The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
- Thread starter
- #61
Ww utakuwa mke wa tu tena mwema .Dada tafadhar shemeji anakipenda ww tu .Ila wanaume lazima kamchepuko dada cha msingi wasijisahau kuwa wewe ndo mama lao malkia na first lady ,haya ya mitaan usijal kaka atapambana kijanja a uzeen atatulia na ww mcheze na wajukuu kwenye dream 🏠 yenuWrite your reply...utopolo tu....na hii iwafikie michepuko wote Mali za kuchukua kutoka kwa waume za watu hutokea matakoni......ni laana tupu na hazidumu!...trust me....unakula michesho ya kuku huku nyumbani mume hajaacha chochote au kaacha kisichotosheleza wewe mchepuko unajiona mjanjaaaa kumbe yuko MUNGU na ardhi inakurekodi utaolewa na mume wako atachepuka! utalia mbele za Mungu na ardhi itakushitaki...# kataa dhambi ya kuwa mchepuko ni laana kama laana nyingine.