumbe wewe ni muhaaaa, ndiomaaanaa unabisha vitu vya hovyohovyooo, na bila shakaa unakaa mtaaa wa igogo na bugarika kwa wakuria, nakazi zenu zinafahamikaaa saaanaa, ukisikia kibaka amechomwa moto ujue ni makundi yenu ya igogoo. Pole saaana kijana muwa wa ubishiiiiNinyi Wazinza mko wachache sana hapa Mwanza Sisi Wasukuma na Wakurya na Waha ndio tunalifanya Mwanza lionekane jiji
Ninyi rudini Visiwani mkakabane makoo na na hao maafsaa wenyekufuatilia ukubwa wa samaki
30 Agosti 2020
UZINDUZI CHADEMA KAMPENI 2020, SEGEREA, DAR ES SALAAM. SERA ZAVUTIA WANACCM NA WAMEAHIDI KUIPIGIA KURA CHADEMA
Hoja zenye mvuto kwa waTanzania bila kujali vyama zaporomoshwa leo Segerea jijini Dar es Salaam, naam ndugu zangu wa CCM Mpya baada ya kusikia hotuba zao za ufunguzi Dodoma waliishiwa na nguvu kuwa waweke rehani maisha yao kwa Mafuguli kwa miaka mingine mitano wamekataa sasa wanehamishia matumaini na kura zao kwa Tundu Lissu na wabunge wa CHADEMA kwa wingi sana, hakika sasa kimbunga kinasomba waTanzania wote wenye kutaka na kuelewa Maendeleo ya Watu.
Unafikiri hizo amshaamsha za wanamziki zinafanywa bure? Unadhani hao wasanii wote wanaenda kwenye majukwaa ya CCM kwa kupenda pamoja na kuwa wanalipwa ?
Fikiria upya.
Watanzania tusisahau kuwachangia wenzetu campaign ziende vizuri. Safari hii wamebanwa kila kona ili wasiweze kuwafikia wananchi. So kuchanga shilingi mbili tatu ni muhimu sana.
Unadhani Lissu atafika Kura za Lowassa kwa sababu ya Kuongea?, unadhani watu milioni sita walikuwa hawajui kuwa Lowassa sio mzungumzaji?
Kwenye Jamii kuna kitu inaitwa Peer Influence
Hiyo video pekee imeangaliwa na watu 25k within 6 hours so trend kwenye social networks ni nzuri.Ilipaswa wafike Uwanja wa Taifa
Ana hoja pia nadhani kuna udhaifu katika utoaji taarifa wa mikutano yetu.Huyu jamaa Intelligent Electronics bado yupo 2015 haelewi dunia ya leo 2020 na uzuri hiyo 25 K itakuwa shared, uploaded, replayed, kusikilizwa ktk kundi / familia n.k kwa pamoja mpaka Oktoba 28 siku ya kupiga kura hivyo ina mguso daima.
Kwa kweli Lissu hajui kama hajui kuwa nafasi anayogombea ni ya juu kabisa katika nchi hivyo anahitajika kiongozi wa upatanisho. Anashabikiwa na/au kushabikiwa na vijana wahuni wa mitaani ama wavuta bangi.
Mbowe anapoteza muda anaposimama na kutoa hotuba za kipuuzi sana badala ya kumwacha John Mnyika ,Salum Mwalim, Mrema, na Mwalim Mkuu wa Siasa Tundu Lisu.Naipenda CDM siwezi kupoteza kura yangu kuipa CCM.
Kiukweli kabisa Mbowe hakustahili kuwa mwenyekiti tena kaishiwa maarifa mapya.
Amsha amsha hazipo kabisa as if ndo mara ya kwanza tunashiriki uchaguzi mwaka huu.
..mbona amesisitiza kwamba ataunda Tume ya Ukweli na Maridhiano?
..pia amesema atakuwa mfariji mkuu wa waTz wanaopatwa na matatizo au maafa.
..kuna mambo anayasema TL ktk kampeni yalitakiwa yasemwe bungeni, ila mnafahamu kwamba wabunge walizibwa midomo.
Watanzania msiwafanye wajinga ila Mimi nimezunguka mikoa yote kuanzaia kusini mpaka kasikazini
Ukweli Ni kwamba watu wapo tayari kwa mabadiliko ila walikuwa wanasubiri ni nani analeta hayo mabadiliko?
Ila ukweli kwa Sasa watu wapo tayari kwa mabadiliko makubwa na Lissu ndio muarobaini wa huu utawala.
Huyu au yupi?[emoji116]Watanzania msiwafanye wajinga ila Mimi nimezunguka mikoa yote kuanzaia kusini mpaka kasikazini
Ukweli Ni kwamba watu wapo tayari kwa mabadiliko ila walikuwa wanasubiri ni nani analeta hayo mabadiliko?
Ila ukweli kwa Sasa watu wapo tayari kwa mabadiliko makubwa na Lissu ndio muarobaini wa huu utawala.
Kwenye hiyo mitandao Lisu alishakataliwa!Ana hoja pia nadhani kuna udhaifu katika utoaji taarifa wa mikutano yetu.
Tunatakiwa kuhakikisha vijana wanaiteka mitandao ya kijamii hasa facebook, instagram, Twitter, na You tube.
Vyombo vya habari viko gerezani lakini tutafute watu mashuhuri, Dk Lwaitama, prof Baregu na wachambuzi wengine wawe wanafanya uchambuzi wa ilani yetu.
Campaign aa CHADEMA zirekodiwe in videos an audio ili ziwe shared tutafute makondakta wa daladala, bodaboda na mabasi wawe wanazicheza kwenye mabasi yao.
Tuhakikishe kila mwanachama apate hizi audio na kuzisambaza kwa watu.
We have to act now.
Hata sasa hivi nimetoka huko , ,Kwenye hiyo mitandao Lisu alishakataliwa!
Ukitaa kuamini nenda kaone coment za watu kuhusu Lisu