Ushauri kwa wadada ambao ni michepuko ya waume za watu

Ushauri kwa wadada ambao ni michepuko ya waume za watu

Upeo mdogo mtu anauza Duka nemepewa bure afu anapaza sauti kisa luku 7000[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86] hapa ndio tunasema wanawake hawana akili kabisa
Unampa laki 2 halaf anakwambia nipe na ile elfu 5 nilikupa siku zile kanisani, niliazima ya Mama Neema

Pumbaf kabisa😀
 
Kuna wanaume wachache sana wako very smart always [emoji108]

Mara nyingi wanakuwa watu wa mazoezi regularly Kwa hiyo wanakuwa active !

Mwanaume usikubali kufutwa na mchepuko!

Jifute mwenyewe au wahi bafuni ukanawe au kuoga!

Atachukua hizo kama inputs ya kwenda kukumaliza na pengine hata kuharibu ndoa yako!
Weeee Apiya!!
 
Mifano ipo tu kwenye biblia


Kama king Solomon

Ubaya wa shetani akitaka kukudanganya huwaga anatumia maandiko hayohayo kwenye biblia
Mfano kama hivi

Shetani; “Ati Mungu alisema msile matunda ya mti wowote

Mwanamke; Mwanamke akamjibu huyo nyoka, “Twaweza kula matunda ya mti wowote bustanini; lakini Mungu alisema, ‘Msile matunda ya mti ulio katikati ya bustani, wala msiuguse, msije mkafa.’”

Shetani(nyoka); Hamtakufa! Mungu alisema hivyo kwa sababu anajua kwamba mkila matunda ya mti huo mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

Basi, mwanamke alipoona kuwa mti huo ni mzuri kwa chakula, wavutia macho, na kwamba wafaa kwa kupata hekima, akachuma tunda lake, akala, akampa na mumewe, naye pia akala. Mara macho yao yakafumbuliwa, wakatambua kwamba wako uchi; hivyo wakajishonea majani ya mtini, wakajifanyia mavazi ya kiunoni.

MfAno mwingine ni huu [emoji116][emoji116]

Shetani: Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate.”

YESU; Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”

Shetani; Nitakupa uwezo juu ya falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi vyote; nikitaka kumpa mtu ninaweza. Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu.

YESU; Imeandikwa: ‘Utamwabudu Bwana Mungu wako, na kumtumikia yeye peke yake.

Shetani; Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kwa maana imeandikwa: ‘Atawaamuru malaika wake wakulinde,’ na tena, ‘Watakuchukua mikononi mwao, usije ukajikwaa mguu kwenye jiwe.’”

YESU; Imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’


BASI NILICHOTAKA KUSEMA NI HIVI SHETANI AKITAKA KUKUPATA ATATUMIA KILA NJIA MPK HAYO MAANDIKO MATAKATIFU

HAO WATU UNAOWATAJA SIJUI WALIOA WAKE WENGI HATUANGALII MWANZO WAO TU TUNAANGALIA NA MWISHO WAO ULIKUWAJE
MFANO SULEMAN BAADA YA YOTE ALIONA NI UBATILI TU HAKUNA FAIDA ZAIDI YA HASARA

MHUBIRI 1:1-3
Maneno ya Mhubiri, mwana wa Daudi, mfalme katika Yerusalemu Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili. Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua?

HUWEZI UKACHUKUA TABIA MBAYA ZA BAADHI YA WATU KATIKA BIBLIA HALAFU UKATAKA KUFUNDISHIA JAMII TUNAWAOMA WOTE HAO WALIKUWA NA HIZO TABIA WALIISHIA KUTUBU

SASA NDUGU YANGU KWA SABABU MUNGU ALIMUUMBA MWANAMKE NA MWANAMUME AKAWAPULIZIA PUMZI HAI WAKAPATA UHAI BASI NDOA NI YA MKE NA MUME MMOJA TU
 
Wadada say no kuwa michepuko, Mungu alimuumbia kila mdada na baby wake, why kuchukua mume wa mtu.🤔
mpo wengi mno kuna mahubiri fulani ya shekh mmoja alisema kila mwanamme akioa wake wanne watabaki wawili kama reserve wakisubiri watokee walioolewa wafe wachukue nafasi ndi maana mtume alioa wake wanne hivo na wanamme waote duniani tuoe wake wanne, mswati pia alitangaza kila mwanamme aoe wake watano
 
Kwanza kabisa nianze kwa kuwapongeza kwa huduma ya penzi lenu mwanana hakika mna mahala penu mbinguni.

