Uchaguzi 2020 Ushauri kwa waandaaji wa Kampeni za CHADEMA

Uchaguzi 2020 Ushauri kwa waandaaji wa Kampeni za CHADEMA

Hapa nakubaliana nawe wachambuzi mahiri wa kisiasa Tanzania hakuna hasahasa ktk Radio, Televisheni na magazeti.

Dr. Lwaitama, Jenerali Ulimwengu , Askofu Bagonza, Sheikh Ponda ni wachache sana kwa nchi hii yenye wasomi na wazee wengi wenye uzoefu. Si siasa tu hata fani zingine watu hawajitokezi kuchambua masuala mengi ya kijamii, kiuchumi n.k mbali ya hili la siasa tuliyonayo ktk siku hizi 60 kuelekea uchaguzi wa Oktoba 2020.

Na huu ni ugonjwa wa waTanzania wote bila kujali vyama , CHADEMA hawastahiki kulaumiwa maana waTanzania hamjitokezi lakini hatua wanazochukua mpaka sasa CHADEMA wanastahili pongezi na sisi pia kujitokeza kufanya uchambuzi mitandaoni buree bila kuilaumu CHADEMA au vyama vingine vya upinzani.
Hii hali imesababishwa na sheria mbovu ya vyombo vya habari.

Nani atathubutu kwenda kwenye chombo cha habari kufanya uchambuzi wakati kinachotakiwa kusikika kwenye vyombo vya habari ni utekelezaji wa miradi ?
 
Ni kweli hoja yako ya Kwenye Jamii kuna kitu inaitwa Peer Influence, lakini wafuasi wa CHADEMA wanaamini Lissu ndio mwarobaini wa kukifufua!!!

Pamoja na kutokuwa na maandilizi mazuri, kama Mkuu Intelligent Electronics ulivyohoji kwenye mada yako tunayochangia mawazo, Lissu nimemsikiliza kwenye hotuba zake zote (kutafuta wadhamini na kampeni). Zote zimejaa majigambo ya uanasheria wake, kebehi na dharau dhidi ya Magufuli, tuhuma dhidi ya Serikali kana kwamba anawasilisha madai mahakamani.

Kile anachoita Sera (haki na uhuru) ni mwendelezo wa tuhuma zake dhidi ya Magufuli (ati dikteta uchwara) ambazo zina harufu ya uchochezi na kusababisha kufunguliwa mashitaka. Leo anadai pesa zinakwapuliwa na kujenga Chato.

Kwa kweli Lissu hajui kama hajui kuwa nafasi anayogombea ni ya juu kabisa katika nchi hivyo anahitajika kiongozi wa upatanisho. Anashabikiwa na/au kushabikiwa na vijana wahuni wa mitaani ama wavuta bangi.

Sasa unataka atuhumiwe nani kwa kuminya uhuru na haki za wananchi?

Magufuli lazima atuhumiwe na ni lazima ang'olewe madarakani hapo october 28 kwa sababu hafai na ndo aliyeharibu nchi!

Eti Magufuli asisemwe, kwa nini asisemwe wekati matendo yake mabaya kwa nchi hii ni ajenda halali ya kisiasa mbele ya wananchi ili wamkatae?

Tulieni dawa iwaingie, kama mlidhani Magufuli angeweza kuminya haki na uhuru wa watu kisha akago away with it, haitotokea this time around!
 
Sasa unataka atuhumiwe nani kwa kuminya uhuru na haki za wananchi?

Magufuli lazima atuhumiwe na ni lazima ang'olewe madarakani hapo october 28 kwa sababu hafai na ndo aliyeharibu nchi!

Eti Magufuli asisemwe, kwa nini asisemwe wekati matendo yake mabaya kwa nchi hii ni ajenda halali ya kisiasa mbele ya wananchi ili wamkatae?

Tulieni dawa iwaingie, kama mlidhani Magufuli angeweza kuminya haki na uhuru wa watu kisha akago away with it, haitotokea this time around!

Ati wasema Magufuli lazima atuhumiwe na ni lazima ang'olewe madarakani hapo october 28 kwa sababu hafai na ndo aliyeharibu nchi! ni ishara kuwa umekosa hoja na uko tayari kwa lolote asiingie madarakani. Hongera kwa dhamira hiyo nikiamini una nguvu za kutimiza hilo.
 
Kumbe wewe ni muhaaaa, ndiomaaanaa unabisha vitu vya hovyohovyooo, na bila shakaa unakaa mtaaa wa igogo na bugarika kwa wakuria, nakazi zenu zinafahamikaaa saaanaa, ukisikia kibaka amechomwa moto ujue ni makundi yenu ya igogoo. Pole saaana kijana muwa wa ubishiiii
Na ndio wengi sasa
 
Haaaaa haaaaaaa. Nimechekaaaa kwaaakweliiii, nipe habari zingine za igogo nimepamiss saaanaaa.
Wazima huko lakiniiiii?
Mnajichekeesha nini tulieni dawa ziwaingie mwanzo huwa inauma ukizoea unaitafuta mwenyewe
 
Ndiyo waelewe kuwa nchi haiendeshwi kwa kupitia mitandao, drones na safari za mitaa ya firigisi.

CCM ni ushindi wa 100% tarehe 28 October, 2020.

Rais wa Tanzania ni Mhe. Dr. Magufuli.
 
Nikilinganisha na kampeni za 2015. Lowassa alikuwa akivutia umati mkubwa lakini anashindwa kunadi sera. Wengi alikuwa akiwakatisha tamaa. Hapa Dar aligawana kura sana na Magu na alimzidi kura chache sana. Wabunge wengi wa Dar (Mdee, Mnyika, Kubenea etc) walipata kura nyingi kuliko Lowassa.

Kampeni za 2020 bado hazijavuta mikusanyiko ya mikubwa. Lakini Lissu ananadi sera vizuri. Wakiendelea kusambaza hizi short videos za Lissu kwa wapiga kura kupitia Twitter, Facebook, Instagram na WhatsApp watawafikia mamilioni ya watanzania bila kuhitaji hayo mashindano ya nyomi. Siasa ni sayansi.......na cha muhimu ni Lissu aendelee kuwashawishi wapiga kura.......Na anafanya hiyo kazi vizuri.......
Kibaya zaidi wapiga kura wengi hawana smartphone.
 
Back
Top Bottom