Ushauri kwa waandaaji wa maandamano na waandamanaji tarehe 23/09/2024

Ushauri kwa waandaaji wa maandamano na waandamanaji tarehe 23/09/2024

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
Kutokana na vitisho vinavyotolewa na polisi dhidi ya haki za wananchi kutimiza haki zao kikatiba, ni wazi polisi wanaweza kuumiza watu hata kuua kwa kisingizio cha kuzuia maandamano.

Nashauri waandaaji wa maandamano kuandaa media coverage kubwa sana hasa kwa upande wa picha mnato na picha mwendo yaani video kwa kila tukio watakalolifanya polisi iwe hadharani au sirini.

Kamera za siri na vinasa sauti viwe vingi kukusanya ushahidi wa uhalifu unaotegemewa kitendwa na dola kama ule uliofanyika Mbeya. Waandamanaji wote nao simu zao kamera ziwe on kurekodi kila tukio la uvunjifu wa amani utakaofanywa na wenye mabavuna kisha kuliweka wazi ikitokea wahalifu wakaruka kimanga.

Kuandamana ni kutembea. Ninyi polisi shida iko wapi watu wakiachwa watembee huku wakiimba na kulia? Kunahitajika akili na busara badala ya mabavu.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
 
Mtamfilimbwa mpaka mjishangae wenyewe kwa wenyewe.
Nimeanza kuwaonea huruma kabla ya tukio.
NB
TANZANIA SIO KENYA
 
Nashauri waandaaji wa maandamano kuandaa media coverage kubwa sana hasa kwa upande wa picha mnato na picha mwendo yaani video kwa kila tukio watakalolifanya polisi iwe hadharani au sirini.
Ushauri mzuri. Waandaaji wawe tayari pia kubeba consequences za hiyo media coverage kubwa endapo waandamanaji wataanzisha vurugu maana mambo yote yatawekwa hadharani. Wasije wakageuka baadae na kuwabebesha mzigo waandamanaji.
 
Kutokana na vitisho vinavyotolewa na polisi dhidi ya haki za wananchi kutimiza haki zao kikatiba, ni wazi polisi wanaweza kuumiza watu hata kuua kwa kisingizio cha kuzuia maandamano.

Nashauri waandaaji wa maandamano kuandaa media coverage kubwa sana hasa kwa upande wa picha mnato na picha mwendo yaani video kwa kila tukio watakalolifanya polisi iwe hadharani au sirini.

Kamera za siri na vinasa sauti viwe vingi kukusanya ushahidi wa uhalifu unaotegemewa kitendwa na dola kama ule uliofanyika Mbeya. Waandamanaji wote nao simu zao kamera ziwe on kurekodi kila tukio la uvunjifu wa amani utakaofanywa na wenye mabavuna kisha kuliweka wazi ikitokea wahalifu wakaruka kimanga.

Kuandamana ni kutembea. Ninyi polisi shida iko wapi watu wakiachwa watembee huku wakiimba na kulia? Kunahitajika akili na busara badala ya mabavu
Kupambana na wakati ni kazi ngumu, pengine isiyowezekana, cha msingi ni kutafakari wakati unahitaji nini, na sio binadamu anataka nini!
 
Kutokana na vitisho vinavyotolewa na polisi dhidi ya haki za wananchi kutimiza haki zao kikatiba, ni wazi polisi wanaweza kuumiza watu hata kuua kwa kisingizio cha kuzuia maandamano.

Nashauri waandaaji wa maandamano kuandaa media coverage kubwa sana hasa kwa upande wa picha mnato na picha mwendo yaani video kwa kila tukio watakalolifanya polisi iwe hadharani au sirini.

Kamera za siri na vinasa sauti viwe vingi kukusanya ushahidi wa uhalifu unaotegemewa kitendwa na dola kama ule uliofanyika Mbeya. Waandamanaji wote nao simu zao kamera ziwe on kurekodi kila tukio la uvunjifu wa amani utakaofanywa na wenye mabavuna kisha kuliweka wazi ikitokea wahalifu wakaruka kimanga.