Ushauri niliowaitia hapa ni kuwa dada zangu mnajisahau sana:

1. Unapokuwa mchepuko tambua kuwa wewe ni wa mda mfupi kwa msela, hivyo kaa kijanja ,uwezekano wa mchepuko kuzidi miaka mitano huwa mdogo, dada mtumie huyo kujijenga kiuchumi au kimaarifa ukiwa naye, mdada anakusimulia et jamaa ananipa laki 5 za matumizi kila mwezi siwezi muacha, mimi nilidhani uje na mikakati ya kuhakikisha unaweza kuishi bila yeye, yaani save fikilia biashara hizo laki tano ukiingiza kila mwezi laki 3 kwenye duka lako la nguo baada ya 3yrs siku anaondoka unaenda kulilia hotel Zanzibar.

2. Ukiona anakupa thamani kuliko mkewe basi dada jua unadate na muhuni, mama hata akikuoa ww atathamini wengine, hebu epuka dhambi zisizo na lazima plz kuwa mwanamke mwema kataa hizo mambo kumfungia mme wa mtu weekend nzima ni raha kwako ila dada kuna maisha baada ya kufa, amekupenda msaidie akili yako maana yake hana.

3. Usiache kuyapangilia maisha yako nje ya mume wa mtu, waza utaolewa na nani unataka nini kwenye maisha na ujue yeye hayupo kwenye maisha yako ni rafiki tu wa faida

KWANINI NIMEPANIC KUSHAURI?

Mimi mme wa mtu na watoto 3 na naipenda familia yangu kuzidi chochote, katika miaka 12 ya ndoa hii nimebadili michepuko 6 ila mke ni huyu huyu, maishani nimejaliwa kupata michepuko smart yote hakuna asinipigia simu na kunimisi wawili leo ni wake za watu na wanahela kunizidi na mm wanakiri ndo nimewaonesha njia.

Haba juzi kati nlipata ka-single mother nikakaelewa kukala mala mbili tatu nikaomba nijue maisha yake, ni kwamba msela alimzalisha kwa kuzuga anatoa mahali alitoa hadi uchumba akatoka nduki, dada kapanga uswaz ana binti wa miaka 7, basi nikamueleza mm nataka awe mchepuko wangu ila sitaki uzazi nataka tustarehe ila in return nitajenga maisha yake, nikamtoa chumba cha Tshs 25 uswazi huko nikamhamishia eneo nikalipa Tshs 60 miez 6, kwa kuwa alikuwa anafanya mgahawa ni nkamwambia tafuta eneo nikuwekee kabiashara akapata frame nkalipa ths 300k miez 3 na cash700 afungue nkamuahidi kadili tukijaaliwa nataka auze vinywaji etc nshaongea na msela wangu wa mafriji akanambia tafuta rejeta laki kava atampa shemu wake bure.

Cha ajabu? Dada amehamia kuniganda simu hapa na hapa, juzi kaniibukia baa et toyo wamesema wameniona na mtu, nkamwambia mm mbona sijamkataza akipata mtu wa maana wadumu sina FUTURE naye ikawa valangati, anatuma SMS ooh luku imeisha luku yake mwezi 7000 mtu anauza hadi laki, yaani kifupi hana lengo la kujitegemea ili aamue anidate kwa kunipendea hela au independent.

HITIMISHO
Michepuko tunawapenda sana lakini mnapaswa mjue nafasi yenu, hakuna mwanaume anachaguliwa mchepuko, unampenda mwenyewe ukiondoa penzi na support ya kukufanya ujitegemee huna urithi, hata ukisema tuzae unambania mwanao nafasi ya kufurahia penzi la baba kama nalowapa wana wamke wangu halali, MJITAMBUE.

My y uo op ih
 
Kwanza kabisa nianze kwa kuwapongeza kwa huduma ya penzi lenu mwanana hakika mna mahala penu mbinguni.

Ushauri niliowaitia hapa ni kuwa dada zangu mnajisahau sana:

1. Unapokuwa mchepuko tambua kuwa wewe ni wa mda mfupi kwa msela, hivyo kaa kijanja ,uwezekano wa mchepuko kuzidi miaka mitano huwa mdogo, dada mtumie huyo kujijenga kiuchumi au kimaarifa ukiwa naye, mdada anakusimulia et jamaa ananipa laki 5 za matumizi kila mwezi siwezi muacha, mimi nilidhani uje na mikakati ya kuhakikisha unaweza kuishi bila yeye, yaani save fikilia biashara hizo laki tano ukiingiza kila mwezi laki 3 kwenye duka lako la nguo baada ya 3yrs siku anaondoka unaenda kulilia hotel Zanzibar.

2. Ukiona anakupa thamani kuliko mkewe basi dada jua unadate na muhuni, mama hata akikuoa ww atathamini wengine, hebu epuka dhambi zisizo na lazima plz kuwa mwanamke mwema kataa hizo mambo kumfungia mme wa mtu weekend nzima ni raha kwako ila dada kuna maisha baada ya kufa, amekupenda msaidie akili yako maana yake hana.

3. Usiache kuyapangilia maisha yako nje ya mume wa mtu, waza utaolewa na nani unataka nini kwenye maisha na ujue yeye hayupo kwenye maisha yako ni rafiki tu wa faida

KWANINI NIMEPANIC KUSHAURI?

Mimi mme wa mtu na watoto 3 na naipenda familia yangu kuzidi chochote, katika miaka 12 ya ndoa hii nimebadili michepuko 6 ila mke ni huyu huyu, maishani nimejaliwa kupata michepuko smart yote hakuna asinipigia simu na kunimisi wawili leo ni wake za watu na wanahela kunizidi na mm wanakiri ndo nimewaonesha njia.

Haba juzi kati nlipata ka-single mother nikakaelewa kukala mala mbili tatu nikaomba nijue maisha yake, ni kwamba msela alimzalisha kwa kuzuga anatoa mahali alitoa hadi uchumba akatoka nduki, dada kapanga uswaz ana binti wa miaka 7, basi nikamueleza mm nataka awe mchepuko wangu ila sitaki uzazi nataka tustarehe ila in return nitajenga maisha yake, nikamtoa chumba cha Tshs 25 uswazi huko nikamhamishia eneo nikalipa Tshs 60 miez 6, kwa kuwa alikuwa anafanya mgahawa ni nkamwambia tafuta eneo nikuwekee kabiashara akapata frame nkalipa ths 300k miez 3 na cash700 afungue nkamuahidi kadili tukijaaliwa nataka auze vinywaji etc nshaongea na msela wangu wa mafriji akanambia tafuta rejeta laki kava atampa shemu wake bure.

Cha ajabu? Dada amehamia kuniganda simu hapa na hapa, juzi kaniibukia baa et toyo wamesema wameniona na mtu, nkamwambia mm mbona sijamkataza akipata mtu wa maana wadumu sina FUTURE naye ikawa valangati, anatuma SMS ooh luku imeisha luku yake mwezi 7000 mtu anauza hadi laki, yaani kifupi hana lengo la kujitegemea ili aamue anidate kwa kunipendea hela au independent.

HITIMISHO
Michepuko tunawapenda sana lakini mnapaswa mjue nafasi yenu, hakuna mwanaume anachaguliwa mchepuko, unampenda mwenyewe ukiondoa penzi na support ya kukufanya ujitegemee huna urithi, hata ukisema tuzae unambania mwanao nafasi ya kufurahia penzi la baba kama nalowapa wana wamke wangu halali, MJITAMBUE.
Naam
 
Tunamshambulia huyu kwakua ameamua kusema ukweli.
Wanaume wanafanya hivi hivi ila wanafanya kwa siri.
 
Back
Top Bottom