Kuandamana ni kutembea. Ninyi polisi shida iko wapi watu wakiachwa watembee huku wakiimba na kulia? Kunahitajika akili na busara badala ya mabavu.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Kamera za siri na vinasa sauti viwe vingi kukusanya ushahidi wa uhalifu unaotegemewa kitendwa na dola kama ule uliofanyika Mbeya. Waandamanaji wote nao simu zao kamera ziwe on kurekodi kila tukio la uvunjifu wa amani utakaofanywa na wenye mabavuna kisha kuliweka wazi ikitokea wahalifu wakaruka kimanga.
20240916_052739.jpg
 
Kutokana na vitisho vinavyotolewa na polisi dhidi ya haki za wananchi kutimiza haki zao kikatiba, ni wazi polisi wanaweza kuumiza watu hata kuua kwa kisingizio cha kuzuia maandamano.

Nashauri waandaaji wa maandamano kuandaa media coverage kubwa sana hasa kwa upande wa picha mnato na picha mwendo yaani video kwa kila tukio watakalolifanya polisi iwe hadharani au sirini.

Kamera za siri na vinasa sauti viwe vingi kukusanya ushahidi wa uhalifu unaotegemewa kitendwa na dola kama ule uliofanyika Mbeya. Waandamanaji wote nao simu zao kamera ziwe on kurekodi kila tukio la uvunjifu wa amani utakaofanywa na wenye mabavuna kisha kuliweka wazi ikitokea wahalifu wakaruka kimanga.

Kuandamana ni kutembea. Ninyi polisi shida iko wapi watu wakiachwa watembee huku wakiimba na kulia? Kunahitajika akili na busara badala ya mabavu.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Kamera za siri na vinasa sauti viwe vingi kukusanya ushahidi wa uhalifu unaotegemewa kitendwa na dola kama ule uliofanyika Mbeya. Waandamanaji wote nao simu zao kamera ziwe on kurekodi kila tukio la uvunjifu wa amani utakaofanywa na wenye mabavuna kisha kuliweka wazi ikitokea wahalifu wakaruka kimanga.
Kutokana na vitisho vinavyotolewa na polisi dhidi ya haki za wananchi kutimiza haki zao kikatiba, ni wazi polisi wanaweza kuumiza watu hata kuua kwa kisingizio cha kuzuia maandamano.

Nashauri waandaaji wa maandamano kuandaa media coverage kubwa sana hasa kwa upande wa picha mnato na picha mwendo yaani video kwa kila tukio watakalolifanya polisi iwe hadharani au sirini.

Kamera za siri na vinasa sauti viwe vingi kukusanya ushahidi wa uhalifu unaotegemewa kitendwa na dola kama ule uliofanyika Mbeya. Waandamanaji wote nao simu zao kamera ziwe on kurekodi kila tukio la uvunjifu wa amani utakaofanywa na wenye mabavuna kisha kuliweka wazi ikitokea wahalifu wakaruka kimanga.

Kuandamana ni kutembea. Ninyi polisi shida iko wapi watu wakiachwa watembee huku wakiimba na kulia? Kunahitajika akili na busara badala ya mabavu.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Kuandamana ni kutembea. Ninyi polisi shida iko wapi watu wakiachwa watembee huku wakiimba na kulia? Kunahitajika akili na busara badala ya mabavu.📌🔨
 
Kutokana na vitisho vinavyotolewa na polisi dhidi ya haki za wananchi kutimiza haki zao kikatiba, ni wazi polisi wanaweza kuumiza watu hata kuua kwa kisingizio cha kuzuia maandamano.

Nashauri waandaaji wa maandamano kuandaa media coverage kubwa sana hasa kwa upande wa picha mnato na picha mwendo yaani video kwa kila tukio watakalolifanya polisi iwe hadharani au sirini.

Kamera za siri na vinasa sauti viwe vingi kukusanya ushahidi wa uhalifu unaotegemewa kitendwa na dola kama ule uliofanyika Mbeya. Waandamanaji wote nao simu zao kamera ziwe on kurekodi kila tukio la uvunjifu wa amani utakaofanywa na wenye mabavuna kisha kuliweka wazi ikitokea wahalifu wakaruka kimanga.

Kuandamana ni kutembea. Ninyi polisi shida iko wapi watu wakiachwa watembee huku wakiimba na kulia? Kunahitajika akili na busara badala ya mabavu.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Kamera za siri na vinasa sauti viwe vingi kukusanya ushahidi wa uhalifu unaotegemewa kitendwa na dola kama ule uliofanyika Mbeya. Waandamanaji wote nao simu zao kamera ziwe on kurekodi kila tukio la uvunjifu wa amani utakaofanywa na wenye mabavuna kisha kuliweka wazi ikitokea wahalifu wakaruka kimanga.
Brother you are better than this...🙇🏿‍♂
 
Mkuu usitoe ushauri tu!
Ni vema kama utakuwa mmoja wa waandamanaji!
 
Kutokana na vitisho vinavyotolewa na polisi dhidi ya haki za wananchi kutimiza haki zao kikatiba, ni wazi polisi wanaweza kuumiza watu hata kuua kwa kisingizio cha kuzuia maandamano.

Nashauri waandaaji wa maandamano kuandaa media coverage kubwa sana hasa kwa upande wa picha mnato na picha mwendo yaani video kwa kila tukio watakalolifanya polisi iwe hadharani au sirini.

Kamera za siri na vinasa sauti viwe vingi kukusanya ushahidi wa uhalifu unaotegemewa kitendwa na dola kama ule uliofanyika Mbeya. Waandamanaji wote nao simu zao kamera ziwe on kurekodi kila tukio la uvunjifu wa amani utakaofanywa na wenye mabavuna kisha kuliweka wazi ikitokea wahalifu wakaruka kimanga.

Kuandamana ni kutembea. Ninyi polisi shida iko wapi watu wakiachwa watembee huku wakiimba na kulia? Kunahitajika akili na busara badala ya mabavu.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Hakuna mwenye nguvu kumshinda Mungu, Jiwe yuko wapi?
Huyo kishakuwa Mamluki, hatokuelewa
Mwenye nguvu mpishe aendelee kuuwa ndugu zetu? Bob Marley once said *HOW LONG SHALL THEY KILL OUR PROPHETS WHILE WE STAND BESIDE AND LOOK.... uoga wako ndio maangamizi ya tunu za taifa Pascal Mayalla
1. What are the Motives for the demonstration?
2. What are the Goals that planned to be achieved at the end of the demonstration? What are the targets?

Inavyoonekana huko CHADEMA hakuna wataalamu au wanamikakati wazuri wa kuweza kupanga mambo Kama haya. Mambo mengi inavyoonekana huwa yanafanyika tu kiholela tena kwa kukurupuka bila ya kuwa na mpango dhabiti kwanza.
Mnapaswa kuwa wabunifu kwa kufanya kwanza utafiti wa kina, upembuzi yakinifu wa kina na Kisha mpange mipango na ajenda zenu vizuri zaidi ndipo mje kwa wananchi kuomba support yao ili waweze kuunga mkono mipango yenu na ajenda zenu. Mje kwa Wananchi mkiwa na Hoja zenye mashiko zinazogusa maslahi mapana zaidi ya umma, kwa kufanya hivyo, wananchi watajikuta wanalazimika kuwaunga mkono bila ya kulazimishwa. Hata kama Polisi watajaribu kuhujumu mipango yenu kwa Namna yoyote ile, automatically na wao watajikuta wanashindwa kuwahujumu kwa sababu kitendo cha kujaribu kuhujumu mipango yenu itakuwa ni kuwahujumu wananchi au kuanzisha vita dhidi ya wananchi.

Mimi binafsi nawashauri nyinyi Watu wa CHADEMA kwamba mjipange sawasawa kabla ya kuanzisha Jambo fulani, msiwe mnakurupuka.
Mwisho tambueni kwamba: Unapotaka kufanya Uamuzi wa Kudumu ni lazima uzingatie sababu za kudumu.
 
Back
Top Bottom